Serikali iunganishe Dar na Pwani uwe mkoa mmoja uitwe Dar ili watu wazidi kusogea nje ya mji

Ninavyojua mimi ni kwamba serikali ikiona mkoa unakuwa mkubwa inaugawa na sio kuunganisha na mkoa mwingine,
Kwa hiyo kama dar inakuwa na population kubwa ni kuwagawa tu hao watu kuwahamishaia pwani😞 wasisumbue watu wengine 😁😁.
 
Mosi, mkoa wa Pwani umekaa shaghala baghala mno, hata ikitokea inabidi kuungwa na mkoa wa Dar basi italazimu baadhi tu ya maeneo na sio yote...

Pili, serikali imeshashindwa kwenye suala la mipango miji, Dar es Salaam ya leo 90% imejengwa holela. Dar ingekuwa imepangiliwa vizuri mji ungekuwa haujatanuka kama ilivyo kwa sasa...

Hitimisho, kubanana kwa Dar ni matokeo ya serikali hiyo hiyo unayoishauri iunge Dar na Pwani...

Kama wameshindwa control kilometa za mraba za Dar, je wataweza ku control eneo lenye mjumuiko wa Pwani+Dar?
 
Mosi, mkoa wa Pwani umekaa shaghala baghala mno, hata ikitokea inabidi kuungwa na mkoa wa Dar basi italazimu baadhi tu ya maeneo na sio yote...

Pili, serikali imeshashindwa kwenye suala la mipango miji, Dar es Salaam ya leo 90% imejengwa holela. Dar ingekuwa imepangiliwa vizuri mji ungekuwa haujatanuka kama ilivyo kwa sasa...

Hitimisho, kubanana kwa Dar ni matokeo ya serikali hiyo hiyo unayoishauri iunge Dar na Pwani...

Kama wameshindwa control kilometa za mraba za Dar, je wataweza ku control eneo lenye mjumuiko wa Pwani+Dar?

Hapo kwenye mipango miji upo sahihi kabisa. Dsm ingepangwa kama ilivyopangwa Lindi mjini na Newala mjini, ingevutia sana.
 
Namuunga mkono mtoa mada ila nadhan kabla ya kuunganisha tungeanza kwanza kwa kuplan kujenga miundombinu na miradi mikubwa nje ya mji mfano Arena, Uwanja wa Mpira bandari kavu, pia kuliko watu wote tuende kariakoo tuache kariakoo iwe soko la nguo na electronics na ijengwe kariakoo nyingine iwe vyombo vya nyumbani labda bagamoyo na kariakoo nyingine kibaha iwe ya home appliance mafridge, washing mashine, generators, microwave.
Mitaa ijengwe either Bagamoyo au Kibaha kulingana na kipato ambapo kipato fulani cha juu wawe na barabara zao ambazo inatoka mfano kuanzia mlandizi, mloganzila hadi katikati ya jiji ambayo inakuwa inalipiwa kwa mwezi licha ya kuwepo kwa mwendo kasi njia ya Bagamoyo na Chalinze
 
Heri ya mwaka mpya wakuu

Hivi kwanini serikali isiunganishe mikoa ya Dar na Pwani kisha huo mkoa uitwe Dar na tubaki na mikoa 30 tu, hakuna haja ya kuwa na mikoa mingi huku maendeleo yakiwa ni madogo na idadi ya watu ikilundikana kwenye vimiji vichache tu, kusema kwamba tutamaliza mapori na kuharibu mazingira kwa vizazi vijavyo ni upotoshaji kwa sababu Tanzania bado hakuna population ya kumaliza mapori yote tuliyonayo

Ni ajabu kwamba mkoa mdogo kijiografia kuliko yote nchini ndio mkoa mkubwa kidemografia kuliko yote nchini, ukiuliza sababu hakuna sababu ya maana utapewa zaidi ya watu wengi hasa vijana, kutaka waonekane wanaishi Dar hata kama maisha yao hayaeleweki na huko mikoani wameona fursa

Juzi nilikuwa nasikiliza interview ya Mwijaku alipokuwa anawajibu watu wanaosema kwamba kajenga ghorofa lake kwenye kaeneo kadogo, akasema alikuwa na eneo karibu ekari mbili huko Bagamoyo, ila hakutaka kujenga huko sababu hati ya nyumba yake ingesoma Pwani na yeye anataka isome Dar

