Serikali ya mtaa wa Mwenge, Dar es Salaam mnanufaika vipi na huyu mtu aliyefunga mtaa wa Zayumba mbele ya Kibo Bar?

affimation

Member
Jan 25, 2019
48
104
Ni miaka mingi huyu mtu amefunga huu mtaa, ambae amepangisha watu barabarani, barabara yetu ya kupita, na kapangisha watu, mbele kajenga fremu na kajenga banda la chips, kaweka mama ntilie, na katengeneza umiliki wake.

Huu mtaa kiuhaalisia ukitokaa sinza hii barabara ya Africa sana kuja TRA unapanda vizuri, ukishafika TRA upande wa kulia kuna barabara mpya imejenga kwa lami ambayo unapita kuelekea NAKIETE PHARMACY, ila ukianza tu kukunja utakunana na fremu nzuri za nguo, mbele mandanga ya chips, yale mabanda ya chips ndio kaziba mtaa, kapangisha watu wa chilps kuku kushoto ambayo pia ni wanatega sana wafanyakazi wa TRA Mwenge na NMB Mwenge na wengine wa Mwenge, ila hili njia kiuhalisia ni njia, na huku nyuma yake ameweka bati kaziba mtaa, ili kuwapangishi waha wa chips nk.

Sasa ambao wana nyumba mtaa wa kupitia serekali ukiingia pale kibo bar mtaa wa Zayumba, watoboze TRA ya mwenge wameziba, sasa mtuambie kwanini kaziba huu mtaa mwenyekiti upo. Unaijua tafadhali fungua huu mtaa.

Tumechoka, kila siku tunzunguka kufika TRA wakati kuna mtu mtaa kafunga na anafanya biashara na mnamuachatu, serikali hasa ya Mwenge mpo kimya.

IMG_20240225_011813_346.jpg
 
JamiiForums inatumiwa na watu wa Afrika Mashariki na wengine ni waungumzaji wa kiswahili waliokuwa nje ya Afrika. Kuandika mada kama kila mmoja ni mkazi wa Mwenge inaleta ukakasi kidogo.

Tafadhali andika kwa namna ambayo kama mtu sio mkazi wa maeneo husika anaweza kuelewa kinachozungumzwa. Hata sasa kuna watu wapo Dodoma ambao wanapaswa kujua vyema kuhusu eneo husika ili kufanya maamuzi (Ikiwa haiwezi kuamuliwa na serikali ya mtaa).

Tafadhali zingatia hili, usiendelee kuamini kuwa kila mtu ni Mkazi wa Mwenge.
 
Ni miaka mingi huyu mtu amefunga huu mtaa, ambae amepangisha watu barabarani, barabara yetu ya kupita, na kapangisha watu, mbele kajenga fremu na kajenga banda la chips, kaweka mama ntilie, na katengeneza umiliki wake.

Huu mtaa kiuhaalisia ukitokaa sinza hii barabara ya Africa sana kuja TRA unapanda vizuri, ukishafika TRA upande wa kulia kuna barabara mpya imejenga kwa lami ambayo unapita kuelekea NAKIETE PHARMACY, ila ukianza tu kukunja utakunana na fremu nzuri za nguo, mbele mandanga ya chips, yale mabanda ya chips ndio kaziba mtaa, kapangisha watu wa chilps kuku kushoto ambayo pia ni wanatega sana wafanyakazi wa TRA Mwenge na NMB Mwenge na wengine wa Mwenge, ila hili njia kiuhalisia ni njia, na huku nyuma yake ameweka bati kaziba mtaa, ili kuwapangishi waha wa chips nk.

Sasa ambao wana nyumba mtaa wa kupitia serekali ukiingia pale kibo bar mtaa wa Zayumba, watoboze TRA ya mwenge wameziba, sasa mtuambie kwanini kaziba huu mtaa mwenyekiti upo. Unaijua tafadhali fungua huu mtaa.

Tumechoka, kila siku tunzunguka kufika TRA wakati kuna mtu mtaa kafunga na anafanya biashara na mnamuachatu, serikali hasa ya Mwenge mpo kimya.

View attachment 2915494
edit taarifa yako,piga picha vizuri ambatanisha.simu mbovu giza tupu...bora usingeweka hiyo picha.
 
Back
Top Bottom