Unachotaka kutuambia kuwa Consumers hawana nguvu kwenye ku determine Ubora wa products wanazotumia? Kwamba wewe ndo wa kuwachagulia product gani waipende na ipi waichukie?Try to be reasonable sometimes!Consumers ndio waliopigia kura ubora ama product wanayoipenda,hilo tu lingekuwa suala la wewe kuamka na kushtuka na kumshauri Diamond nini cha Kufanya badala ya kulala na kujiamini kuwa Unapendwa.If Time changes,Things also changes,Life is never Dormant, it is Static!Kila unapodondoka chukulia hiyo ni Changamoto,amka,angalia kilichokuangusha,Weka Umakini kisikudondoshe tena. Kwa leo naomba nikushauri Hivyo!