Sasa nimemtolea mfano huyo sababu ni maarufu lakini kiuhalisia hizi ndio akili za vijana wengi walioko kwenye hili jiji, wapo wengi sana ninaowafahamu ambao nao wana mawazo kama haya ya kutaka kuonekana wanaishi Dar tu na si sehemu nyingine, sasa tukumbuke idadi ya watu Dar inazidi kuongezeka siku hadi siku ila ukubwa wa mkoa hauongezeki

Kwa mtazamo wangu naona suluhisho pekee ni kuunganisha hii mikoa miwili Pwani yote nayo iitwe Dar, kuhusu wilaya kuwa nyingi sioni kama ni tatizo maana hata mkoa wa Tanga una wilaya nyingi kulinganisha na idadi ya wakazi wake so sioni kama ni tatizo kufanya hivyo hata kwa Dar, ambao ndio mkoa wenye idadi kubwa ya wakazi na kama wakiona utakuwa na wilaya nyingi basi wanaweza waka merge baadhi ya wilaya

Sasa hivi miji inakuwa kuelekea Bagamoyo, Kisarawe, Chalinze na Mkuranga kwa maana kwamba watu wameanza kuchangamkia ardhi huko na wengine wameanza kujenga, lakini ukuaji wake bado hauna kasi kulinganisha na idadi ya watu wanaohamia Dar kila siku, hakuna haja ya kuwa na mkoa specific unaoitwa Pwani wakati hata Dar, Tanga, Lindi na Mtwara nayo ni mikoa ya Pwani

Hapa simaanishi miji ikuwe makazi ya watu tu bali hata huduma za kijamii kama ni ofisi, masoko, shule, hospitali, hoteli, malls, bars, restaurants na huduma nyinginezo, lakini hizo asilimia kubwa hufuata makazi ya watu mtu hawezi kufungua tu biashara yake sehemu ambayo hana uhakika wa wateja wa kutosha, kwahiyo ni lazima watu waanze kwanza kuhamia ndipo huduma zitafuata, sasa kwa akili hizi za watu kutaka kuonekana wanaishi Dar tusitegemee Pwani itakuwa haraka

Kama ni ushamba wa bahari mbona hata Bagamoyo na Mkuranga bahari ipo ila bado kuna mapori, nashangaa baadhi ya watu wanataka mikoa izidi kugawanywa wakati hii iliyopo tu maendeleo yametushinda, haya ya kusema eti kawilaya kakishakuwa na tuhuduma fulani twa kijamii hata kama ni tubovu basi kanafaa kuwa mkoa unaojitegemea sioni kama yanasaidia

Kuna mahali nilisoma eti na wakazi wa Masasi nao wanataka hiyo wilaya iwe mkoa eti kisa tu biashara ya korosho yani kuna mambo yanachekesha kwa kweli, huo mkoa wa Mtwara tu bado hamjamalizana nao mnataka muanzishe mkoa wa Masasi tena, halafu hata kijiografia Mtwara siyo mkoa mkubwa kihivyo wa kuhitaji kugawanywa kuna mikoa mikubwa kama Morogoro, Tabora, Lindi nk ambayo ndio inastahili kugawanywa

Hata hivyo hii gawanya gawanya ya mikoa na wilaya inazidi kuongeza idadi ya makabila tu maana nimekuja kugundua hii nchi ina makabila zaidi ya haya tunayoyajua, mengine unakuta ni mtu tu na mkewe na wanaye walihamia pori fulani wakakuta hapana watu wakaanzisha kijiji na kikabila chao hatimaye kikakuwa na kupata watu basi nao wanataka watambulike, mara makabila mengine unasikia eti ni muunganiko wa kabila fulani na kabila fulani sasa hayo yote ya nini ikiwa vitu muhimu kama maji, umeme, afya, elimu, uchumi na teknolojia vinatushinda na ndio maana Nyerere alipiga marufuku mambo ya kuendekeza makabila

Kwahiyo maoni yangu ni kwamba badala ya kuendelea kugawanya mikoa tuangalie kama kuna mikoa ambayo inaweza kuunganishwa iunganishwe, na kwa sasa nilikuwa napendekeza tuanze na Dar na Pwani tubaki na mikoa 30 tu tupambane kuiendeleza kwanza hiyo, na siyo kuwa na mikoa mingi ambayo imejaa mapori tu na huduma mbovu za kijamii pamoja na maendeleo duni
Watu tunakaa Mlandizi hata hatujalalamika.
 
