Serikali iwatupie jicho kali BASATA

Serikali iwatupie jicho kali BASATA

watu mnamuattack le mutuz bila kujadili mada
Hana hoja hapo yupo ki-strategy flani ivi. Huenda anataka apewa chaka ilo au vp.Pia kuna mambo mengi yapo kwenye mrengo huo lakini ameyakalia kimya, unadhani ni kwanini?
 
AAaaah Le Mutuz...Nakumbuka zamaaani ukiwa na
Audi yako nyeusi mziki mkubwaaa
Wengine walikuwa bado hawajaja mjini....

- Zile enzi za Nguruwe left hand hahahahahaha U know nilikuwaga Baharia Seamen nimerudi fresh!!, inakumbusha Raja Kaka Mungu amrehemu!!

Le Mutuz
 
Basi na iwe ivi:-
Msanii bora wa kiume-Diamond
Msanii bora wa kike-Diamond
Rapa bora wa bendi-Diamond
Wimbo bor taarabu- Nasema nawe
Wimbo bora bendi-mdogo mdogo
Msanii kike anaependwa-Diamond
Muigiza bora wa kike-Diamond
Msanii alie import mke-Diamond

Maana ishakua kero sasa kutwa mnapiga kelele wakati kura zenu hazikutosha na mlivyo sasa baada mkae na uyo mwenzenu aombe kura kwenye hizi za Kili mpo mnaendeleza majungu na kuziponda uku mnapeleka lawama kwa watu nashindwa kuelewa timu ambayo haikubali kua kushindwa ni challenge tu na la msingi ni kijipanga,kuna muda naamini Diamond ana juhudi na mtazamo chanya kwa kipaji chake ila anazungukwa na majehu mengi hasa baada kufika hapo alipo mfano mtu kama uyu anaelalama kama mtoto wa miaka 10 badala ya kumshauri dogo afanye nini analia tu hapa kibwege ingekua Diamond analialia kama ivi wala usingemjua ila anakaza acheni kumsemea wazembe wakubwa nyie mnamfanya awe boya sasa ukiona hautaki challenge anzisha awards zako mpe zote.
Ivi mmesahau jinsi kili music awards zilivyolalamikiwa kuwasahau Belle 9 kipindi kile wanatoka na Diamond ikaonekana kipaji cha Belle 9 kilistahili ila akapewa nafasi Diamond rudi nyuma uone lawana za Diamond kupewa tunzo 7 leo mnawageuka watu wote na lawama za ki-kaka poa kisa tuzo za watu mbona wenzie wanasonga mbele pamoja na kujua kua kuna kundi linamkingia kifua Diamond kwenye media,kumbuka music industry ina vitu vingi sana vinavyoendelea kama vipi Diamond aanze kusema amebebwa mara ngapi nyambafuuuuuu.

Ha ha ha ha umeongea vizuri sana..eti Majehu
 
quote_icon.png
By nguvu

watu mnamuattack le mutuz bila kujadili mada

- hahahaha no umekosea wanaji attack wenyewe maana hawana uwezo wa kushindana hoja na AKILI KUBWA Degree 3 Chezeya wewe unaona ninawapiga kama watoto wadogo no brain!! hahahaha ngoja niwape darasa!!

Le Mutuz
 
- Kipaji cha Sanaa huwezi kulinganisha na kipaji cha siasa ni vitu viwili tofauti, Diamond hana mpinzani Tanzania kuanzia muziki wake mpaka maisha yake sasa unasema siasa inahusika vipi hapo?Le Mutuz
Hiyo sio hoja, anaweza akawa hana mpinzani katika kucheza, mziki etc, lakini asiwe fiti kwenye kuheshimu wapenzi wake.Chukulia kwenye mpira, hata ukiwa mchezaji bora zaidi ya akina mess na Pele,afu wewe kila ukiingia uwanjani unawapiga vidole wenzako, mwisho wa siku utatolewa nje na hata kufungiwa, na huwezi kuwa mchezaji bora wa dunia, licha ya uchezaji wako na ufungaji wako magoli.hivyo kuwa mwanamuziki bora ni FULL PACKAGE. (Afu haya ningekua nakueleza Insta ungesha ni block)
 
Next BASATA watafungia Blog yako...hahahahahaahahah!
 
