johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,440
- Thread starter
- #121
Kumbe!Mbona kwa umri wake alitakiwa kuwa darasa la pili huyo, kwa muda mrefu watoto wamekuwa wanaanza darasa la kwana wakiwa na miaka mitano
Kumbe!Mbona kwa umri wake alitakiwa kuwa darasa la pili huyo, kwa muda mrefu watoto wamekuwa wanaanza darasa la kwana wakiwa na miaka mitano
NIMR tena?unaendeleaje hapo kitengo cha utafiti NIMR
Hahahaaaa.... !Hizi siasa za media hatari, yaani babu Tale ameahidi kugharamia elimu ya mtoto huyo hapo kijijini???????????????????????????????????
Aiseee......Shule yenyewe anayosoma haina madarasa wanaosomea kwenye pagala, halina madawati wanakaa kwenye mawe.
Halafu mbunge wao anasema atamgharamia masomo wakati hata kuboresha shule ameshindwa.
Hebu jiulize kuna magenius wangapi wanapotelea kwenye hayo mapagala yanayoitwa shule huko mikoani ?
nchi confusion tupu.Nchi za wenzetu ni kawaida kabisa mtoto wa miaka sita darasa la kwanza.Anahitimu chuo kikuu miaka 20 ,21.Hapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Atachangia 300 za ujiBabu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
..Atachangia 300 za uji
Elimu sio bure mkuu,hizo ni lugha za kisiasa, elimu ilikuwa bure zamani, ambapo mzazi alikuwa ananunua uniform tu. Kuna madaftari, kalamu na vifaa vingine vya shule, school uniforms, madawati, michango ya chakula cha mchana, michango ya ujenzi wa madarasa, michango ya ujenzi wa vyoo vya shule nk. nk.Babu Tale agharamie nini tena wakati elimu ni bure?
Hajui kuandika bado hata kusoma yeye ni kichwani sasa atasoma vipi vitabu my dearHao wanavuta bangi Yaani chekechea to primary ndio kurushwa darasa
Kwa iq ya yule mtoto alipaswa kurushwa mpaka darasa la 3 huko
kuna chekechea 1, 2 etcHapo ajaruka kuruka angetoka chekechea hadi la 2 na kuendelea ikiwa na maana karushwa drs la kwanza sasa kutoka chekechea kwenda la kwanza karuka darasa gani najaribu kuwaza.
Tena watoto mbulula ndiyo waliwajaza hapo, mkuu umasikini mbaya sana wenye pesa wanawapeleka popote pale watoto wao, huyo mtoto angekuwa mtoto wa mwenye nazo miaka 6 si angekuwa mbali siku hizi miaka 5 yupo darasa 1Nakumbuka kuliwahi kuweko shule za watoto wenye vipaji. Ila ziliishia viongozi kujaza watoto wao wasio na vipaji.Tusirejee Zama hizo.
Siku akikosa ubunge na mtoto anapotea huko hukoDogo anaweza kuzibiwa riziki kizembe, akapelekwa elimu bure wakati kulikuwa na nafasi ya kupelekwa shule ya maana, hao wazazi wajiridhishe chap kwamba Babu tale atamsomesha wapi na kwa level ipi waandikishiane, kama ni magumashi wakatae ofa yake mapema wafadhili wa maana wapo wengi maana dogo anao uwezo
sifa za hovyo hovyo tuAtachangia 300 za uji
Wasivyozipenda hawa wakubwa, lakini watoto wao wanawapeleka huko huko...Atafutiwe scholarship English Medium School.