The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,331
Kutokana na kuongezeka kwa tatizo la ukosefu wa ajira, Serikali ya China imewaangushia wahitimu wa vyuo vikuu zigo la lawama kwamba ni wavivu, wabishi na hawataki kazi ngumu za shambani.
Hii ni kutokana na kwamba wahitimu wengi hawataki kurudi makwao vijijini kwa wazazi wako wakashiriki kazi za shamba ama kilimo, wanakatalia mjini.
Marekani wao wanasema kizazi cha wasomi wa sasa ni wabishi, wajuaji na hawana nidhamu.
=====
Beijing | China is shifting the blame for surging youth unemployment on to jobless university graduates, accusing them of refusing to put aside their professional ambitions and take on manual labour.
In recent weeks, state broadcasters and news agencies have published more than a dozen profiles of recent university graduates who allegedly made a fortune in low-skilled jobs such as selling street food or growing fruit, rather than pursuing a career in their area of study.
Zaidi soma=> Hapa
Hii ni kutokana na kwamba wahitimu wengi hawataki kurudi makwao vijijini kwa wazazi wako wakashiriki kazi za shamba ama kilimo, wanakatalia mjini.
Marekani wao wanasema kizazi cha wasomi wa sasa ni wabishi, wajuaji na hawana nidhamu.
=====
Beijing | China is shifting the blame for surging youth unemployment on to jobless university graduates, accusing them of refusing to put aside their professional ambitions and take on manual labour.
In recent weeks, state broadcasters and news agencies have published more than a dozen profiles of recent university graduates who allegedly made a fortune in low-skilled jobs such as selling street food or growing fruit, rather than pursuing a career in their area of study.
Zaidi soma=> Hapa