Tunzo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 4,021
- 2,296
Au ndoo hivyo! Alieshiba hamjui mwenye njaa? Kisa wao wako kwenye viyoyozi na magari yetu, kwa kodi zetu wanapita tu na kutucheka?
Huu mradi umekua wa hovyo kabisa, si siku za kawaida! Kimbembe kukunyesha mvua!
Leo kuna watu wamelipa nauli maeneo ya Fire, kkoo, posta nk kuanzia mchana wamelundikana tu vituoni magari hayapiti
Wamechukua nauli za watu na kuwajaza watu kuanzia mchana namagri hayapiti, mpaka watu wanamua kutoka kwenye vituo na kuacha nauli zao kwenda kutafuta usafiri mwingine!
Kimbembe kama ulikua na 650 tu leo watakesha kwenye vituo, mana magari hakuna.. Thuluma ilioje hii, nahisi huko maofisini wanajichekea tu kua wamelamba mia sita sita za watu na hawaleti magari, na ukitoka kituoni hawakurudishii kajifie mbele.
Wenye ndoa wasameheni wake zenu nanwaume zenu walioko huko mjini mana huko hali ni tete, magari hakuna na watu wengine wameamua kutoka kutafuta magari ya makumbusho kuzunguki kule!
Nyie mwendo kasi endeleni na uhuni wenu tu wa kupokea naili za watu na kutoleta magari, kwanini kama mnaona hamtaleta magari msiwaambie watu, nyie mnapokea tu pesa zao kuanzia mchana mpaka inaelekea saa moja jioni hakina magari.
Watanzania ni wapole ila kuna siku watachoka! Ingekua ni sehemu kadhaa huko nchi za wenzetu wasingekubali huu upuuzi.. mgekuta vibanda vyenu na wahudumu wamebebwa juu juu.
Wito kama serekali ya mkoa imeshindwa kutatua ishu ya mwendo kasi tafadhali Raisi wetu mependwa tatua hili tatizo, wananchi wako wanateseka na mwendo kasi, ndoa zinaharibika huko mitaani, mtu anatoka saa 11 jioni anafika home saa tatu usiku,
Kama Raisi imeweza mandege huko, mareli na mamiradi makubwa sembuse mwendo kasi? Si unatamka tu...
Basi hebu tamka kitu tuone kweli ni wa wanyonge! Achana na hao wanaokula viyoyozi kwenye magari yetu.
Huu mradi umekua wa hovyo kabisa, si siku za kawaida! Kimbembe kukunyesha mvua!
Leo kuna watu wamelipa nauli maeneo ya Fire, kkoo, posta nk kuanzia mchana wamelundikana tu vituoni magari hayapiti
Wamechukua nauli za watu na kuwajaza watu kuanzia mchana namagri hayapiti, mpaka watu wanamua kutoka kwenye vituo na kuacha nauli zao kwenda kutafuta usafiri mwingine!
Kimbembe kama ulikua na 650 tu leo watakesha kwenye vituo, mana magari hakuna.. Thuluma ilioje hii, nahisi huko maofisini wanajichekea tu kua wamelamba mia sita sita za watu na hawaleti magari, na ukitoka kituoni hawakurudishii kajifie mbele.
Wenye ndoa wasameheni wake zenu nanwaume zenu walioko huko mjini mana huko hali ni tete, magari hakuna na watu wengine wameamua kutoka kutafuta magari ya makumbusho kuzunguki kule!
Nyie mwendo kasi endeleni na uhuni wenu tu wa kupokea naili za watu na kutoleta magari, kwanini kama mnaona hamtaleta magari msiwaambie watu, nyie mnapokea tu pesa zao kuanzia mchana mpaka inaelekea saa moja jioni hakina magari.
Watanzania ni wapole ila kuna siku watachoka! Ingekua ni sehemu kadhaa huko nchi za wenzetu wasingekubali huu upuuzi.. mgekuta vibanda vyenu na wahudumu wamebebwa juu juu.
Wito kama serekali ya mkoa imeshindwa kutatua ishu ya mwendo kasi tafadhali Raisi wetu mependwa tatua hili tatizo, wananchi wako wanateseka na mwendo kasi, ndoa zinaharibika huko mitaani, mtu anatoka saa 11 jioni anafika home saa tatu usiku,
Kama Raisi imeweza mandege huko, mareli na mamiradi makubwa sembuse mwendo kasi? Si unatamka tu...
Basi hebu tamka kitu tuone kweli ni wa wanyonge! Achana na hao wanaokula viyoyozi kwenye magari yetu.