Serikali (Waziri Bashungwa) tafadhali toeni tamko lenu la kimamlaka kuhusu ''Uhuni'' unaendelea kufanywa na klabu ya Yanga

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,548
108,882
Sasa ni Mwezi unakatika kila ukiamka tu ni lazima ukumbane na Makundi mbalimbali ndani ya Klabu ya Yanga wakisema kuwa hawatocheza Mechi yao na Simba SC iliyopangwa Kufanyika tarehe 3 July, 2021.

Kila hawa Wapuuzi na Wahuni (Yanga SC) kupitia Makundi yao Kuanzia Msemaji wao Mshamba ( Mbwiga ) Bumbuli, Baraza la Wazee na Viongozi wa Matawi wakihojiwa Sababu ya Uamuzi wao huu wanachosema ni kuwa wanataka TFF iwaeleze ni kwanini iliahirisha Mchezo ule ambao Kimsingi ' uliahirishwa ' na Serikali na Ushahidi wa Tangazo husika kila Mdau wa Michezo aliliona na Kulisoma.

Kinachonishangaza zaidi GENTAMYCINE juu ya ' Uhuni ' huu wa Yanga SC ni kuona Serikali ( asa kupitia Wizara husika) ambayo pia inaongozwa na Waziri mwana Yanga SC ' Kindakindaki ' Bashungwa akinyamaza na akiwanyamazia hawa ' Wahuni ' hali inayotufanya Wadadisi na Wachambuzi wa Masuala (Issues) tuanze Kuhisi kuwa huenda hata huyu Waziri nae ni sehemu ya huu ' Mkakati ' wa Kipumbavu (Kipopoma) unaofanywa na Yanga SC.

Waziri wa Michezo Bashungwa na Serikali yako mnaweza mkadhani kuwa ' Uhuni ' huu unaofanywa na Yanga SC hauna ' Madhara ' ila kwa akina GENTAMYCINE tuliobarikiwa ' Maono ' tumeanza Kuona dalili za ' Hatari ' Kubwa hasa katika Soka la Tanzania na Ligi Kuu yetu ila ' Hatari ' kubwa naiona inaweza kwenda kutokea pale Uwanjani ( hasa pale tu Timu moja ) ikifungwa huku ' Mashabiki ' wake wakiwa wameaminishwa Ushindi au kukatishwa Tamaa ya kuwepo kwa Mchezo huo.

Katika hili naiomba Serikali ya Tanzania (hasa kupitia Waziri Bashungwa ) kuwa upesi sana liingilieni Kati, mlitolee Ufafanuzi, mkiri kuwa nyie kama Mamlaka Kuu ya Serikali ndiyo mliamua ' Kuihairisha ' Mechi ile na siyo TFF kama ambayo inatupiwa Lawama na Yanga SC ( na wana Yanga wengi) kuwa wao (TFF) ndiyo ' waliiahirisha ' wakati ' walioihairisha ' kwa sababu wazijuazo Wao ni Serikali hivyo TFF ' Kulaumiwa ' ni Kuonewa tu na Watu fulani (Wapumbavu ) kutafuta sababu kuwa ' Wakifungwa ' basi ' msababishi ' ni TFF kisha waanzishe ' Fujo ' ambayo huenda ' ikaigharimu ' Soka la Tanzania ambalo kwa sasa linakuwa vizuri kwa Matokeo mazuri ya Klabu Bingwa, pendwa na ' iliyobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.

Tafadhali Serikali, Wizara husika na Waziri mwenye Dhamama tokeni huko ' mlikojificha ' na mlitolee hili ' Sakata ' Tamko lenu la mwisho lenye Mamlaka ili liishe na lieweke kwani kwa Kulinyamazia hivi ni Kutesa tu ' Saikolojia ' za Wananchi ( hasa Wapenda Soka nchini ) na hata wale wasiopenda ila huwa wanafuatilia tu.
 
Timu itaingia kwa muda uliopangwa, kama kuna mabadiliko inajulikana muda wa kubadilisha, sio kuleta uhuni lisaa kabla ya mechi mtu anaibuka tu kusogeza muda, Yanga hatupendi ujinga.
 
Unajua kanuni za kumalizwa mchezo? Refa aliyemaliza mchezo alikuwepo? Aliwakagua? Alisubiri dk 15 za kikanuni akawapa ushindi?

Bangi bana
Marefa wasipotokea au kuchelewa kufika uwanjani bila taarifa yoyote...kanuni zinasemaje juu ya Waamuzi wa mchezo husika!!?

Mind timu iliyofika uwanjani ni moja..! Nyingine na Marefa hawakufika uwanjani...je kuna sababu ya msingi? au kuna njama dhidi ya timu iliyofika uwanjani???
Ni sababu ipi ya msingi iliyosababisha Hali hiyo kutokea!!!
Kanuni za kuendesha Ligi zinasemaje kuhusu sintofahamu hiyo?
 
hayo yote yanayotamkwa na wahuni wa utopolo hawajui kilichomo ndani ni kwamba gemu itapigwa kama kawa ila hawa wazee walipochungulia wakaona mabadiliko yatawanyima ulaji ndo mbna wakatoka ili mashabiki wajue kitakachowakuta ni kwa sabab waliiongea vibaya gsm. klabu haijatoa tamko lolote hvyo gemu ipo ila sasa kila kikundi ndani ya klabu kinapigania tumbo
 
kwani mna shida gani nyie? si muende mkacheze wenyewe inatosha? unamlazimisha mtu kucheza naye?
Hakuna timu inayocheza yenyewe, na hakuna anayekulazimisha kuwa mwanachama wa TFF. Lakini ukiwa mwanachama wa TFF, ni lazima ukubali kupangiwa, iwe kucheza au kufanya jambo lolote la kimichezo. Kama hautaki kucheza na huku ukiwa tayari mwanachama wa TFF, basi utaadhibiwa vilivyo kwa kuteremshwa madaraja mawili. acheni uoga, tunajua kambini amebaki golikipa mmoja tu, maana Metacha na Kabwili wameshasepa zao. Akiumia tu huyo Shikhalo, itabidi mchezaji mmoja wa ndani akae langoni
 
