benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Mwanamke mmoja mkazi wa Kinyerezi, Tabata jijini Dar es Salaam, Mariam Mwakabungu (25) amejitolea kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti) na wanaotelekezwa na mama zao katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa Amana.
Mariam ambaye ni mke na mama wa watoto wawili, alianza kutoa msaada huo baada ya kumtembelea rafiki yake aliyejifungua mtoto njiti na kumuona mtoto ambaye aliishi kwa muda wa miezi minne bila kuongezeka uzito.
Anasimulia kuwa alipomuona njiti huyo wito ukamjia na kukumbuka kuwa yeye ni yatima ambaye hakupata bahati kulelewa na wazazi hivyo akaona hilo ni jukumu lake.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma
Mariam ambaye ni mke na mama wa watoto wawili, alianza kutoa msaada huo baada ya kumtembelea rafiki yake aliyejifungua mtoto njiti na kumuona mtoto ambaye aliishi kwa muda wa miezi minne bila kuongezeka uzito.
Anasimulia kuwa alipomuona njiti huyo wito ukamjia na kukumbuka kuwa yeye ni yatima ambaye hakupata bahati kulelewa na wazazi hivyo akaona hilo ni jukumu lake.
Chanzo: Mwananchi
Pia soma