TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,276
Hajui.Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Kutaka sifa tuu.
Hajui.Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Mwanangu ana miaka 6 na yupo darasa la piliSerikali mkoani Morogoro imeagiza mtoto Charles Mathias mwenye umri wa miaka 6 arushwe darasa kutoka Chekechea hadi darasa la kwanza baada ya kuonyesha kipaji kikubwa kwenye somo la Hisabati.
Afisa tawala wa mkoa bwana Kobehelo amesema agizo hilo lianze kutekelezwa mara moja.
Naye mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale ameahidi kugharamia elimu ya mtoto huyo hapo kijijini.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Ndio maana unaambiwa ukiwa mwongo uwe na kumbukumbuBabu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
CCM ni maongo matapeli wa kiwango cha lamiHapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Hapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Jaribu kuficha ujinga wako mkuu.Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Tale nae aache sifa sasa ada gani kwa shule ile? Yeye akajenge madarasa tuSerikali mkoani Morogoro imeagiza mtoto Charles Mathias mwenye umri wa miaka 6 arushwe darasa kutoka Chekechea hadi darasa la kwanza baada ya kuonyesha kipaji kikubwa kwenye somo la Hisabati.
Afisa tawala wa mkoa bwana Kobehelo amesema agizo hilo lianze kutekelezwa mara moja.
Naye mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale ameahidi kugharamia elimu ya mtoto huyo hapo kijijini.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Hajui kusoma wala kuandika anapelekwa vipi darasa la tatu mkuu?Mwanangu ana miaka 6 na yupo darasa la pili
Baasi na yeye namuweka kundi moja na mtoto mwenye kipaji .
This world isn't fair. Nahisi alitakiwa kurushwa labda mpaka la tatu huko
kweli usemavyo lkn ila Ubongo unachemka uyo dogo. Msasa Tu wa nguvu atajua vyoteHajui kusoma wala kuandika anapelekwa vipi darasa la tatu mkuu?
Akisoma darasa kwanza mpaka mwisho naona ndiyo wataona maendeleo yake hapo wakimrusha itakuwa vizurikweli usemavyo lkn ila Ubongo unachemka uyo dogo. Msasa Tu wa nguvu atajua vyote
Hapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Mwanangu anashika namba akiiona kwa mara ya kwanza i mean namba za simuKuna madogo ni Golden mzee huwezi amini mpaka ukutane nao.
Hapekekwi St Merry sasa...Jaribu kuficha ujinga wako mkuu.
Kama aufuatilii habari kuwa kimyaa.
Babu tale alishasema tangu Awali atamsomesha St mary morogoro au nayo ni Bure?
Kipindi chetu tulisoma mwaka mmoja chekechea mwaka unaofuata la 1Chekechea nayo si ina kama stage tatu?
Kwanini english medium school?Atafutiwe scholarship English Medium School.
Akue na lugha mbili, uwezo wake ni mzuri.Kwanini english medium school?