Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Hiyo Wizara husika sijaisikia siku nyingi, kulikuwa na Katibu Mkuu Kamuhanda sijui yupo au kaondoka maana mapanga mengi huko. Huyo katibu ni serious sijui kwanini hachukui hatua.

BASATA tangu alipostahafu mjomba Materego, serious man hakuna kitu tena. Sijui hawana succession plan, napata shida kidogo.
 
hunaga cha kufanya mkuu au Tatizo ni nini?
hebu basi ongelea urais kupitia CCM labda.....
 
- Duh hahahahahahaha sasa mbona na wewe umeshupaa ina maana ni kama ulivyosema au? hahahahahaha kumbe unalipwa kushupaa hapa? hahahahahahaha

Le Mutuz

Tangu ili suala limeanza hii ni comment yangu ya pili imean kwanza ni hiyo hapo juu but nashangaa kila social network niliyoingia yaani niwewe unayeonekana kupiga kelele!hii ndio maana ya kushupaa.mm bro im living completely diff live na hii yako najua ndio huko unakopata income but mara nyingine punguza kuchukuliwa na emmotions kiasi cha kuanza kuonekana kichekesho
 
Kwa hiyo ndiyo umekuja kututangazia kijanja kuwa unampenda huyo mwanaume au?

- Kwa kawaida watu kama wewe huwa wanakuja kujisema wenyewe kwenye topic zisozhusu ndio maana hakuna anayekushangaa ila tatizo hapa hatuna biashara yako hahahahahah

Le Mutuz
 
Tangu ili suala limeanza hii ni comment yangu ya pili imean kwanza ni hiyo hapo juu but nashangaa kila social network niliyoingia yaani niwewe unayeonekana kupiga kelele!hii ndio maana ya kushupaa.mm bro im living completely diff live na hii yako najua ndio huko unakopata income but mara nyingine punguza kuchukuliwa na emmotions kiasi cha kuanza kuonekana kichekesho

- Ok mimi ni Social Media King ni ishu kama hizi ndio halali yangu nakuomba ukae pembeni niachie naendelea nayo na nina sababu ninasimamia process, pole sana!!, Unaongea kimtaani sana kuliko ki academic kama mimi hahahahahaha

Le Mutuz
 
Hiyo Wizara husika sijaisikia siku nyingi, kulikuwa na Katibu Mkuu Kamuhanda sijui yupo au kaondoka maana mapanga mengi huko. Huyo katibu ni serious sijui kwanini hachukui hatua.

BASATA tangu alipostahafu mjomba Materego, serious man hakuna kitu tena. Sijui hawana succession plan, napata shida kidogo.

- Kwani BASATA huwa wanachaguliwa na nani hasa?

Le Mutuz
 
Hii nchi tunahitaji watu wachache aina ya Lemutuz mtu ambaye haoni aibu kuongelea ukweli hadharani bila kujali utamwathiri nani utamfurahisha nani.

Tatizo tumejaa unafiki ukweli tunauficha uongo tunauweka bayana

Ndio maana hata kama mtu alikuwa fisadi, muuaji, mzinzi na sifa zote mbaya siku akifa watu bila aibu watatangaza alikuwa mtu wa watu alikuwa mkarimu nk

Kuna utamadamuni ambao anauleta le Mutuzi ambao kiasi Kwetu ni mgumu yaani ukweli na uwazi bila kumwogopa mtu.

kingine nchi hii wivu umezidi, hawa hawa wanaomponda Diamond ndio wanaosikiliza mziki wake kwenye device zao.

Aliimba Bahati Bukuku.


Unapoianza safari wanakutia moyo, utakapoanza mafanikio wanaibua vikwazo, ukidondoka wanasema tulijua hafiki mbali hao hao.!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Guys mnasema le mutuz ana chuki,lakini nachoona wachangiaji wengi ndo mnachuki na lemutuz,yaan jamaa hata aongee fact vip kuna watu mtapinga tu,jaman mpinge linalopingika sio kila issue,hv hapo hamjaelewa nini mbona kaexplain vizuri tu zaid mngeongezea au kama mnapinga mtoe solution ya alichokiongea sio matusi,mara degree,mtu alieelimika anajadil hoja sio mtu.guys
 
Lemutuz katoa mifano bt nilivyomuelewa hajasema tuzo apewe nani nani asipewe ila process inasababisha mtu mwenye kazi nzuri asipate faida ya kazi yake coz ya process,mi huwaga nashangaa watu wasilete majibu ya hoja wanatukana tukana yaani taifa lina kazi kwel,reasoning ya wabongo ni mihemuko,mi nasomaga thread ya lemutuz sio zote nakubal ila tujifunze kutulia na kureason
 
