LazaroSMtindi
Senior Member
- May 6, 2008
- 100
- 5
Uamuzi wa Serikali kupeleka chakula cha msaada wilayani Kyela kwa ajili ya waathirika wa mafuriko makubwa yaliyotokea wilayani humo, unamuumbua RC wa Mbeya ambaye kwa mwezi mzima sasa amekuwa akidai kuwa hakuna maafa Kyela na mafuriko yaliyotokea ni ya kawaida tu!
Ingekuwa nchi zingine, kiongozi wa aina hii angefukuzwa kazi kwa kuzuia misaada na kuihujumu Serikali kwa wapiga kura.
Tatizo la Mwakipesile ni kuwa katika miaka 10 ya ubunge wake yametokea mafuriko mengi Kyela na hakuwahi kugawa hata kilo moja ya mchicha kwa walioathirika. Hivyo ameamua kumvurugia Mbunge wa Kyela, Dk. H. Mwakyembe ambaye alipambana naye kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Kyela mwaka 2005, Mwakipesile akashindwa vibaya na sasa anatumia nafasi yake ya ukuu wa mkoa kumrudi mbaya wake.
Lazaros
Ingekuwa nchi zingine, kiongozi wa aina hii angefukuzwa kazi kwa kuzuia misaada na kuihujumu Serikali kwa wapiga kura.
Tatizo la Mwakipesile ni kuwa katika miaka 10 ya ubunge wake yametokea mafuriko mengi Kyela na hakuwahi kugawa hata kilo moja ya mchicha kwa walioathirika. Hivyo ameamua kumvurugia Mbunge wa Kyela, Dk. H. Mwakyembe ambaye alipambana naye kwenye kinyang'anyiro cha ubunge wa Kyela mwaka 2005, Mwakipesile akashindwa vibaya na sasa anatumia nafasi yake ya ukuu wa mkoa kumrudi mbaya wake.
Lazaros