Nyimbo za Diamondi na Ally Kiba tofauti kabisa, Za diamondi huwa zinawika mie sita zina expire lakini za ally kiba Miaka hadi mitano. hapo kupaishwa kwa Diamondi ni ushindani wa biashara katika kujitangaza, lakini wanaojua maana watasikiliza za Ally k. Le Mutuzi hapo unahorojoka kutetea wasanii ambao kazi zao hazina tija kwa taifa, Hivi uliwahi kusikia mtoto anapokuwa ndogo anapoulizwa ukikua unataka kuwa nani akasema msanii ? wote Uwa wanasema Rubani, Mwalimu, daktari inginia, na Nesi. hapa bado tuko kwenye nchi changa kwanza ELIMU, Pili Kilimo USANII hauna nafasi hapa bali kujilikana kiduchu huku mizinga mingi. Hatuka Zaire hapa kuitwa Nchi ya wasanii. Soma Makala ya Generali Ulimwengu alivyoelelezea Zaire kwa sasa Congo usaniii ulivyowatatiza hadi wakichokozwa kidogo hawajiwezi kijeshi. Usanii peleka Marekani walioshiba fedha wanaangaika na watu wa kuwachekesha wakati wanatumia fedha zao walizochota mataifa ya wasanii.
 
Nyimbo za Diamondi na Ally Kiba tofauti kabisa, Za diamondi huwa zinawika mie sita zina expire lakini za ally kiba Miaka hadi mitano. hapo kupaishwa kwa Diamondi ni ushindani wa biashara katika kujitangaza, lakini wanaojua maana watasikiliza za Ally k. Le Mutuzi hapo unahorojoka kutetea wasanii ambao kazi zao hazina tija kwa taifa, Hivi uliwahi kusikia mtoto anapokuwa ndogo anapoulizwa ukikua unataka kuwa nani akasema msanii ? wote Uwa wanasema Rubani, Mwalimu, daktari inginia, na Nesi. hapa bado tuko kwenye nchi changa kwanza ELIMU, Pili Kilimo USANII hauna nafasi hapa bali kujilikana kiduchu huku mizinga mingi. Hatuka Zaire hapa kuitwa Nchi ya wasanii. Soma Makala ya Generali Ulimwengu alivyoelelezea Zaire kwa sasa Congo usaniii ulivyowatatiza hadi wakichokozwa kidogo hawajiwezi kijeshi. Usanii peleka Marekani walioshiba fedha wanaangaika na watu wa kuwachekesha wakati wanatumia fedha zao walizochota mataifa ya wasanii.

- For sure haya mambo ya sanaa sio yako please tuachie tu tunaoyajua wewe endelea na mambo ya Siasa tu!!

Le Mutuz
 
Hiyo sio hoja, anaweza akawa hana mpinzani katika kucheza, mziki etc, lakini asiwe fiti kwenye kuheshimu wapenzi wake.Chukulia kwenye mpira, hata ukiwa mchezaji bora zaidi ya akina mess na Pele,afu wewe kila ukiingia uwanjani unawapiga vidole wenzako, mwisho wa siku utatolewa nje na hata kufungiwa, na huwezi kuwa mchezaji bora wa dunia, licha ya uchezaji wako na ufungaji wako magoli.hivyo kuwa mwanamuziki bora ni FULL PACKAGE. (Afu haya ningekua nakueleza Insta ungesha ni block)

- Please hahitaji kuwa na heshima na wapenzi wake anahitaji kuwapa wapenzi Sanaa tu, Michael Jackson hakuwa na heshima kabisa na weusi wenziwe lakini hakuna siku walimyima Tuzo, leo Tanzania huwezi kuwa serious na Tuzo za WAsanii wa muziki Diamond akaondoka bila TUZO ni simply foolish!!

Le Mutuz
 
- hahahahaha sina huo uwezo hahaha

Le Mutuz

Le Mutuz acha utani bwana! Yani Gademu le Degree tatu alafu unasema huna uwezo huo!!!??? Basi kama ulikuwa haujui, hiki unachokifanya sasa ni ushawishi kwa wadau!
 
