Serikali yampa ajira Mwanamke anayekumbatia Watoto njiti hospitali ya Amana

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Njiti.jpg

Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto niti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dares Salaam.

Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh milioni 2

Julai 16, gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.

"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sita za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.

"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;

"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.

Tunaendelea kumpongeza a tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo, amesema.

Chanzo: Mwananchi

Pia soma
 
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto njiti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dar es Salaam.

Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh2 milioni.

Julai 16, gazeti hili na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.

Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.

"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sifa za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.

"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;

"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uuguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.
Tunaendelea kumpongeza na tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo," amesema.

#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
 
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto niti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dares Salaam.


Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh milioni 2


Julai 16, gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.


Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.


"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sita za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.

"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;


"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.


Tunaendelea kumpongeza a tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo, amesema.
vizuri
 
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto niti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dares Salaam.


Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh milioni 2


Julai 16, gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.


Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.


"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sita za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.

"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;


"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.


Tunaendelea kumpongeza a tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo, amesema.
Ma shaa Allah, kheri kubwa hiyo.


Ahsante mama Samia kwa kumuona huyu binti.

Hongera Binti.

Tupeni namba zake na sisi tumtumie vjisadaka vyetu, mama kafunguwa mlango.
 
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto niti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dares Salaam.


Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh milioni 2


Julai 16, gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.


Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.


"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sita za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.

"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;


"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.


Tunaendelea kumpongeza a tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo, amesema.
Safi sana tuendelee kuwaibua wengi maeneo mengine wenye moyo wa hivyo
 
Serikali kupitia Wizara ya Afya, imetoa ajira ya mkataba kwa Mariam Mwakabungu, mwanamke anayejitolea kukumbatia watoto niti waliotelekezwa katika Hosptali ya rufaa ya mkoa Amana jijini Dares Salaam.


Ajira hiyo imekuja siku moja tangu Rais Samia Suluhu Hassan kutuma salamu za pongezi zilizoambatana na fedha taslimu Sh milioni 2


Julai 16, gazeti la Mwananchi na mitandao yake ya kijamii ilichapisha habari hukuhusu Mariam Mwakabungu (25) ambaye ameokoa maisha ya watoto njiti watatu hospitalini hapo kwa kuwakumbatia kwa njia ya kangaruu baada ya kutelekezwa na mama zao.


Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamis Julai 20, 2023 Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ameeleza utaratibu utakaotumika katikia kumpa ajira Mariam.


"Tutampa ajira ya mkataba kwanza, changamoto iliyopo bado hana sita za kuajirika, tutamshauri ajiendeleze kielimu ili aweze kupata sifa za kuajirika Serikalini.

"Madaktari wanasema yule mama anajitoa na anapenda kufanya hiyo kazi ana moyo yaani ni kitu anapenda sasa kwa sababu hajasomea uuguzi itabidi aingize katika utaratibu huo ili aweze kupata sifa," amesema Waziri Ummy na kuongeza;


"Ana miaka 25 bado anamuda anaweza akaenda kusoma uguzi ngazi ya astashahada akawa muuguzi wa watoto njiti.


Tunaendelea kumpongeza a tutamshauri ajiendeleze kielimu ni jambo zuri na tumemuomba afanye hivyo, amesema.
Kwa hiyo kwa sasa ni kumbatio officer grade ii😂😂😂😂😂😂😂

Watangaze nafasi kupitia utumishi ii watu wagombanie
 
Hizo nguvu si wangewekeza kwenye kununua incubators za kutosha.

Wabongo wapo busy kutetea Dp kisa inatumia mashine lakini wapo busy tena kumpongeza Rais kwa kutoa pesa za kukumbatia watoto badala ya kushauri zinunuliwe mashine za kutosha
 
Back
Top Bottom