Tuliahidi tunatekeleza!
Maendeleo kwa maana ya serikali a ccm na wanaccm ni vitu na si intelligence ya watu wake ama productivity ya watu wake,by the way hivi ukimaliza ujinga na umasikini Tanzania nani ataichagua ccm?Wewe na serikali yako bado mnahitaji kuombewa maana hamjijui mko wapi mkuu. Jiulize flyover itaibadilisha vipi future ya nchi maskini kama hii ya kwetu mkuu na pia nawaza ni lipi hii serikali imelifanya kutuvusha sisi katika suala la kipato na pia kuongeza life expectancy zetu. Nyie acheni ujanjaujanja wa kitoto fanyeni mambo sawa na nyakati tulizopo na si kutuburuza kifikra
KwaniTrump alisemaje kuhusu Africans na uwezo wao Wa kuplan? Ndo maana wakati wao wanafikiria kwenda sayari nyingine sisi tunafikiri kuwafanya watanzania wote wawe wanaccm ili asiwepo mtu Wa kuhoji makaburinahata ule ujenzi wa mwendo kasi pale lazima utavamiwa ...kama nikweli wanastahiki ponhezi dhidi ya huo mradi ..but kitu ambacho huwa ninashindwa kuwaelewa nikutekeleza miradi flani kisha kujakuibomoa miundo mbinu hiyo kwa mradi mwingine unaokuja tena katika wakati mfupi ..mfano hayo magorof ya Morocco mengine hata kukamilika bado it means watu wa mipango miji hawakuwa na mipngo ya muda wa miaka 50 mbele mipngo yao niyamuda mfupi mfupi tu pasipo kujiuliza kitakachokuja kufuata mbele...mwisho wasiku wahusika wanakuwa wamepata hasara ...kuanzia serikali mpka sekta binfsi..nakama wasipo pata hasar basii serikali inajikuta inapoteza pesa nyingi katk kuwalipa wahusika wakati kama pangekuwa na tahadhari ykujengwa kwa hayo maeneo hiyo hasara isingepatikana
Hukumsikia msemaji wa serikali dkt Abasi?umeambiwa hizo hela za kujenga flyover ni zile million 50 za kila kijiji.............????
ama kweli unenayo nisahihi kabisa aiseeeKwaniTrump alisemaje kuhusu Africans na uwezo wao Wa kuplan? Ndo maana wakati wao wanafikiria kwenda sayari nyingine sisi tunafikiri kuwafanya watanzania wote wawe wanaccm ili asiwepo mtu Wa kuhoji makaburi
Kampeni zq 2020 zimeanza....Mwaka huu serikali itakamilisha upembuzi yakinifu kwa ajili ya ujenzi wa barabara saba za juu (flyover) ktk jiji la Dar es Salaam. Barabara hizo zitajengwa ktk maeneo ya Chang’ombe, Uhasibu, Mwenge, Morocco, Kamata, Magomeni na Tabata. -@TZ_MsemajiMkuu wa Serikali, Dk Abbasi.
![]()
wizara zimeshahama DSM....je foleni imepungua??Just thinking loud.Hivi baada ya wizara zote kuhamia dodoma congestion city centre haitapungua?
Mwaka huu serikali itakamilisha upembuzi yakinifu kwa ajili ya ujenzi wa barabara saba za juu (flyover) ktk jiji la Dar es Salaam. Barabara hizo zitajengwa ktk maeneo ya Chang’ombe, Uhasibu, Mwenge, Morocco, Kamata, Magomeni na Tabata. -@TZ_MsemajiMkuu wa Serikali, Dk Abbasi.
![]()
Kuna flay over na fly junctions! Hizo picha za majuu mnazotuwekea ndo flayover Tanzania hatuwezi kujenga!
'upembuzi yakinifu'....
Spaghetti Junction.Mwaka huu serikali itakamilisha upembuzi yakinifu kwa ajili ya ujenzi wa barabara saba za juu (flyover) ktk jiji la Dar es Salaam. Barabara hizo zitajengwa ktk maeneo ya Chang’ombe, Uhasibu, Mwenge, Morocco, Kamata, Magomeni na Tabata. -@TZ_MsemajiMkuu wa Serikali, Dk Abbasi.
![]()
Hujaelewa mkuu , Daraja kama la Manzese haliwezi kuwa flyoverIt was long over due, hongera sana serekali ya awamu ya tano kwa kufanya uamuzi wa busara
Scandinavia hakuna skyscrapers lakini wanaongoza kusaidia nchi masikini duniani....maujenzi yote hayo wizi tu 10% ..Serikali inahamia Dodoma foleni zitatokea wapi..Kwa kweli, waende na Mbeya hata kujenga magorofa yafike kumi, lile jiji, dah!