Sasa na yeye ndo kaanza kuwa na tuzo sasa.- Ok so unasema kwamba aliyeshinda Mwaka jana Tuzo 3 za Afrika halafu akaitwa BET akaitwa ku perfome Nigeria kwenye Show kubwa sana Afrika, anatakiwa kushindana na aliyeacha muziki aakamua kurudi bila kuwa Tuzo wala kuitwa nje ya nchi unasema hiyo process iko sawa?
Le Mutuz