Serikali Kujenga Flyover Saba katika jiji la Dar es Salaam

Serikali Kujenga Flyover Saba katika jiji la Dar es Salaam

Kuna kituo huko muuguzi katutoka na hakina daktari, mpka muhula uishe wakazi wake watakuwa wabobezi wa dawa za mitishamba.
 
Mwaka huu serikali itakamilisha upembuzi yakinifu kwa ajili ya ujenzi wa barabara saba za juu (flyover) ktk jiji la Dar es Salaam. Barabara hizo zitajengwa ktk maeneo ya Chang’ombe, Uhasibu, Mwenge, Morocco, Kamata, Magomeni na Tabata. -@TZ_MsemajiMkuu wa Serikali, Dk Abbasi.
DVfzC6_X0AAVtth.jpg:large
Faken kweli
 
Kwa staili za viongozi wetu, Dar pekeee inawatosha kuifanyia maendeleo sehemu zingine watelekeze tu. Tutasubiri awamu ya wasio pro - dar. Maana kuja kuwa kiongozi mkubwa tanzania lazima unakuwa umeishakuwa mkazi wa dar kitambo. Dar itazidi kujaa foleni hata wangeamua kuweka barabara mawinguni maana idadi ya watu itazidi kuongezeka maradufu kwa watu wanafuata maendeleo yanayowekwa na viongozi wetu.
Mikoa mingine tutasubiri sana
 
Shukrani za kipekee kwa World Bank kwa kuzuia bomoabomoa ya Ubungo-Kimara ambapo zaidi ya Nyumba 12,000 zilikuwa zibomolewe..

Kama sio World Bank kusema bomoabomoa hii ipo kinyume cha sheria na haki za binadamu MPAKA WATU WALIPWE FIDIA hivyo inasitisha fedha za ujenzi wa upanuzi wa Morogoro road, PEPO LA UHARIBIFU alilonalo mtu yule lingekuwa lipo kazini hivi sasa.

Note: Pepo la UHARIBIFU na Pepo la VISASI ni kama watoto mapacha wanaofanana ( identical twins), wakati wote wapo pamoja.
WACHAGA mnahangaika sana awamu hii! Ila mtamuelewa tu.
 
Mwaka huu serikali itakamilisha upembuzi yakinifu kwa ajili ya ujenzi wa barabara saba za juu (flyover) ktk jiji la Dar es Salaam. Barabara hizo zitajengwa ktk maeneo ya Chang’ombe, Uhasibu, Mwenge, Morocco, Kamata, Magomeni na Tabata. -@TZ_MsemajiMkuu wa Serikali, Dk Abbasi.
DVfzC6_X0AAVtth.jpg:large
Sio ubungo tena?? teh teh tehhhh!!
 
Shukrani za kipekee kwa World Bank kwa kuzuia bomoabomoa ya Ubungo-Kimara ambapo zaidi ya Nyumba 12,000 zilikuwa zibomolewe..

Kama sio World Bank kusema bomoabomoa hii ipo kinyume cha sheria na haki za binadamu MPAKA WATU WALIPWE FIDIA hivyo inasitisha fedha za ujenzi wa upanuzi wa Morogoro road, PEPO LA UHARIBIFU alilonalo mtu yule lingekuwa lipo kazini hivi sasa.

Note: Pepo la UHARIBIFU na Pepo la VISASI ni kama watoto mapacha wanaofanana ( identical twins), wakati wote wapo pamoja.

Hutakaa usikie wakitaja tena flyover za Ubungo, turst me!
 
Mwaka huu serikali itakamilisha upembuzi yakinifu kwa ajili ya ujenzi wa barabara saba za juu (flyover) ktk jiji la Dar es Salaam. Barabara hizo zitajengwa ktk maeneo ya Chang’ombe, Uhasibu, Mwenge, Morocco, Kamata, Magomeni na Tabata. -@TZ_MsemajiMkuu wa Serikali, Dk Abbasi.
DVfzC6_X0AAVtth.jpg:large
Kwa ramani hizo jiji litakuwa ni kama ulaya ndogo
 
Back
Top Bottom