Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 59
Umefikia wakati wakuu wa mikoa na wilaya wakachaguliwa kwa kura na wananchi badala ya kuteuliwa na Raisi kama ilivyo sasa.
maneno mazito hayo; tatizo ni kuwa siasa za Kyela zinahistoria ambayo watu wengi kitaifa hawazijui na hazijapata exposure kama siasa za Upareni na Dayosisi ya Arusha.
Siamini kuwa masuala ya kisiasa ya Kyela ni ya siasa tu na hakuna elements nyingine hasa baada ya sakata la dayosisi ya Rungwe???
Binafsi naamini itakuwa vizuri sana kuleta mkuu wa mkoa mwingine kabisa Mbeya itasaidia sana kuzima haya baadhi ya maneno kwani siyo tu yameingilia siasa za wilayani (Kyela) bali pia za mkoani na ambazo zinanukia hadi kwenye Taifa.
Ulisikia wapi kesi ya nyani akapelekewa ngedere???
Huyo mkuu wa wilaya ya Kyela, Ndg Mshimba ndiyo huyo huyo aliyekuwa anatumiwa na Mwakipesile ili Dr. mwakyembe asipokewe na kwa maandamano na wananchi wa Kyela hadi Mkuu wa polisi wilayani Kyela aliposimama kidetekuthibitisha kuwa haoni kama kungetokea vurugu. Hata nakala za barua walizokuwa wakitumiana Mwakipesile na Mshimba zilipatikana mpaka wakaishia kuumbuka tu.
Pia Ukumbuke mwaka jana ni huyi huyo Mshimba alimzuia Prof Mwandosya (waziria wa Mazingira wakati huyo) ku-officiate harambee ya akina mama wilayani Kyela ya ku-raise fundi yao hata pale mbunge wao (Dr. Mwakyembe ) alipomsihi mkuu wa wilaya huyo awaruhusu akina mama kuendesha shughuli zao, lakini aligoma kwa shinikizo kutoka kwa Mwakipesile na Lowassa. Sababu aliyotoa mkuu wa wilaya ni kuwa yeye ndiyo mkuu wa wilaya na eti hapata taarifa ya waziri kwenda wilayani kwake kufanya kazi ile, huku akisema hajamzuia kuindgia Kyela ila kufanya shughuli rasmi kama zile.
Je, huyo ndio tumwamini????
Ahsante,
Nsololi,
Yote uliyoyaandika ni sawa lakini upande mwingine nao una yake. Mbunge naye alikuwa anaandika barua kisiri kumwandikia PM Lowassa na JK kwamba kumpa
ukuu wa mkoa Mwakipesile mtu ambaye wana Kyela wamemkataa ni dharau kwa mkoa wa Mbaya na Kyela. Bahati mbeya, kumbe wenzake wanamwonyesha hizo barua Mwakipesile.
Pia kuna mengine mengi tu.
In fact kamati ya usuluhishi ya Kinana ilimkuta Mwakyembe kama ana makosa na aliomba msamaha.
Mimi najiuliza ni sababu zipi zilimfanya Mwakyembe aombe msamaha? Maana mtu kama huna makosa kwanini uombe msamaha?
Kwa maoni yangu binafsi wote wawili wana makosa makubwa ya kukuza huu mgogoro. Wasipoangalia wote wawili wanaweza kuja kupay kisiasa.
Hivi ni mkoa gani mwingine ambapo Mkuu wake wa Mkoa ni mwenyeji wa mkoa ule ule?
Mt,
Hata kama kulikua na matatizo kati ya Mwakyembe na Mwakipesile hajustify kunyanyasa wanaich ambao wanastaili kupatiwa msaada pale kunapotokea majanga kama yaliyowakuta. Personal issues kati yao haijustify yaliyotokea.
Mbona kuna wilaya zinaongozwa na sisiem na majimbo yanashikiliwa na upinzani bado hayatokei yaliyotokea????
Nsololi,
Yote uliyoyaandika ni sawa lakini upande mwingine nao una yake. Mbunge naye alikuwa anaandika barua kisiri kumwandikia PM Lowassa na JK kwamba kumpa
ukuu wa mkoa Mwakipesile mtu ambaye wana Kyela wamemkataa ni dharau kwa mkoa wa Mbaya na Kyela. Bahati mbaya, kumbe wenzake wanamwonyesha hizo barua Mwakipesile.
Pia kuna mengine mengi tu.
In fact kamati ya usuluhishi ya Kinana ilimkuta Mwakyembe kama ana makosa na aliomba msamaha.
Mimi najiuliza ni sababu zipi zilimfanya Mwakyembe aombe msamaha? Maana mtu kama huna makosa kwanini uombe msamaha?
Kwa maoni yangu binafsi wote wawili wana makosa makubwa ya kukuza huu mgogoro. Wasipoangalia wote wawili wanaweza kuja kupay kisiasa.
Mtanzania, kwa maneno yako hapo ndio umethibitisha kabisa kuwa kuna matatizo Mbeya na kuyaacha yaendelee ni kujiandaa kwa ugomvi usio wa lazima. Siku moja shabiki wa Mwakyembe atampiga kibao shabiki wa Mwakipesile... na cheche hizo zitakapoanza tusije tukakaa na kuulizana "what happened"... Binafsi ningependa kujua Mwamunyange (CDF) yuko upande gani hapa...
TANGU MWANZO SABABU YA KUMWEKA UYO LOSER MWAKIPESILE ILIAWAKOTROL PROF NA DR SASA EBU TIZAMA BAADA YA ZARI LA RICHMONDULI ETI KUNA VUNZA ALIZUIA MAPOKEZI YA HARISSON DU ILI JAMAA AONEKANE KAMA KAWATENGA BA -IJIMBO LAKINI WALISHINDWA WAKALEGEA.Huyu Mwakipesile hapo amechemsha kabisa kama anamwalibia ili yeye agombee mwananchi gani ambaye atampa kura wakati anaona kabisa anatendewa vibaya.
Tunajua JK amembeba tu huyu Mwakipesile kwa kuulinda mtandao wake wa kumpaliza Mwandosya CCM makundi bado yapo na asipo angalia MWandosya atamzidi kete JK akiamua kuchukua fomu kugombea NEC.
Sasa Kifukwe yeye yuko upande gani katika sakata hili?
Sasa Kifukwe yeye yuko upande gani katika sakata hili?