William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #121
celebrity utakuwa ww??? aaaah
- hahahah nisingekuwa usingekuja hapa mbio kunijadili hahahahahaha
Le Mutuz
celebrity utakuwa ww??? aaaah
Anachokifanya Le Mutuz ni kuwachanganya akili waandaaji wa Kili Music Award ili wampe ushindi Diamond Katika cartegory zote alizoshindanishwa. Ukimsoma kwa makini utaona ndio lengo lake na sio Hizi tuzo za watu zilizopita! Kama anabisha aseme!
To a hoja diamond kaibiwa kura jina lake limechakachuliwa au tujue wewe unalalamika kaonewa kaonewa kaonewa nini kama kura zimepigwa na wananchi tumepiga kura sio kila mtu anampenda diamond kura ndo zitaamua nani awe nani dunia mzima kura ndio muamuzi ukiona amewekwa kushiriki katika tuzo ujue kila mmoja ni bora ndio maana maamuzi ya mwisho ni kura Kwa kila kitu- Sasa nikiendelea kujadili na mtu kama wewe nitakuwa vibaya sana kiakili maana Channel O siamini kwamba walimpa Diamond ushindi kwa kura peke yake unlesss kama na wewe ulishiriki kwenye maamuzi, ni kweli nina mapenzi sana na Dimaond maana ndiye Mtanzania wa kwanza kulikomboa Taifa langu na muziki, ila kura za Kusema Diamond sio Msanii anayependwa bongo ni simply foolish!!
Le Mutuz
- hahahaha kwenye Tuzo walipiganisha Blog/website JF ni website so pole sana kama ulikuwa hujui, hahahahahaha
Le Mutuz
Acha kujifagilia hicho kiblog (copy & paste) kinakaribia kujifia chenyewe ndio unataka kukipaisha hapa.Hao vijana watano labda kama unawalipa 50,000/= per month.
- Watatu kati yao wana First Degrees utakufa wewe kabla ya blog yangu hahahahahahahaha
Le Mutuz
To a hoja diamond kaibiwa kura jina lake limechakachuliwa au tujue wewe unalalamika kaonewa kaonewa kaonewa nini kama kura zimepigwa na wananchi tumepiga kura sio kila mtu anampenda diamond kura ndo zitaamua nani awe nani dunia mzima kura ndio muamuzi ukiona amewekwa kushiriki katika tuzo ujue kila mmoja ni bora ndio maana maamuzi ya mwisho ni kura Kwa kila kitu
Basi na iwe ivi:-
Msanii bora wa kiume-Diamond
Msanii bora wa kike-Diamond
Rapa bora wa bendi-Diamond
Wimbo bor taarabu- Nasema nawe
Wimbo bora bendi-mdogo mdogo
Msanii kike anaependwa-Diamond
Muigiza bora wa kike-Diamond
Msanii alie import mke-Diamond
Maana ishakua kero sasa kutwa mnapiga kelele wakati kura zenu hazikutosha na mlivyo sasa baada mkae na uyo mwenzenu aombe kura kwenye hizi za Kili mpo mnaendeleza majungu na kuziponda uku mnapeleka lawama kwa watu nashindwa kuelewa timu ambayo haikubali kua kushindwa ni challenge tu na la msingi ni kijipanga,kuna muda naamini Diamond ana juhudi na mtazamo chanya kwa kipaji chake ila anazungukwa na majehu mengi hasa baada kufika hapo alipo mfano mtu kama uyu anaelalama kama mtoto wa miaka 10 badala ya kumshauri dogo afanye nini analia tu hapa kibwege ingekua Diamond analialia kama ivi wala usingemjua ila anakaza acheni kumsemea wazembe wakubwa nyie mnamfanya awe boya sasa ukiona hautaki challenge anzisha awards zako mpe zote.
Ivi mmesahau jinsi kili music awards zilivyolalamikiwa kuwasahau Belle 9 kipindi kile wanatoka na Diamond ikaonekana kipaji cha Belle 9 kilistahili ila akapewa nafasi Diamond rudi nyuma uone lawana za Diamond kupewa tunzo 7 leo mnawageuka watu wote na lawama za ki-kaka poa kisa tuzo za watu mbona wenzie wanasonga mbele pamoja na kujua kua kuna linamkingia kifua Diamond kwenye media,kumbuka music industry ina vitu vingi sana vinavyoendelea kama vipi Diamond aanze kusema amebebwa mara ngapi nyambafuuuuuu.
Huwa sisahihishi "typing" error, huwa nasihihisha Kiswahili kinapopotoshwa, hususan kwenye "R" na "L". Lakini nnafurahi ikiwa nimekosea "typing" na mtu akanionesha, huwa nnakwenda kurekebisha.
Siku hizi wewe hukosei kwenye "R" na "L" umefaidika sana na darsa la FaizaFoxy.
Bro...website ni njia ya interaction tu...kinacholeta utofauti ni aina ya interaction.
Mfano: Forum inaruhusu interaction kati ya users.... na users wote wana haki sawa ndani ya jukwaa (wanaweza ku comment na kuanzisha threads etcs).
Tukija kwenye Blog....Owner wa blog pekee ndo anaweza kuanzisha thread na watu wengine ndo wanaweza kuchangia...mara nyingi blogs huitaji kufanya usajiri kabla ya ku post comments..
Kwenye ukweli tuseme ukweli- DAIMOND- hana mpinzani Tanzania-hakuna mwanamziki wa level yakeAnachokifanya Le Mutuz ni kuwachanganya akili waandaaji wa Kili Music Award ili wampe ushindi Diamond Katika cartegory zote alizoshindanishwa. Ukimsoma kwa makini utaona ndio lengo lake na sio Hizi tuzo za watu zilizopita! Kama anabisha aseme!
- Yaani mimi nina uwezo wa kuwafanya KILI wampe zawadi hata kama hsatahili please mbona unanikuza sana!!
Le Mutuz
Naona umenyimwa fursa za kupiga picha na vidosho sasa unalia lia na BASATA. Nani kakwambia Diamond anapendwa na wengi peke yake kumbuka Alikiba naye anapendwa sana. Halafu jamiiforum sio blog usiiweke kwenye hiyo category unaidhalilisha, kwa millard ayo sawa acha wivu
- Kura haziwezi kuamua mshindi wa Sanaa ni kazi za Wasanii ndio zinatakiwa kuamua uzuri wa Vipaji vyao, huwezi kusema Diamond sio mwanamuziki mwanaume anayependwa Tanzania honestly ni ujinga wa hali ya juu sana hata kuusema in the public!!
Le Mutuz
Unachokifanya ni kile ambacho wazungu wanaita " to pre empty"
Yaani jamaa anataka kulazimisha watu wote wampende domo, akwende zake huko na domo wake bana!! Kama anampenda yeye ni yeye asitulazimishe na sisi, kama vipi aanzishe tuzo zake asitulilie hapa.
Halafu alivyo wa ajabu eti hataki funs ndo waamue mshindi kwa kura, anataka majaji ili domo apendelewe loh!!
Ushauri: mwambie domo ahamasishe funs wake wampigie kura aache dharau, vinginevyo mtakuwa mnalia lia tu hivi
Hata hajui blog ni nini kumbe, yaani jamiiforums ni blog??? akyanani!!
- Wameanika miili yao ina maana imelowa au what? Halafu waliwahi kukuuzia miili yao?
Le Mutuz