Bro thread nzuri ila wote tunafahamu hasira zote hizi ni kwa sababu Ali Kiba alimbwaga Diamond kwenye Tuzo za Watu. Nilitegemea msomi kama wewe unaelewa tuzo zinazoendeshwa kwa mfumo huu kura za mashabiki ndio zinaamua mshindi kwa 100%, tafadhali pitia kwa waanzilishi wa Marekani People's Choice Awards: Fan Favorites in Movies, Music & TV - PeoplesChoice.com uangalie utaratibu wao kisha linganisha Tanzania People Choice Awards hakuna tofauti, popular vote ndio inaamua mshindi. Tuzo kama Kili ndio zinahusisha majaji kwa sababu toka hatua za awali zinahusisha Academy kwa hiyo kunahitajika majaji watakaohakiki. Kitu pekee ninachoweza kukwambia umshauri rafiki yako Diamond na team yake ni kuwa waache kudharau hizi tuzo za ndani. Majina yalipotangazwa Ali Kiba alipost Instagram na Facebook kuomba kura kwa mashabiki na team yake ilikuwa mstari wa mbele kupiga kampeni Instagram ikiwatumia watu wengine maarufu kumuombea kura. Upande mwingine Diamond hakuwa na time kabisa, ndio kwanza akaanza kuziponda tuzo za Kili mara baada ya Wema na Jokate kuanza kumpigia debe Kiba. Bado wiki mbili upande wa Kili kura zifungwe na ninakuhakikishia kuna kila dalili ya Diamond kuangukia pua kwa mara nyingine kama ataendelea na kiburi cha kutegemea eti kwa kuwa ni maarufu au ndiye mwanamuziki anaetambulika kuliko wote kwa sasa kwamba basi atapewa tuzo. Akamuulize Fid Q ambaye alikuwa na mentality hiyo hadi aliposhtuka mwaka jana baada ya kina Fella na Babu Tale kuendesha kampeni ya kumuombea kura na akapata tuzo mbili.

Kuhusu website maarufu, tambua kwamba Jamii Forums walikuwa wadhamini wa tuzo na hiyo moja kwa moja ilikuwa inawaondoa katika kinyang'anyiro. Na kama ulikuwa hujui website zenye traffic kubwa kwa sasa Tanzania ni Jamii Forums, Millard Ayo, Issa Michuzi, Global Publishers na Raha Tupu (ile ya ngono). Pamoja na hayo kura ndio ilikuwa inaamua kama wapenzi wa website tajwa hapo juu ukitoa JF na Millard hawakupiga kura kwa wingi usitegemee wataingizwa kwa kuwa tu ni "mafaza".

Miss Tanzania sifahamu sana, ila ninavyoelewa inaendeshwa na kampuni iliyopewa leseni na Miss World kwa hiyo BASATA hawana uwezo wa kuwaambia jamaa wawanyang'anye leseni ni sawa na Wizara ya Michezo isivyokuwa na uwezo wa kuwaambia CAF au FIFA wamtimue Malinzi.

Well analysed!!!
 
- Kumbe unakuja hapa kwa vile huna cha kufanya? hahahahahahahahahhahaha

Le Mutuz

Mkuu endeleeni tu kupiga mayowe sisi tupo tunaendelea kupiga kura kwa wingi kwa KingKiba mpaka kieleweke.
 

Attachments

  • Screenshot_2015-05-23-18-44-10.png
    Screenshot_2015-05-23-18-44-10.png
    12.6 KB · Views: 71
Mkuu endeleeni tu kupiga mayowe sisi tupo tunaendelea kupiga kura kwa wingi kwa KingKiba mpaka kieleweke.

Piga kura achana na wanaopinga nguvu ya wananchi tupige kura kujua nani ni bora na yupi si bora wao waitane majina ya marehemu eti Michal Jackson Wa bongo
 
Ndugu yangu le.mutuz(malec.ela) naona unachanganyikiwa..usijaribu kutetea visivyo stahili kutetewa..be blessed!
 
- Please hahitaji kuwa na heshima na wapenzi wake anahitaji kuwapa wapenzi Sanaa tu, Michael Jackson hakuwa na heshima kabisa na weusi wenziwe lakini hakuna siku walimyima Tuzo, leo Tanzania huwezi kuwa serious na Tuzo za WAsanii wa muziki Diamond akaondoka bila TUZO ni simply foolish!!Le Mutuz
Ndo mana nakwambia inategemea waandaaji wanatumia kategori gani kumpa ushindi muhusika, vinginevyo weka ushahidi washiriki walipewa vigezo vya ushindi vilivyoshindaniwa.
 
Back
Top Bottom