Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

It is confirmed wewe una matatizo ya akili!
"Mwenzangu"yupi mwenye akili timamu ambaye atashabikia up u u z i wa serikali hii ya wakoloni weusi?

Sijui hapa ana bembea Jamaica;Sijui political stabilization in Comorro;sijui u p uu zi social awareness in New Jersey ;sijui uharo political stabilization in Congo:Kwa gharama za nani?Kodi yangu inagharamia ujinga huu!
Anayeshabikia vioja vya serikali ya JK hana akili timamu!

"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Tumia akili hapa hatuko kwenye mashindano ya kuku. Usiwe kama boya la kuelea kwenye maji wenzio wenye akili wako kimya. Wanaelewa kazi gani Serikali ya kikwete imefanya.
Kojoa kalale

Serikali inayojisifu kuwapa gari la wagonjwa wananchi wake ni SERIKALI iliyokufa!

Serikali inayojisifu kwa PM wake kwenda kufungua private owned financial institutions ipo ICU

Kenya isiyo na vyanzo vingi vya umeme serikali yao imewapunguzia gharama za umeme lkn bado Kenyans wanasema punguzo halitoshi; TZ tumeongezewa bei kwa karibia asilimia 70 bado mbu mbu mbu fulani wanatuletea picha za watawala wakiwa kwenye semina zisizo na tija kabisa

Anayeshabikia kudorora kwa maisha ya watz sababu serikali yao inaendekeza ANASA hana akili timamu na hana exposure yyt nchi za wenzetu zinaendeshwaje!
 
fasta weka picha ya daraja la maragarasi..... wameshindwa wote JK kaweza

5.jpg




7.jpg

6.jpg
 
kitu nachokumbuka kikubwa ambacho serikali ya kikwete imefanya ni
1.KUUA ELIMU TU,KWA HILO NAMPONGEZA SANA KIKWETE KWA MIPANGO YAKE YA DIVISHENI FIVE.HAKUNA ZAIDI ALICHOFANYA CHA MAANA
2. KUWALINDA MAFISADI NA WEZI WOTE WA MALI ZA UMMA
3. KUUA TEMBO NA KUWALINDA WAUZAJI WA PEMBE ZA NDOVU
4. KUUZA TWIGA UARABUNI NA KUWALINDA WAHUJUMU UCHUMI

Aweke Picha za hivyo ulivyomwambia+ya maisha bora kwa mtanzania.
Anaweka picha za module anasema ni nyumba tena anadiriki kusema ni maendeleo JK kaleta.
Picha za kodi tunayolipa watanzania inavyofanya kazi ya kuwalipa mpaka mnaenda kulala bungeni weka picha.
Hivi huyu ni mtu mwenye akili timamu??
Poor Tanzanian
 
Aweke Picha za hivyo ulivyomwambia+ya maisha bora kwa mtanzania.
Anaweka picha za module anasema ni nyumba tena anadiriki kusema ni maendeleo JK kaleta.
Hivi huyu ni mtu mwenye akili timamu??
Poor Tanzanian
kijana mbona unajiaibisha. Kojoa kalale au fuatilia uzi wote halafu ujiangalie
 
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

Kwi kwi kwi teh teh teh!

Mbowe hawezi toa kioja kama hiki!Mmetunga tu kama mlivyo tunga juzi kuwa JK ndiye "ataongoza"mazishi ya Mzee Mandela

Nipe link yyt ile tofauti na ya Lumumba7FC inayo onyesha kauli hii!Sera za CCM zimeshindwa kuongoza
 
Mbowe hawezi toa kioja kama hiki!Mmetunga tu kama mlivyo tunga juzi kuwa JK ndiye "ataongoza"mazishi ya Mzee Mandela

Nipe link yyt ile tofauti na ya Lumumba7FC inayo onyesha kauli hii!Sera za CCM zimeshindwa kuongoza

inaweza kuwa wewe sio mtanzania, subiri kimbunga part 3
 
Annael umejitahidi. Umetimiza kazi ambayo jk ameipigia kelele siku nyingi ' tangazeni mazuri tunayoyafanya'.

Wekeni pia picha za mauaji ya Mwandishi Mwangosi, Babu Seya kifungoni, waliofukiwa na vifusi vya madini, waliathirika na maji sumu kutoka migodini, jk akianguka jukwaani, magari yakikwsma barabara kutopitika, misululu mirefu akina mama wakutafuta maji kahama, shinyanga, mabomu ya gongo la mboto...uchunguzi ukiendekea, vijana waathirka madawa ya kulevya. this will balance your story, itaonesha uzalendo wako pia.
 
Mshahara u umepanda 2005 alikiwa anapata 600000 sasa 1.5m thanks to jk
 
Serikali inayojisifu kuwapa gari la wagonjwa wananchi wake ni SERIKALI iliyokufa!

Serikali inayojisifu kwa PM wake kwenda kufungua private owned financial institutions ipo ICU

Kenya isiyo na vyanzo vingi vya umeme serikali yao imewapunguzia gharama za umeme lkn bado Kenyans wanasema punguzo halitoshi; TZ tumeongezewa bei kwa karibia asilimia 70 bado mbu mbu mbu fulani wanatuletea picha za watawala wakiwa kwenye semina zisizo na tija kabisa

Anayeshabikia kudorora kwa maisha ya watz sababu serikali yao inaendekeza ANASA hana akili timamu na hana exposure yyt nchi za wenzetu zinaendeshwaje!

Wewe nnauhakika shule ulisomea ujinga, WAMA ni Serikali? toka lini?

attachment.php
 
Back
Top Bottom