Mwanamke anayejitolea kukumbatia Watoto Njiti waliotelekezwa Hospitali ya Amana

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Mwanamke mmoja mkazi wa Kinyerezi, Tabata jijini Dar es Salaam, Mariam Mwakabungu (25) amejitolea kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti) na wanaotelekezwa na mama zao katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa Amana.

Mariam ambaye ni mke na mama wa watoto wawili, alianza kutoa msaada huo baada ya kumtembelea rafiki yake aliyejifungua mtoto njiti na kumuona mtoto ambaye aliishi kwa muda wa miezi minne bila kuongezeka uzito.

Anasimulia kuwa alipomuona njiti huyo wito ukamjia na kukumbuka kuwa yeye ni yatima ambaye hakupata bahati kulelewa na wazazi hivyo akaona hilo ni jukumu lake.


Chanzo: Mwananchi

Pia soma
 
Mwanamke mmoja mkazi wa Kinyerezi, Tabata jijini Dar es Salaam, Mariam Mwakabungu (25) amejitolea kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti) na wanaotelekezwa na mama zao katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa Amana.
Kama ni kweli rais amempa 2m, sioni kama ni kitu cha maana Kwa huyo mama wala kwa hao vichanga wenye uhitaji mkubwa.

Kumuenzi huyu mama rais angefanya jambo kubwa zaidi kulingana na uwezo mkubwa alionao. Mfano angeweza kuanzisha kituo kikubwa kwaajili ya kuwahudumia vichanga hao wa daressalaam na mikoa mingine kitaalam zaidi, na kumfanya huyo mama mhudumu wa kituo hicho.
 
1.kuna vijana wengi sana wamemaliza vyuo mtaani, wamepeleka barua za kujitolea pale Amana, wamenyiwa hiyo nafasi,inakuwaje mtu from no where asie na kazi Wala taaluma husika akaomba nafasi ya kujitolea na akapewa?

2.Huyu binti ana Mume,na watoto (family) how comes Mwanaume amruhusu Mkewe akiwa anajua Hana taaluma husika, akajitolee sehemu?

Note: najua watu wengi, mmepongeza Sana,Ila wasiwasi wangu upo palepale!

Kuna Jambo kubwa nyuma ya pazia linaloendelea.
 
JAMII forums, always tunaleta mawazo mapya na yenye kuhisi pia,
Kuna mwana mama mmoja anaendela Sana kutrend Amana kuhusu Watoto Njiti.

Mimi nikawa tofauti na yanayoendelea pale Amana.

1.kuna vijana wengi sana wamemaliza vyuo mtaani, wamepeleka barua za kujitolea pale Amana, wamenyiwa hiyo nafasi,inakuwaje mtu from no where asie na kazi Wala taaluma husika akaomba nafasi ya kujitolea na akapewa?

2.Huyu binti ana Mume,na watoto (family) how comes Mwanaume amruhusu Mkewe akiwa anajua Hana taaluma husika, akajitolee sehemu?

Note: najua watu wengi, mmepongeza Sana,Ila wasiwasi wangu upo palepale!

Kuna Jambo kubwa nyuma ya pazia linaloendelea.

Mods acheni dharau na kuunganisha nyuzi.
Okee

Je kuna uhusiano gani na DPW?
 
Mwanamke mmoja mkazi wa Kinyerezi, Tabata jijini Dar es Salaam, Mariam Mwakabungu (25) amejitolea kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti) na wanaotelekezwa na mama zao katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa Amana.

Mariam ambaye ni mke na mama wa watoto wawili, alianza kutoa msaada huo baada ya kumtembelea rafiki yake aliyejifungua mtoto njiti na kumuona mtoto ambaye aliishi kwa muda wa miezi minne bila kuongezeka uzito.

Anasimulia kuwa alipomuona njiti huyo wito ukamjia na kukumbuka kuwa yeye ni yatima ambaye hakupata bahati kulelewa na wazazi hivyo akaona hilo ni jukumu lake.


Chanzo: Mwananchi
Apewe maua yake# Kangaroo style
 
Na ikawe heri kwake, natumai watoa huduma za afya wamemwelekeza namna atakiwavyo kufanya na hakiuki maadili ya taaluma ya utabibu.

Si ajabu akaja pewa kazi kwenye fani ya afya ..... balozi wa KMC kwa jiji la ilala
 
1.kuna vijana wengi sana wamemaliza vyuo mtaani, wamepeleka barua za kujitolea pale Amana, wamenyiwa hiyo nafasi,inakuwaje mtu from no where asie na kazi Wala taaluma husika akaomba nafasi ya kujitolea na akapewa?

2.Huyu binti ana Mume,na watoto (family) how comes Mwanaume amruhusu Mkewe akiwa anajua Hana taaluma husika, akajitolee sehemu?

Note: najua watu wengi, mmepongeza Sana,Ila wasiwasi wangu upo palepale!

Kuna Jambo kubwa nyuma ya pazia linaloendelea.
Bahati ya mwenzio usiilalie milango wazi? Degree ndo inatunza mtoto? Poor on you!!
 
Back
Top Bottom