GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Sasa ni Mwezi unakatika kila ukiamka tu ni lazima ukumbane na Makundi mbalimbali ndani ya Klabu ya Yanga wakisema kuwa hawatocheza Mechi yao na Simba SC iliyopangwa Kufanyika tarehe 3 July, 2021.
Kila hawa Wapuuzi na Wahuni (Yanga SC) kupitia Makundi yao Kuanzia Msemaji wao Mshamba ( Mbwiga ) Bumbuli, Baraza la Wazee na Viongozi wa Matawi wakihojiwa Sababu ya Uamuzi wao huu wanachosema ni kuwa wanataka TFF iwaeleze ni kwanini iliahirisha Mchezo ule ambao Kimsingi ' uliahirishwa ' na Serikali na Ushahidi wa Tangazo husika kila Mdau wa Michezo aliliona na Kulisoma.
Kinachonishangaza zaidi GENTAMYCINE juu ya ' Uhuni ' huu wa Yanga SC ni kuona Serikali ( asa kupitia Wizara husika) ambayo pia inaongozwa na Waziri mwana Yanga SC ' Kindakindaki ' Bashungwa akinyamaza na akiwanyamazia hawa ' Wahuni ' hali inayotufanya Wadadisi na Wachambuzi wa Masuala (Issues) tuanze Kuhisi kuwa huenda hata huyu Waziri nae ni sehemu ya huu ' Mkakati ' wa Kipumbavu (Kipopoma) unaofanywa na Yanga SC.
Waziri wa Michezo Bashungwa na Serikali yako mnaweza mkadhani kuwa ' Uhuni ' huu unaofanywa na Yanga SC hauna ' Madhara ' ila kwa akina GENTAMYCINE tuliobarikiwa ' Maono ' tumeanza Kuona dalili za ' Hatari ' Kubwa hasa katika Soka la Tanzania na Ligi Kuu yetu ila ' Hatari ' kubwa naiona inaweza kwenda kutokea pale Uwanjani ( hasa pale tu Timu moja ) ikifungwa huku ' Mashabiki ' wake wakiwa wameaminishwa Ushindi au kukatishwa Tamaa ya kuwepo kwa Mchezo huo.
Katika hili naiomba Serikali ya Tanzania (hasa kupitia Waziri Bashungwa ) kuwa upesi sana liingilieni Kati, mlitolee Ufafanuzi, mkiri kuwa nyie kama Mamlaka Kuu ya Serikali ndiyo mliamua ' Kuihairisha ' Mechi ile na siyo TFF kama ambayo inatupiwa Lawama na Yanga SC ( na wana Yanga wengi) kuwa wao (TFF) ndiyo ' waliiahirisha ' wakati ' walioihairisha ' kwa sababu wazijuazo Wao ni Serikali hivyo TFF ' Kulaumiwa ' ni Kuonewa tu na Watu fulani (Wapumbavu ) kutafuta sababu kuwa ' Wakifungwa ' basi ' msababishi ' ni TFF kisha waanzishe ' Fujo ' ambayo huenda ' ikaigharimu ' Soka la Tanzania ambalo kwa sasa linakuwa vizuri kwa Matokeo mazuri ya Klabu Bingwa, pendwa na ' iliyobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.
Tafadhali Serikali, Wizara husika na Waziri mwenye Dhamama tokeni huko ' mlikojificha ' na mlitolee hili ' Sakata ' Tamko lenu la mwisho lenye Mamlaka ili liishe na lieweke kwani kwa Kulinyamazia hivi ni Kutesa tu ' Saikolojia ' za Wananchi ( hasa Wapenda Soka nchini ) na hata wale wasiopenda ila huwa wanafuatilia tu.
Kila hawa Wapuuzi na Wahuni (Yanga SC) kupitia Makundi yao Kuanzia Msemaji wao Mshamba ( Mbwiga ) Bumbuli, Baraza la Wazee na Viongozi wa Matawi wakihojiwa Sababu ya Uamuzi wao huu wanachosema ni kuwa wanataka TFF iwaeleze ni kwanini iliahirisha Mchezo ule ambao Kimsingi ' uliahirishwa ' na Serikali na Ushahidi wa Tangazo husika kila Mdau wa Michezo aliliona na Kulisoma.
Kinachonishangaza zaidi GENTAMYCINE juu ya ' Uhuni ' huu wa Yanga SC ni kuona Serikali ( asa kupitia Wizara husika) ambayo pia inaongozwa na Waziri mwana Yanga SC ' Kindakindaki ' Bashungwa akinyamaza na akiwanyamazia hawa ' Wahuni ' hali inayotufanya Wadadisi na Wachambuzi wa Masuala (Issues) tuanze Kuhisi kuwa huenda hata huyu Waziri nae ni sehemu ya huu ' Mkakati ' wa Kipumbavu (Kipopoma) unaofanywa na Yanga SC.
Waziri wa Michezo Bashungwa na Serikali yako mnaweza mkadhani kuwa ' Uhuni ' huu unaofanywa na Yanga SC hauna ' Madhara ' ila kwa akina GENTAMYCINE tuliobarikiwa ' Maono ' tumeanza Kuona dalili za ' Hatari ' Kubwa hasa katika Soka la Tanzania na Ligi Kuu yetu ila ' Hatari ' kubwa naiona inaweza kwenda kutokea pale Uwanjani ( hasa pale tu Timu moja ) ikifungwa huku ' Mashabiki ' wake wakiwa wameaminishwa Ushindi au kukatishwa Tamaa ya kuwepo kwa Mchezo huo.
Katika hili naiomba Serikali ya Tanzania (hasa kupitia Waziri Bashungwa ) kuwa upesi sana liingilieni Kati, mlitolee Ufafanuzi, mkiri kuwa nyie kama Mamlaka Kuu ya Serikali ndiyo mliamua ' Kuihairisha ' Mechi ile na siyo TFF kama ambayo inatupiwa Lawama na Yanga SC ( na wana Yanga wengi) kuwa wao (TFF) ndiyo ' waliiahirisha ' wakati ' walioihairisha ' kwa sababu wazijuazo Wao ni Serikali hivyo TFF ' Kulaumiwa ' ni Kuonewa tu na Watu fulani (Wapumbavu ) kutafuta sababu kuwa ' Wakifungwa ' basi ' msababishi ' ni TFF kisha waanzishe ' Fujo ' ambayo huenda ' ikaigharimu ' Soka la Tanzania ambalo kwa sasa linakuwa vizuri kwa Matokeo mazuri ya Klabu Bingwa, pendwa na ' iliyobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.
Tafadhali Serikali, Wizara husika na Waziri mwenye Dhamama tokeni huko ' mlikojificha ' na mlitolee hili ' Sakata ' Tamko lenu la mwisho lenye Mamlaka ili liishe na lieweke kwani kwa Kulinyamazia hivi ni Kutesa tu ' Saikolojia ' za Wananchi ( hasa Wapenda Soka nchini ) na hata wale wasiopenda ila huwa wanafuatilia tu.