Serikali: Kupanda kwa bei ya Nyama kunatokana na upungufu wa Ng'ombe

Wapromote ufugaji wa Ngrooohhhh? Miezi sita tu anaingia sokoni, wakati Ng'ombe anahitaji miaka miwili na uzao wao ni wa 1\1\ na mimba ya miezi 9. Wakati Ngrooohhh mimba moja watoto 12 na mimba ni miezi mitatu tu.
hahah noma sana
 
Kitoweo kinatokana majini..samaki ndiyo kitoweo! Nyama ni mboga
 
Jamii za kifugaji asilimia kubwa wamekataa kubadilika na kuachana na ufugaji wa kizamani.

Imefika wakati inatakiwa sera na sheria zitungwe kudhibiti ufugaji holela wa Ng'ombe.

Lazma kuwe na maximum capacity ya kumiliki Ng'ombe kwa kikundi au mtu ambae anatumia Communal graizing area. kama chanzo cha marisho ya mifugo yake.

kila Ng'ombe anaezid maximum capicity ilio wekwa ni lazima alipiwe kodi. Hii sio tu itapunguza ufugaji wa Ng'ombe wengi wasio na tija bali itasaidia kutunza mazingira yetu.

Special school kwa hizi jamii za kifugaji. Kuna msemo unasema "You can't teach an old dog new technic" Wekeza kwa watoto wanao zaliwa sasa hivi, Wapewe elimu ya kutosha. Ikiwezekana wawe wanasoma boarding school, huko unahakikisha ideoligy ya ufugaji wa kienyeji inaondoka na baada ya miaka 25 kutakua na kizazi kipya cha hizi jamii ambacho kinafikiri tofauti na kizazi cha sasa hivi.
 
Jana niliwasikia wenye mabucha wakisema sababu ni upungufu wa wateja! Hivyo wanawakamua hao wachache.
 
Tuanze kula nyati, tembo, na swala. Kkudadek
 
The last time I checked Abdala Ulega alikuwa naibu waziri wa mifugo na uvuvi na Si vinginevyo kama unavyotujuza hapa
 
Kama kuna watu wana bahati duniani ni huyu jamaa anayeitwa Waziri, .... Kwanza uongeaji wake tu unaonyesha ni mwongo, ni fundi wa kupanga maneno balaa... namkumbuka akiwa naibu Waziri wa Habari na Michezo kwenye ishu ya SERA YA MICHEZO TANZANIA ..
 
Tz ni nchi ya pili Africa kwa kuwa na ng'ombe wengi ukitoa Zambia
Sa iweje ng'ombe wapungue
Tozo had kwenye mazao ya mifugo ndo shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…