Serikali Kujenga Flyover Saba katika jiji la Dar es Salaam

Serikali Kujenga Flyover Saba katika jiji la Dar es Salaam

Daraja la Kigamboni lilipangwa kujegwa tangu 1933
Na sisi tumepata bahati ya kula matunda yake
Kukata tamaa ni mwiko!
Tunayaweza maana hatuna tena uwoga ndani yetu
SKY IS NOT A LIMIT
haya mkuu
 
Tutoleeni UPUPU wenu hapa!
Toka 1961 kauli yenu ni ‘tutajenga’
Lile daraja kuubwa kuunganisha Masaki na Kariakoo bado upembuzi haujaisha?
Kila siku tutafanya tutafanya!
 
Tutoleeni UPUPU wenu hapa!
Toka 1961 kauli yenu ni ‘tutajenga’
Lile daraja kuubwa kuunganisha Masaki na Kariakoo bado upembuzi haujaisha?
Kila siku tutafanya tutafanya!
Toa wazo lililopo kichwani mwako basi.
 
Kuna Miradi ya maji inatekelezwa pia, Umeme kuna miradi inatelekezwa, kuna uboreshaji wa vituo vya afya...yote yanafanyika....lazima tutoe pongezi kwa serikali ya JPM
Pia kuna utanuzi wa mapaja oh sorry madaraja unendelea lazima tupongeze
 
Kwani watanzania tumesema tunataka kupita juu sisi tunataka
Maji Safi, salama na ya unakuja 24/7
Umeme wa uhakika 24/7
Elimu Bora na sio hii ngonjera tunazofundishwa sahivi
Ajira
Mazingira mazuri ya kujiajiri nasio hizo barabara za juu maana sisi za chini zinatutosha mkiweza ziweka katika good condition
Mkuuu kwangu mm naona hivo ndo muhimu sana maana vinagusa moja kwa moja maisha ya mtanzania mnyonge.
 
Kwani watanzania tumesema tunataka kupita juu sisi tunataka
Maji Safi, salama na ya unakuja 24/7
Umeme wa uhakika 24/7
Elimu Bora na sio hii ngonjera tunazofundishwa sahivi
Ajira
Mazingira mazuri ya kujiajiri nasio hizo barabara za juu maana sisi za chini zinatutosha mkiweza ziweka katika good condition
Panda daladala ya kupita hizo junction, au kama una gari pita mida ya rush hour, nakuhakikishia foleni utakayokumbanna nayo utarudi kuomba radhi
 
Back
Top Bottom