Hakuna timu inayocheza yenyewe, na hakuna anayekulazimisha kuwa mwanachama wa TFF. Lakini ukiwa mwanachama wa TFF, ni lazima ukubali kupangiwa, iwe kucheza au kufanya jambo lolote la kimichezo. Kama hautaki kucheza na huku ukiwa tayari mwanachama wa TFF, basi utaadhibiwa vilivyo kwa kuteremshwa madaraja mawili. acheni uoga, tunajua kambini amebaki golikipa mmoja tu, maana Metacha na Kabwili wameshasepa zao. Akiumia tu huyo Shikhalo, itabidi mchezaji mmoja wa ndani akae langoni
kwahiyo utashurutishwa kucheza bila utaratibu
 
Unajua kanuni za kumalizwa mchezo? Refa aliyemaliza mchezo alikuwepo? Aliwakagua? Alisubiri dk 15 za kikanuni akawapa ushindi?

Bangi bana
Hapa si serikali wala tff wala mikia mwenye kusema fyoko!! Mkijamba tu sisi tunaharisha na mpira wenyewe kwa ujumla lazima upepesukie huko gizani!
 
Sasa ni Mwezi unakatika kila ukiamka tu ni lazima ukumbane na Makundi mbalimbali ndani ya Klabu ya Yanga wakisema kuwa hawatocheza Mechi yao na Simba SC iliyopangwa Kufanyika tarehe 3 July, 2021.

Kila hawa Wapuuzi na Wahuni (Yanga SC) kupitia Makundi yao Kuanzia Msemaji wao Mshamba ( Mbwiga ) Bumbuli, Baraza la Wazee na Viongozi wa Matawi wakihojiwa Sababu ya Uamuzi wao huu wanachosema ni kuwa wanataka TFF iwaeleze ni kwanini iliahirisha Mchezo ule ambao Kimsingi ' uliahirishwa ' na Serikali na Ushahidi wa Tangazo husika kila Mdau wa Michezo aliliona na Kulisoma.

Kinachonishangaza zaidi GENTAMYCINE juu ya ' Uhuni ' huu wa Yanga SC ni kuona Serikali ( asa kupitia Wizara husika) ambayo pia inaongozwa na Waziri mwana Yanga SC ' Kindakindaki ' Bashungwa akinyamaza na akiwanyamazia hawa ' Wahuni ' hali inayotufanya Wadadisi na Wachambuzi wa Masuala (Issues) tuanze Kuhisi kuwa huenda hata huyu Waziri nae ni sehemu ya huu ' Mkakati ' wa Kipumbavu (Kipopoma) unaofanywa na Yanga SC.

Waziri wa Michezo Bashungwa na Serikali yako mnaweza mkadhani kuwa ' Uhuni ' huu unaofanywa na Yanga SC hauna ' Madhara ' ila kwa akina GENTAMYCINE tuliobarikiwa ' Maono ' tumeanza Kuona dalili za ' Hatari ' Kubwa hasa katika Soka la Tanzania na Ligi Kuu yetu ila ' Hatari ' kubwa naiona inaweza kwenda kutokea pale Uwanjani ( hasa pale tu Timu moja ) ikifungwa huku ' Mashabiki ' wake wakiwa wameaminishwa Ushindi au kukatishwa Tamaa ya kuwepo kwa Mchezo huo.

Katika hili naiomba Serikali ya Tanzania (hasa kupitia Waziri Bashungwa ) kuwa upesi sana liingilieni Kati, mlitolee Ufafanuzi, mkiri kuwa nyie kama Mamlaka Kuu ya Serikali ndiyo mliamua ' Kuihairisha ' Mechi ile na siyo TFF kama ambayo inatupiwa Lawama na Yanga SC ( na wana Yanga wengi) kuwa wao (TFF) ndiyo ' waliiahirisha ' wakati ' walioihairisha ' kwa sababu wazijuazo Wao ni Serikali hivyo TFF ' Kulaumiwa ' ni Kuonewa tu na Watu fulani (Wapumbavu ) kutafuta sababu kuwa ' Wakifungwa ' basi ' msababishi ' ni TFF kisha waanzishe ' Fujo ' ambayo huenda ' ikaigharimu ' Soka la Tanzania ambalo kwa sasa linakuwa vizuri kwa Matokeo mazuri ya Klabu Bingwa, pendwa na ' iliyobarikiwa ' na Mwenyezi Mungu ya Simba Sports Club.

Tafadhali Serikali, Wizara husika na Waziri mwenye Dhamama tokeni huko ' mlikojificha ' na mlitolee hili ' Sakata ' Tamko lenu la mwisho lenye Mamlaka ili liishe na lieweke kwani kwa Kulinyamazia hivi ni Kutesa tu ' Saikolojia ' za Wananchi ( hasa Wapenda Soka nchini ) na hata wale wasiopenda ila huwa wanafuatilia tu.
Hivi maneno yanapokusumbua, je ikiwa ni vitendo? Achana nao fanya mengine ya kukuingizia kipato
 
Back
Top Bottom