Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

Katika kitu kimenishinda Mazee ni Kununua Malaya au demu yoyote yule ambae anauza!! daah kwenye hili nimepata 0
 
Mimi huwa nawasifu vidume, tuna mioyo migumu sana. Mtu katoka kuchapwa na kukojolewa, huenda hata kujiswafi vizuri hakufanya, wewe unaenda na kuchomeka hapo hapo. Inahitaji courage moja matata sana.
Daah kwa kweli inahitaji Courage ya hali ya juu sana!
 
Mimi huwa nawasifu vidume, tuna mioyo migumu sana. Mtu katoka kuchapwa na kukojolewa, huenda hata kujiswafi vizuri hakufanya, wewe unaenda na kuchomeka hapo hapo. Inahitaji courage moja matata sana.
Changudoa huwa hakojolewi, unajikojolea mwenyewe unaondoka unamwacha kama ulivyo mkuta
 
Mimi huwa nawasifu vidume, tuna mioyo migumu sana. Mtu katoka kuchapwa na kukojolewa, huenda hata kujiswafi vizuri hakufanya, wewe unaenda na kuchomeka hapo hapo. Inahitaji courage moja matata sana.
Changudoa huwa hakojolewi, unajikojolea mwenyewe unaondoka unamwacha kama ulivyo mkuta
 
Acha ujinga, serikali ikiwafukuza hawa watu unataka tuponee wapi? Utatupatia mkeo au
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi.

Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara.

Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya vinne imeshindwa kukomesha ushetani huu wa mabinti kujiuza na wanaume kununua?

Nilipita Sokota usiku saa nne niliona barabara wameenea wadada poa, dereva alipunguza mwendo wadada wakaanza kutukaribisha huduma.

Je, wahusika wakuu wa kuzuia huu uhuni nao ni wanufaika wa hii biashara Tanzania?

Wananufaika kwa kununua bidhaa zao au wameamua kupuuzia siku zipite?

Ningekuwa na mamlaka kubwa ningeikomesha hii biashara nchini ndani ya siku 3 tu.

Kama hamtaki au hamuwezi kudhibiti basi muwarasimishe ili serikali ipate kipato kidogo.
If you can't fight, join them. Serikali imeshindwa kuwaonfoa hawa wanaotupa huduma hii adhimu ya tunda la mti wa katikati hivyo inabidi waamue kui legalize ili ICHUKUE kodi yake.

ILA KWANINI WANAONGEZEKA?
1. Ni kwamba ajira hakuna/au ile ndio njia rahisi ya kuyafikia malengo yao?

2. Wanaume wakuwasitiri hamna au wanawake waliotangulia kwenye NDOA wanaziba wenzao nao wasipate stara?

3. Mahitaji ni mengi ndio maana biashara inakua?

4.Kipi kinachoongeza mahitaji ni migogoro ndani ya ndoa au ni tamaa za wanaume?

5. Au wanaume wamekua wadhaifu kiasi kwamba wanashindwa kukidhi haja za wanawake hadi kufikia hatua ya kuamua kujiongeza?

6. Au wanawake wamekua na hamu (libido rate) kubwa kuliko wanaume?

7. Au wanaume huhisi ni rahisi kutoa shilingi kati ya 5000 - 200,000/- ni rahisi kuliko kumchukua mwanamke huyo huyo na kuishi naye ndani kama mke na mume?
 
Inatakiwa serikali iwaboreshee mazingira ya biashara zao. Mojawapo ni kujenga nyumba maalum.

Hi huduma inatuokoa jmn
 
Wanaosoma comment za watu bila kuchangia mada kama mimi gonga Like hapa
 
Utaanzaje kuzuia kutu ambacho na ww unakitumia? Hao serikali unao sema wazuie nao baadhi yao pia ni wateja wao sasa watazuiaje?
 
Back
Top Bottom