GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,182
Tokea mwaka jana GENTAMYCINE nimewaasa sana hapa JamiiForums kwa kuwataka ikataeni Serikali na Misaada yake ya Kinafiki Kwenu kwani wala haiwapendi mmekataa Kunisikia na Kunielewa.
Wana Simba SC (baadhi yenu) mlivyo Majuha (Fools) tokea Juzi mnlalamika Kubaguliwa na Serikali kwa kuwasaodoa na kuwajali zaidi Yanga SC.
Hivi kama Mshauri Mkuu wa Mama yenu mwana Yanga SC na Mfadhili wao tu hatozwi Kodi Kubwa kama anavyotozwa Tajiri Kibyongo wenu mlitegemea Awamu hii mpendwe na mthaminiwe?
Na mlivyo wapumbavu baadhi yenu ni kwamba pamoja na huku Kutokupendwa Kwenu bado Kutwa mkiingia Viwanjani mnabeba Mabango ya Kumsifia Mama yenu huku, wengine mkiwa mnahojiwa na Press ( Media ) kuhusu Timu yenu mnatumia Sekunde 7 tu Kuiongelea Simba SC ila mnatumia dakika 20 nzima Kumsifia Mama yenu.
GENTAMYCINE nasikia raha sana jinsi mnavyofanyiwa na Kunyanyasika sasa na Serikali hii ya Mama yenu kwani Niliwaonya mno ila kama Kawaida yenu hamjajua kuwa Mimi ni Nabii na mwana Maono hivyo hakuna ambacho nakionya au nakizungumzia halafu kwa 95% kisitokee.
Na mtanyanywswa mno hadi mkome kwakuwa licha ya kuwa Wabishi kwa kila ninachowaambia lakini pia wengi wenu hamna Akili na ndiyo maana mnafanyiwa Vitimbi vya Kubaguliwa na bado mpo mpo tu.
Kudadadeki!
Wana Simba SC (baadhi yenu) mlivyo Majuha (Fools) tokea Juzi mnlalamika Kubaguliwa na Serikali kwa kuwasaodoa na kuwajali zaidi Yanga SC.
Hivi kama Mshauri Mkuu wa Mama yenu mwana Yanga SC na Mfadhili wao tu hatozwi Kodi Kubwa kama anavyotozwa Tajiri Kibyongo wenu mlitegemea Awamu hii mpendwe na mthaminiwe?
Na mlivyo wapumbavu baadhi yenu ni kwamba pamoja na huku Kutokupendwa Kwenu bado Kutwa mkiingia Viwanjani mnabeba Mabango ya Kumsifia Mama yenu huku, wengine mkiwa mnahojiwa na Press ( Media ) kuhusu Timu yenu mnatumia Sekunde 7 tu Kuiongelea Simba SC ila mnatumia dakika 20 nzima Kumsifia Mama yenu.
GENTAMYCINE nasikia raha sana jinsi mnavyofanyiwa na Kunyanyasika sasa na Serikali hii ya Mama yenu kwani Niliwaonya mno ila kama Kawaida yenu hamjajua kuwa Mimi ni Nabii na mwana Maono hivyo hakuna ambacho nakionya au nakizungumzia halafu kwa 95% kisitokee.
Na mtanyanywswa mno hadi mkome kwakuwa licha ya kuwa Wabishi kwa kila ninachowaambia lakini pia wengi wenu hamna Akili na ndiyo maana mnafanyiwa Vitimbi vya Kubaguliwa na bado mpo mpo tu.
Kudadadeki!