ozone layer
JF-Expert Member
- Oct 27, 2021
- 471
- 1,913
Polisi wangeweza kutowafanya kitu, ila kumpora mtu simu yake akipata mwanasheria mzuri akiunganisha na vingine ulimpora, kutumua ofisi yako kama tegesheo la kupora watu vitu basi ingekuwa kesi kubwa au anehonga sana zaid ya hiyo 1mKwani ungepeleka hizo details police ndio wangekuja kuwafanya Nini hao jamaa?Kuwatishia/kuwafunga au?
Mpakistani hakupi 1mil kizembe namna hio.