- Ali Kiba hajafikia status ya Diamond never hata huko zamani hakufikia na hatakuja kufikia,kura za siasa zimetushinda leo zikatumike kwenye sanaa hahahahahaha na wewe unatetea uozo kwa sababu ya chuki tu hujui kwamba kilichoharibiwa ni process sio jina la mtu pole sana!!

Le Mutuz
Hapa watakaokuelewa ni wachache sana.!

Shusha vitu mkuu.!
 
- Well, nilidhani BASATA inatakiwa kuinua Vipaji vya Wasanii na kuvikuza vipande juu zaidi lakini wanachokifanya sasa hivi sio kabisa ni wakati muafaka wa Serikali kuwatupia jicho kali na kuwarekebisha sasa na mapema kabla hawajafika mbali na kuvuruga sanaa nchini, kwa mfano:-

1. MISS TANZANIA:- BASATA wameifungia Miss Tanzania kwa sababu ambazo kama ni kweli zipo zinawahusu tu Viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania lakini haziwahusu Vijana wadogo wa kike ambao hawana kosa lolote, sasa BASATA wameifungia Miaka Miwili nia na madhumuni ni nini hasa? Kuwakomoa Viongozi au Wasichana? Halafu Taifa linafaidikaje na kuwafungia Vijana wadogo kufanya mashindano ambayo kabla hayajafungiwa yamewaletea mafanikio makubwa kimaisha baadhi ya washiriki, Wasichana kama Hoyce Temu, sasa hivi ni Balozi wa Umoja wa Mataifa na pia ni mfanya biashara mkubwa anayemiliki Club maarufu ya 327 hapa mjini wala sio siri haya mafanikio yake kimaisha yametokana na kushinda kwake haya mashindano, wapo wengi kama Miriam Odemba ambaye sasa anaishi Paris, France anakofanyia kazi zake za Modelling na yeye alitokea kwenye haya haya mashindano, Millene Magese, Faraja Kota, Klyn, I mean I can go on and on wote wametokea kwenye haya mashindano.

- Majuzi Msichana mdogo Doris Mollel amefungua Foundation ya kusaidia watoto premature, uzinduzi umefanyika Kempisk Hotel na alichangiwa karibu Shillingi Millioni 100 now huyu msichana amepitia mashindano haya haya mwaka jana tu, I mean leo kuna wasichana wengi sana ambao walikuwa wanasubiri na wao wapate nafasi ya kushiriki haya mashindano na wao watimize ndoto zao, ni kawaida ya mataifa yote huru Duniani kuwaruhusu wananchi wake kutumia all available resources kujisongeza mbele kimasha, sasa kwa kuwafungia miaka 2 exactly BASATA wana accomplish what?

2. TUZO ZA WATU:- Majuzi BASATA wamesimamia hizi tuzo ambazo matokeo yake yalikuwa ni maajabu ya Dunia, kwenye TUZO zote Duniani za WAsanii hata zikiwepo kura bado lazima kuwepo na vigezo vingine, kwa mfano kura zinatakiwa kushika kama 30% 50% Ubora wa kazi za Msanii 20% ni kukubalika kwa Msanii ndani na nje ya Nchi, lakini haiwezekani ukahukumu kazi za Msanii kwa kutumia kura 100% that is the biggest joke of my life, I m,ean kuna makosa mengi sana yamefanyika kwenye hizo Tuzo na huwezi kusema ni Tuzo ndogo no way ikishawajumlisha WAsanii maarufu kama Diamond, Mzee Majuto na JB hizo ni Tuzo kubwa sana na ni muhimu kwenye CV ya Msanii,

- CATEGORY ya Blog:- Seriously kama kweli BASATA na watayarishaji wa zile TUZO wangekuwa serious hakuna Blog au website Tanzania inayoizidi Jamiiforums nasema hakuna, Jamiiforums ndiyo website peke yake inayopitiwa na Viewers wengi with straight numbers bila kurudia rudia, kwa mfano ukiona kuna website namba zake zinaonyesha imepitiwa na viewers Laki Mbili kwa siku maana yake ni kwamba wamepitia Viewers Laki moja wakarudia rudia kuingia na kutoka, lakini only Jamiiforums ndiyo ina wasiojirudia staright in numbers kama Laki Mbili ni hizo hizo Mbili sasa leo hata kwenye nomination haikuwemo, WHY?

