kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Ahahahahaakuzuia ngono ni kazi kubwa, maana hata mzuia ngono na yeye anatamani apewe ofa hata round moja
Nilipofika kwenye ghetto la mwisho niliwakuta wananegotiate bei ndipo nikakumbuka kuwa niliwahi kusikia Sudan kuna vibanda vya ujasiriamaliSasa hasira zako ni kwasababu serikali haipati kodi kutoka kwa hao wanaojiuza au ni nini? Kwa hiyo wakilipishwa kodi utaifurahia hiyo biashara yao na hautakua na shida nao tena?
Lakini ni dots gani hizo uliunganisha mpaka ukajiaminisha kua "wanauza"? Ulienda kuuliza bei? Waliweka matangazo? Au ulipoona wanawake wanaota jua ukapata hisia kua wanauza?
aiseee, rudisha lile jina lako mdada
Hivi kuna watu kupitia Uzi huu watajitosa huko?Wao wajisiamiili wa Sudan, Temeke, wamekupa nini ili uwatangazie biashara yao?
Haram tam!Hivi wakirasimishwa si itabidi nao wapewe vitambulisho vya mjasiliamali...
Hilo nalo neno.Sasa hasira zako ni kwasababu serikali haipati kodi kutoka kwa hao wanaojiuza au ni nini? Kwa hiyo wakilipishwa kodi utaifurahia hiyo biashara yao na hautakua na shida nao tena?
Lakini ni dots gani hizo uliunganisha mpaka ukajiaminisha kua "wanauza"? Ulienda kuuliza bei? Waliweka matangazo? Au ulipoona wanawake wanaota jua ukapata hisia kua wanauza?
Aaaah sesten in your prime ahahahhahaSasa hasira zako ni kwasababu serikali haipati kodi kutoka kwa hao wanaojiuza au ni nini? Kwa hiyo wakilipishwa kodi utaifurahia hiyo biashara yao na hautakua na shida nao tena?
Lakini ni dots gani hizo uliunganisha mpaka ukajiaminisha kua "wanauza"? Ulienda kuuliza bei? Waliweka matangazo? Au ulipoona wanawake wanaota jua ukapata hisia kua wanauza?
Na wewe acha ushamba.Kwa taarifa yako tu "Ukahaba" ndio proffesional ya kale zaidi..ikitanguliwa na "ushushushu.."