Mshobaa
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,678
- 595
Kwa kweli kuna hii barabara inaanzia hapa Tegeta A hadi goba mpakani hali ni mbaya sana. Imefikia hadi watu wanahama makwao kutokana na hali ya usafiri wa eneo hili kua mgumu kupitiliza, baada ya daladala kukimbia kutoa huduma eneo hilo.
Hali ya hii barabara inatisha sana ni ajabu wameshindwa hata kuichonga walao mara moja iwe inapitika. Naiomba serikali iiangalie kwa mapana barabara hii maana pia wapo walipakodi wengi tu lakini kwa hali hii inasababisha uchumi wa eneo hilo kudorora na hali ya maisha kua juu.
Hali ya hii barabara inatisha sana ni ajabu wameshindwa hata kuichonga walao mara moja iwe inapitika. Naiomba serikali iiangalie kwa mapana barabara hii maana pia wapo walipakodi wengi tu lakini kwa hali hii inasababisha uchumi wa eneo hilo kudorora na hali ya maisha kua juu.