Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,199
- 37,526
Haaa haaa hyuy jamaa ni shedaaaa kajisemea Marehemu Capt Komba.
Watu ndo waliochagua,sasa wewe unabisha nini?usipingane na mawazo ya watu,eti Diamond alijaza watu Mwanza nani kakuambia alijaza peke yake,kulikuwa na wananii wengi kama Yamoto band,Madee,H baba na wenginne kibao leo mnamuona Diamond tu,hapa nakujibu ujinga wako unaoandika kule insta,maana kule mtu akiandika na usivyotaka basi unamblock,hapa nakupa fact tu.Tatizo wivu ndo unakusumbua,kwani Mwanamziki Tanzania ni Diamond tu?Watu wamepiga kura kuwa wanampenda Kiba zaidi ya Diamond wewe unabisha nini?kama vipi anzisha tuzo zako ambazo utakuwa unachagua mwenyewe peke yako