- MWANAMUZIKI MWANAUME ANAYEPENDWA TANZANIA KULIKO WOTE:- Please nani Tanzania ya leo anayeweza kumshinda Diamond? I mean eti ameshindwa kwa sababu hakupata kura, hizi kura zinatusumbua sana Tanzania kila siku kwenye siasa ni ugomvi kisa kura leo unazileta tena kwenye kuamua ubora wa kazi za msanii? That is a shame now BASATA hawawezi kukwepa hii lawama kwa sababu walikuwepo na ni lazima walihusika, watayarishaji sio tatizo sana lakini tatizo ni kushiriki kwa BASATA kwenye zile Tunzo kunawabana sana na FULL RESPONSIBILITY ya kila kilichofanyika kwa uzuri na ubaya, uzuri ni kwamba ni muhimu sana kuwepo kwa hizi Tunzo lakini ubaya ni kwamba BASATA haina watu competent enough wa kusimamia Vipaji vya wasanii,

- BASATA wanahitaji kupunguzwa nguvu now kabla hawajaharibu kabisa hii field ya Sanaa, cause tukiendelea na huu mfumo wa kupiga kura kuhukumu kazi za wasanii maana yake ni kwamba tunafungua miaanya wa watu kuanza kuvuta rushwa tu, Msanii afanye kazi zake zionekane lakini tusimpe mzigo wa kuanza kutafuta kura za kuhukumu ubora wa kazi zake hapana, kipaji chochote kinatakiwa kuhukumiwa na matokeo ya kazi zake mbele ya jamii.

- Now kwa hayo yote ninarudia tena kusema Diamond hakushinda kura kwa hiyo sio MSanii anayependwa sana na jamii ni njia rahisi sana ya kuua vipaji vya sanaa yetu, ninasema BASATA wamekosea na wanatakiwa kuangaliwa na Serikali now kabla hawajatufikisha kurudi kule kule tulikotoka kwenye kushangilia kina Kandabongoman MWanamuziki ambaye huko kwao hawezi kupiga dansi la peke yake akajaza watu mpaka aje Tanzania, siku hizi tumepigana tumeinua Vipaji vyetu ndio maana hawa wageni hawaji tena yale mambo ya bendi za Wakongo kusumbua hapa mjini hamna tena, sasa wanakuja BASATA na kutaka kuivuruga Sanaa, SErikali ni lazima iingilie kati tena sasa!!

Le Mutuz

-

Mm naomba kujua tu ww unalipwa kiasi kwa hii nguvu unayotumia mara tu baada ya diamond kushindwa?maana nijuavyo matatizo ya BASATA yalikuwapo wakati wote hata diamond aliposhinda na kama ww unavyodai ni akili kubwa naamini uliyajua but ukaremain silence hadi yalipogusa interest zako ndio umeamua kulishupalia!.hii naona ndio tabia ya kitz kupiga kelele pale tu tatizo linapogusa maslahi yako binafsi.asiye msomi na waodai usomi tabia ni zilezile za kienyeji.KIUSTAHARABU UNATAKIWA UHESHIMU WALIOSHINDA ACHA KUSHUPAA MAANA KUSHUPAA NI TABIA YA MPUMBAVU
 
- hahaha changamoto gani unayoisema akaanze kutoa rushwa kusidi shinde tuzo msanii maafuru wa Afrika nzima? Umenndika na English kama mtu aliyeenda shule ila reasoning capacity yako bado ni ile ile ndogo sana, Consumer huwa wanaamua uzuri wa poroduct kwa kura sasa mbona zinaleta magomvi kwenye siasa kila siku hapa bongo? pole sana na wewe hujaelewa somo!!