Mimi napendekeza jina la Daresalaamu lifutwe.
Badala yake uwe mkoa mmoja tu wa Pwani.
Sababu mojawapo Neno Daresalaam sio la Kibantu.
Daresalaam unaweza kuwa ni mji kama Kinshasa.
Mkoa uitwe PWANI.
 
Heri ya mwaka mpya wakuu

Hivi kwanini serikali isiunganishe mikoa ya Dar na Pwani kisha huo mkoa uitwe Dar na tubaki na mikoa 30 tu, hakuna haja ya kuwa na mikoa mingi huku maendeleo yakiwa ni madogo na idadi ya watu ikilundikana kwenye vimiji vichache tu, kusema kwamba tutamaliza mapori na kuharibu mazingira kwa vizazi vijavyo ni upotoshaji kwa sababu Tanzania bado hakuna population ya kumaliza mapori yote tuliyonayo

Ni ajabu kwamba mkoa mdogo kijiografia kuliko yote nchini ndio mkoa mkubwa kidemografia kuliko yote nchini, ukiuliza sababu hakuna sababu ya maana utapewa zaidi ya watu wengi hasa vijana, kutaka waonekane wanaishi Dar hata kama maisha yao hayaeleweki na huko mikoani wameona fursa

Juzi nilikuwa nasikiliza interview ya Mwijaku alipokuwa anawajibu watu wanaosema kwamba kajenga ghorofa lake kwenye kaeneo kadogo, akasema alikuwa na eneo karibu ekari mbili huko Bagamoyo, ila hakutaka kujenga huko sababu hati ya nyumba yake ingesoma Pwani na yeye anataka isome Dar

Sasa nimemtolea mfano huyo sababu ni maarufu lakini kiuhalisia hizi ndio akili za vijana wengi walioko kwenye hili jiji, wapo wengi sana ninaowafahamu ambao nao wana mawazo kama haya ya kutaka kuonekana wanaishi Dar tu na si sehemu nyingine, sasa tukumbuke idadi ya watu Dar inazidi kuongezeka siku hadi siku ila ukubwa wa mkoa hauongezeki

Kwa mtazamo wangu naona suluhisho pekee ni kuunganisha hii mikoa miwili Pwani yote nayo iitwe Dar, kuhusu wilaya kuwa nyingi sioni kama ni tatizo maana hata mkoa wa Tanga una wilaya nyingi kulinganisha na idadi ya wakazi wake so sioni kama ni tatizo kufanya hivyo hata kwa Dar, ambao ndio mkoa wenye idadi kubwa ya wakazi na kama wakiona utakuwa na wilaya nyingi basi wanaweza waka merge baadhi ya wilaya

Sasa hivi miji inakuwa kuelekea Bagamoyo, Kisarawe, Chalinze na Mkuranga kwa maana kwamba watu wameanza kuchangamkia ardhi huko na wengine wameanza kujenga, lakini ukuaji wake bado hauna kasi kulinganisha na idadi ya watu wanaohamia Dar kila siku, hakuna haja ya kuwa na mkoa specific unaoitwa Pwani wakati hata Dar, Tanga, Lindi na Mtwara nayo ni mikoa ya Pwani

Hapa simaanishi miji ikuwe makazi ya watu tu bali hata huduma za kijamii kama ni ofisi, masoko, shule, hospitali, hoteli, malls, bars, restaurants na huduma nyinginezo, lakini hizo asilimia kubwa hufuata makazi ya watu mtu hawezi kufungua tu biashara yake sehemu ambayo hana uhakika wa wateja wa kutosha, kwahiyo ni lazima watu waanze kwanza kuhamia ndipo huduma zitafuata, sasa kwa akili hizi za watu kutaka kuonekana wanaishi Dar tusitegemee Pwani itakuwa haraka

Kama ni ushamba wa bahari mbona hata Bagamoyo na Mkuranga bahari ipo ila bado kuna mapori, nashangaa baadhi ya watu wanataka mikoa izidi kugawanywa wakati hii iliyopo tu maendeleo yametushinda, haya ya kusema eti kawilaya kakishakuwa na tuhuduma fulani twa kijamii hata kama ni tubovu basi kanafaa kuwa mkoa unaojitegemea sioni kama yanasaidia

Kuna mahali nilisoma eti na wakazi wa Masasi nao wanataka hiyo wilaya iwe mkoa eti kisa tu biashara ya korosho yani kuna mambo yanachekesha kwa kweli, huo mkoa wa Mtwara tu bado hamjamalizana nao mnataka muanzishe mkoa wa Masasi tena, halafu hata kijiografia Mtwara siyo mkoa mkubwa kihivyo wa kuhitaji kugawanywa kuna mikoa mikubwa kama Morogoro, Tabora, Lindi nk ambayo ndio inastahili kugawanywa

Hata hivyo hii gawanya gawanya ya mikoa na wilaya inazidi kuongeza idadi ya makabila tu maana nimekuja kugundua hii nchi ina makabila zaidi ya haya tunayoyajua, mengine unakuta ni mtu tu na mkewe na wanaye walihamia pori fulani wakakuta hapana watu wakaanzisha kijiji na kikabila chao hatimaye kikakuwa na kupata watu basi nao wanataka watambulike, mara makabila mengine unasikia eti ni muunganiko wa kabila fulani na kabila fulani sasa hayo yote ya nini ikiwa vitu muhimu kama maji, umeme, afya, elimu, uchumi na teknolojia vinatushinda na ndio maana Nyerere alipiga marufuku mambo ya kuendekeza makabila

Kwahiyo maoni yangu ni kwamba badala ya kuendelea kugawanya mikoa tuangalie kama kuna mikoa ambayo inaweza kuunganishwa iunganishwe, na kwa sasa nilikuwa napendekeza tuanze na Dar na Pwani tubaki na mikoa 30 tu tupambane kuiendeleza kwanza hiyo, na siyo kuwa na mikoa mingi ambayo imejaa mapori tu na huduma mbovu za kijamii pamoja na maendeleo duni
...Ni vyema TU Ukumbuke kwamba Mpaka Miaka ya 70 Dar na Pwani ulikuwa ni Mkoa mmoja unaoitwa Mkoa wa Pwani.
Wanasiasa ndio wakaugaws ikawa mikoa Miwili tofauti ya Dar na Pwani.
Unachosema ni kuwa turudi Tena huko ila Mkoa uitwe Sasa Dar es Salaam na Sio Pwani Tena. Wazo Zuri. Mikoa imezidi, Watu wanatafutiana vyeo !

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Heri ya mwaka mpya wakuu

Hivi kwanini serikali isiunganishe mikoa ya Dar na Pwani kisha huo mkoa uitwe Dar na tubaki na mikoa 30 tu, hakuna haja ya kuwa na mikoa mingi huku maendeleo yakiwa ni madogo na idadi ya watu ikilundikana kwenye vimiji vichache tu, kusema kwamba tutamaliza mapori na kuharibu mazingira kwa vizazi vijavyo ni upotoshaji kwa sababu Tanzania bado hakuna population ya kumaliza mapori yote tuliyonayo

Ni ajabu kwamba mkoa mdogo kijiografia kuliko yote nchini ndio mkoa mkubwa kidemografia kuliko yote nchini, ukiuliza sababu hakuna sababu ya maana utapewa zaidi ya watu wengi hasa vijana, kutaka waonekane wanaishi Dar hata kama maisha yao hayaeleweki na huko mikoani wameona fursa

Juzi nilikuwa nasikiliza interview ya Mwijaku alipokuwa anawajibu watu wanaosema kwamba kajenga ghorofa lake kwenye kaeneo kadogo, akasema alikuwa na eneo karibu ekari mbili huko Bagamoyo, ila hakutaka kujenga huko sababu hati ya nyumba yake ingesoma Pwani na yeye anataka isome Dar

Sasa nimemtolea mfano huyo sababu ni maarufu lakini kiuhalisia hizi ndio akili za vijana wengi walioko kwenye hili jiji, wapo wengi sana ninaowafahamu ambao nao wana mawazo kama haya ya kutaka kuonekana wanaishi Dar tu na si sehemu nyingine, sasa tukumbuke idadi ya watu Dar inazidi kuongezeka siku hadi siku ila ukubwa wa mkoa hauongezeki

Kwa mtazamo wangu naona suluhisho pekee ni kuunganisha hii mikoa miwili Pwani yote nayo iitwe Dar, kuhusu wilaya kuwa nyingi sioni kama ni tatizo maana hata mkoa wa Tanga una wilaya nyingi kulinganisha na idadi ya wakazi wake so sioni kama ni tatizo kufanya hivyo hata kwa Dar, ambao ndio mkoa wenye idadi kubwa ya wakazi na kama wakiona utakuwa na wilaya nyingi basi wanaweza waka merge baadhi ya wilaya

Sasa hivi miji inakuwa kuelekea Bagamoyo, Kisarawe, Chalinze na Mkuranga kwa maana kwamba watu wameanza kuchangamkia ardhi huko na wengine wameanza kujenga, lakini ukuaji wake bado hauna kasi kulinganisha na idadi ya watu wanaohamia Dar kila siku, hakuna haja ya kuwa na mkoa specific unaoitwa Pwani wakati hata Dar, Tanga, Lindi na Mtwara nayo ni mikoa ya Pwani

Hapa simaanishi miji ikuwe makazi ya watu tu bali hata huduma za kijamii kama ni ofisi, masoko, shule, hospitali, hoteli, malls, bars, restaurants na huduma nyinginezo, lakini hizo asilimia kubwa hufuata makazi ya watu mtu hawezi kufungua tu biashara yake sehemu ambayo hana uhakika wa wateja wa kutosha, kwahiyo ni lazima watu waanze kwanza kuhamia ndipo huduma zitafuata, sasa kwa akili hizi za watu kutaka kuonekana wanaishi Dar tusitegemee Pwani itakuwa haraka

Kama ni ushamba wa bahari mbona hata Bagamoyo na Mkuranga bahari ipo ila bado kuna mapori, nashangaa baadhi ya watu wanataka mikoa izidi kugawanywa wakati hii iliyopo tu maendeleo yametushinda, haya ya kusema eti kawilaya kakishakuwa na tuhuduma fulani twa kijamii hata kama ni tubovu basi kanafaa kuwa mkoa unaojitegemea sioni kama yanasaidia

Kuna mahali nilisoma eti na wakazi wa Masasi nao wanataka hiyo wilaya iwe mkoa eti kisa tu biashara ya korosho yani kuna mambo yanachekesha kwa kweli, huo mkoa wa Mtwara tu bado hamjamalizana nao mnataka muanzishe mkoa wa Masasi tena, halafu hata kijiografia Mtwara siyo mkoa mkubwa kihivyo wa kuhitaji kugawanywa kuna mikoa mikubwa kama Morogoro, Tabora, Lindi nk ambayo ndio inastahili kugawanywa

Hata hivyo hii gawanya gawanya ya mikoa na wilaya inazidi kuongeza idadi ya makabila tu maana nimekuja kugundua hii nchi ina makabila zaidi ya haya tunayoyajua, mengine unakuta ni mtu tu na mkewe na wanaye walihamia pori fulani wakakuta hapana watu wakaanzisha kijiji na kikabila chao hatimaye kikakuwa na kupata watu basi nao wanataka watambulike, mara makabila mengine unasikia eti ni muunganiko wa kabila fulani na kabila fulani sasa hayo yote ya nini ikiwa vitu muhimu kama maji, umeme, afya, elimu, uchumi na teknolojia vinatushinda na ndio maana Nyerere alipiga marufuku mambo ya kuendekeza makabila

Kwahiyo maoni yangu ni kwamba badala ya kuendelea kugawanya mikoa tuangalie kama kuna mikoa ambayo inaweza kuunganishwa iunganishwe, na kwa sasa nilikuwa napendekeza tuanze na Dar na Pwani tubaki na mikoa 30 tu tupambane kuiendeleza kwanza hiyo, na siyo kuwa na mikoa mingi ambayo imejaa mapori tu na huduma mbovu za kijamii pamoja na maendeleo duni
Sisi watu wa Pwani HATUTAKI CONTAMINATIONS
 
Mkuu wazo lako ni zuri lakini huoni kuunganisha mkoa wa Dsm na Pwani litakuwa ni eneo kubwa sana kiutawala?

Kwanza ukiuchukulia tu mkoa wa Pwani ulivyokaa tenge kijiografia (Kibaha, Chalinze, Bagamoyo, Kisarawe, Mkuranga, Kibiti, Rufiji na Mafia).

Cha muhimu sana ni kuboresha tu miundo mbinu kwa mkoa mzima wa Pwani, watu watasogea tu wenyewe.

Mkuranga kabla ya kuwa wilaya yote hiyo ilikuwa ni wilaya ya Kisarawe, lakini kwasasa inaikimbiza Kisarawe kutokana na kufunguka kwa barabara (Barabara kuu) iliyopelekea mwingiliano mkubwa wa watu.

Kisarawe imeishia kuendelea kwa upande wa Kiluvya pekee.
Sambamba na Kibaha na Chalinze.
Nafikiri mchawi ni miundo mbinu tu.
Mkoa wa Pwani siyo mkubwa kijiografia unaingia mara mbili kwa Morogoro, na pia kuna mikoa mingine mikubwa zaidi kama Lindi na Tabora ila haigawanywi na haileti shida kiutawala, so hata wakiunganisha Dar na Pwani bado haitakuwa kubwa kulinganisha na hiyo mikoa niliyotaja
 
Mimi napendekeza jina la Daresalaamu lifutwe.
Badala yake uwe mkoa mmoja tu wa Pwani.
Sababu mojawapo Neno Daresalaam sio la Kibantu.
Daresalaam unaweza kuwa ni mji kama Kinshasa.
Mkoa uitwe PWANI.
Sahihi kabisa hata mimi hili nimelifikiria pia mkuu, tungeachana tu na hilo jina Dar es salaam hii mikoa iungane halafu uitwe either Pwani au urudie jina la Mzizima, Dar si kiswahili wala kibantu kama ulivyosema
 
Daah hapa nimecheka..nimefikiria, na ikiendelea kujaa t, yoote iitwe pia DAR??

KUNA WATU KAMA NYIE MPO TOFAUTI SANA JMNI, SIJUI MNAWAZAGA NINI,

HONGERA SANA..NIMEKUKUBALI
Tupo Pamoja boss.
 
Mkoa wa Pwani siyo mkubwa kijiografia unaingia mara mbili kwa Morogoro, na pia kuna mikoa mingine mikubwa zaidi kama Lindi na Tabora ila haigawanywi na haileti shida kiutawala, so hata wakiunganisha Dar na Pwani bado haitakuwa kubwa kulinganisha na hiyo mikoa niliyotaja

Mkuu, unafikiri ni kwanini idadi ya mikoa na wilaya zimeongezeka? Ambazo ukitathmini kiundani baadhi hakukuwa na haja ya kufanya hivyo.
SIASA.

Ongezeko la wakuu wa mikoa, wilaya, na wengineo.
Sidhani kama itawezekana. Badala yake utashangaa ndani ya mkoa wa Pwani zinamegwa baadhi ya wilaya kutengeneza mkoa mpya.
 
Wazo zuri. Muhimu serikali kabla ya kuunganisha iweke huduma za msingi kama barabara, shule,masoko,hospital, vituo vya mabasi, daladala, huduma za polisi karibu nk

Viwanja muhimu vipimwe, at least vianzie 30 x 20. Mitaa ta kueleweka.
Serikali ikifanya hivo vitu hata bila kupaita huko sehemu kuwa ni Dar, watu wataenda

Tatizo ni huduma, sio jina
 
Heri ya mwaka mpya wakuu

Hivi kwanini serikali isiunganishe mikoa ya Dar na Pwani kisha huo mkoa uitwe Dar na tubaki na mikoa 30 tu, hakuna haja ya kuwa na mikoa mingi huku maendeleo yakiwa ni madogo na idadi ya watu ikilundikana kwenye vimiji vichache tu, kusema kwamba tutamaliza mapori na kuharibu mazingira kwa vizazi vijavyo ni upotoshaji kwa sababu Tanzania bado hakuna population ya kumaliza mapori yote tuliyonayo

Ni ajabu kwamba mkoa mdogo kijiografia kuliko yote nchini ndio mkoa mkubwa kidemografia kuliko yote nchini, ukiuliza sababu hakuna sababu ya maana utapewa zaidi ya watu wengi hasa vijana, kutaka waonekane wanaishi Dar hata kama maisha yao hayaeleweki na huko mikoani wameona fursa

Juzi nilikuwa nasikiliza interview ya Mwijaku alipokuwa anawajibu watu wanaosema kwamba kajenga ghorofa lake kwenye kaeneo kadogo, akasema alikuwa na eneo karibu ekari mbili huko Bagamoyo, ila hakutaka kujenga huko sababu hati ya nyumba yake ingesoma Pwani na yeye anataka isome Dar

Sasa nimemtolea mfano huyo sababu ni maarufu lakini kiuhalisia hizi ndio akili za vijana wengi walioko kwenye hili jiji, wapo wengi sana ninaowafahamu ambao nao wana mawazo kama haya ya kutaka kuonekana wanaishi Dar tu na si sehemu nyingine, sasa tukumbuke idadi ya watu Dar inazidi kuongezeka siku hadi siku ila ukubwa wa mkoa hauongezeki

Kwa mtazamo wangu naona suluhisho pekee ni kuunganisha hii mikoa miwili Pwani yote nayo iitwe Dar, kuhusu wilaya kuwa nyingi sioni kama ni tatizo maana hata mkoa wa Tanga una wilaya nyingi kulinganisha na idadi ya wakazi wake so sioni kama ni tatizo kufanya hivyo hata kwa Dar, ambao ndio mkoa wenye idadi kubwa ya wakazi na kama wakiona utakuwa na wilaya nyingi basi wanaweza waka merge baadhi ya wilaya

Sasa hivi miji inakuwa kuelekea Bagamoyo, Kisarawe, Chalinze na Mkuranga kwa maana kwamba watu wameanza kuchangamkia ardhi huko na wengine wameanza kujenga, lakini ukuaji wake bado hauna kasi kulinganisha na idadi ya watu wanaohamia Dar kila siku, hakuna haja ya kuwa na mkoa specific unaoitwa Pwani wakati hata Dar, Tanga, Lindi na Mtwara nayo ni mikoa ya Pwani

Hapa simaanishi miji ikuwe makazi ya watu tu bali hata huduma za kijamii kama ni ofisi, masoko, shule, hospitali, hoteli, malls, bars, restaurants na huduma nyinginezo, lakini hizo asilimia kubwa hufuata makazi ya watu mtu hawezi kufungua tu biashara yake sehemu ambayo hana uhakika wa wateja wa kutosha, kwahiyo ni lazima watu waanze kwanza kuhamia ndipo huduma zitafuata, sasa kwa akili hizi za watu kutaka kuonekana wanaishi Dar tusitegemee Pwani itakuwa haraka

Kama ni ushamba wa bahari mbona hata Bagamoyo na Mkuranga bahari ipo ila bado kuna mapori, nashangaa baadhi ya watu wanataka mikoa izidi kugawanywa wakati hii iliyopo tu maendeleo yametushinda, haya ya kusema eti kawilaya kakishakuwa na tuhuduma fulani twa kijamii hata kama ni tubovu basi kanafaa kuwa mkoa unaojitegemea sioni kama yanasaidia

Kuna mahali nilisoma eti na wakazi wa Masasi nao wanataka hiyo wilaya iwe mkoa eti kisa tu biashara ya korosho yani kuna mambo yanachekesha kwa kweli, huo mkoa wa Mtwara tu bado hamjamalizana nao mnataka muanzishe mkoa wa Masasi tena, halafu hata kijiografia Mtwara siyo mkoa mkubwa kihivyo wa kuhitaji kugawanywa kuna mikoa mikubwa kama Morogoro, Tabora, Lindi nk ambayo ndio inastahili kugawanywa

Hata hivyo hii gawanya gawanya ya mikoa na wilaya inazidi kuongeza idadi ya makabila tu maana nimekuja kugundua hii nchi ina makabila zaidi ya haya tunayoyajua, mengine unakuta ni mtu tu na mkewe na wanaye walihamia pori fulani wakakuta hapana watu wakaanzisha kijiji na kikabila chao hatimaye kikakuwa na kupata watu basi nao wanataka watambulike, mara makabila mengine unasikia eti ni muunganiko wa kabila fulani na kabila fulani sasa hayo yote ya nini ikiwa vitu muhimu kama maji, umeme, afya, elimu, uchumi na teknolojia vinatushinda na ndio maana Nyerere alipiga marufuku mambo ya kuendekeza makabila

Kwahiyo maoni yangu ni kwamba badala ya kuendelea kugawanya mikoa tuangalie kama kuna mikoa ambayo inaweza kuunganishwa iunganishwe, na kwa sasa nilikuwa napendekeza tuanze na Dar na Pwani tubaki na mikoa 30 tu tupambane kuiendeleza kwanza hiyo, na siyo kuwa na mikoa mingi ambayo imejaa mapori tu na huduma mbovu za kijamii pamoja na maendeleo duni

Mawazo mazuri sana
 
Back
Top Bottom