mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,663
- 9,771
Mkuu mimi nimekuelewa vizuri sana,hoja yangu iko na mashiko sana.Hakuna sehemu nimesema Dar imejaa hoja yangu ya kuongeza ukubwa siyo kwa sababu eti Dar imejaa, Dar bado haijajaa hoja yangu ni Dar ndio mkoa mdogo kuliko yote, yet ndio mkoa wenye idadi kubwa ya watu kuliko yote hii sidhani kama ni sawa
Ikifanyika hivyo maendeleo yatagawanyika kwa usawa kuliko hali ya sasa ya watu kurundikana na kufanya maendeleo sehemu moja na sehemu zingine zinabaki mapori miaka na miaka.
Ukitembelea hata hapo Kenya kuna utofauti unaona kwenye mikoa yao yote ina mgawanyo sawa wa kimaendeleo na watu hawarundikani sehemu moja.