Le Mutuz

Kama unashindwa kuona jambo rahisi kama hilo basi wewe ni Bonge la Mshamba. Cjui hizo degree zako 3 zilikuwa za Kuogesha na Kuchamba Wazee huko US?Research gani umeshafanya juu ya hicho unachokilalamikia?Acha kukaa hapo Posta na ku conclude kuwa fulani anaongozwa kwa kupendwa,No Research no Data,No Data no Right to Speak!Bila shaka Shule ulienda kusomea Ujinga,wingi wa degree hau justify reasoning capacity yako.Hakuna Utafiti uliofanya,huna unalojua. Wakati wa mchakato bila shaka you were aware of it, kwa nini usingeshauri kuwa Kura kisiwe Kigezo Pekee?Baada ya tukio unakuja Kuharisha hapa JF,that's so Stupid of You! Haya,naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na michezo ni MATONYA mwenzio,Kamwambie aifungie BASATA!Pia, kashule kangu nilikoenda kananitosha kabisa kujitambua na kupembua mambo.Afterall, it's a Noble Profession, so sishangai wewe kutonielewa, naweza nikawa naongea vilivyo juu ya reasoning capacity yako.Ila nnalokuomba,waelewe basi hata hawa common men and women waliomo humu,ambao wameonesha High Reasoning Capacity kuliko wewe badala ya kusukuma Ukuta,Huwezi direct maji yapande Mlima,huo ndio Ukweli na Utabaki kuwa Ukweli.Malalamiko yako ni Upuuzi mtupu na bado hata tukijaribu kukupa reality on the ground,unakomaa tu.
 
Le Mutuz acha utani bwana! Yani Gademu le Degree tatu alafu unasema huna uwezo huo!!!??? Basi kama ulikuwa haujui, hiki unachokifanya sasa ni ushawishi kwa wadau!

- Sina uwezo wa kushuka kuwa mjinga kama huyo niliyekuwa ninamjibu hahahahaha U know

Le Mutuz
 
Mm naomba kujua tu ww unalipwa kiasi kwa hii nguvu unayotumia mara tu baada ya diamond kushindwa?maana nijuavyo matatizo ya BASATA yalikuwapo wakati wote hata diamond aliposhinda na kama ww unavyodai ni akili kubwa naamini uliyajua but ukaremain silence hadi yalipogusa interest zako ndio umeamua kulishupalia!.hii naona ndio tabia ya kitz kupiga kelele pale tu tatizo linapogusa maslahi yako binafsi.asiye msomi na waodai usomi tabia ni zilezile za kienyeji.KIUSTAHARABU UNATAKIWA UHESHIMU WALIOSHINDA ACHA KUSHUPAA MAANA KUSHUPAA NI TABIA YA MPUMBAVU

- Duh hahahahahahaha sasa mbona na wewe umeshupaa ina maana ni kama ulivyosema au? hahahahahaha kumbe unalipwa kushupaa hapa? hahahahahahaha

Le Mutuz
 
Kwa hiyo ndiyo umekuja kututangazia kijanja kuwa unampenda huyo mwanaume au?
 
Kama unashindwa kuona jambo rahisi kama hilo basi wewe ni Bonge la Mshamba. Cjui hizo degree zako 3 zilikuwa za Kuogesha na Kuchamba Wazee huko US?Research gani umeshafanya juu ya hicho unachokilalamikia?Acha kukaa hapo Posta na ku conclude kuwa fulani anaongozwa kwa kupendwa,No Research no Data,No Data no Right to Speak!Bila shaka Shule ulienda kusomea Ujinga,wingi wa degree hau justify reasoning capacity yako.Hakuna Utafiti uliofanya,huna unalojua. Wakati wa mchakato bila shaka you were aware of it, kwa nini usingeshauri kuwa Kura kisiwe Kigezo Pekee?Baada ya tukio unakuja Kuharisha hapa JF,that's so Stupid of You! Haya,naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na michezo ni MATONYA mwenzio,Kamwambie aifungie BASATA!Pia, kashule kangu nilikoenda kananitosha kabisa kujitambua na kupembua mambo.Afterall, it's a Noble Profession, so sishangai wewe kutonielewa, naweza nikawa naongea vilivyo juu ya reasoning capacity yako.Ila nnalokuomba,waelewe basi hata hawa common men and women waliomo humu,ambao wameonesha High Reasoning Capacity kuliko wewe badala ya kusukuma Ukuta,Huwezi direct maji yapande Mlima,huo ndio Ukweli na Utabaki kuwa Ukweli.Malalamiko yako ni Upuuzi mtupu na bado hata tukijaribu kukupa reality on the ground,unakomaa tu.

- Nimeshindwa hata kumaliza kusoma maana ni too low thinking capacity pole sana jisome tena uone kama upo sawa kichwani mkuu!!

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom