Kuna mtu alianiambia kuna wakati benki zinapata mishahara kwa njia hiyo wakiona mambo yako fyongo. Sasa sijui kama ina ukweliHumu kwwnye transactions digital humu kuna wiz sanaaa..Sema ni ule wiz mdogo mdogo ambao unahitaji kuwa makin sana kuubaini.mfano huu sasa..
Imagine humu ma bank wakiamua wanaiba shiling 100 kila week kimya kimya nani anaweza akagundua kuwa katika milion 2 zako bank wamechukua sholingi 100? Hata ukijua ni rahis ku assume kuwa inawezekana labda ni charges za kitu flan...sasa wafanye hivyo kwa watanzania milion 1 tuu kila week maana yake kila week wanaweza wakawa wanatengeneza milion 100 bure bure...
Same same applies kwenye mobile networks
Kabisa mkuu mi nilishawaza sana hii kituHumu kwwnye transactions digital humu kuna wiz sanaaa..Sema ni ule wiz mdogo mdogo ambao unahitaji kuwa makin sana kuubaini.mfano huu sasa..
Imagine humu ma bank wakiamua wanaiba shiling 100 kila week kimya kimya nani anaweza akagundua kuwa katika milion 2 zako bank wamechukua sholingi 100? Hata ukijua ni rahis ku assume kuwa inawezekana labda ni charges za kitu flan...sasa wafanye hivyo kwa watanzania milion 1 tuu kila week maana yake kila week wanaweza wakawa wanatengeneza milion 100 bure bure...
Same same applies kwenye mobile networks
Hii ipo kuna mtu aliwahi niambia hii inafanyikaga sana,Humu kwwnye transactions digital humu kuna wiz sanaaa..Sema ni ule wiz mdogo mdogo ambao unahitaji kuwa makin sana kuubaini.mfano huu sasa..
Imagine humu ma bank wakiamua wanaiba shiling 100 kila week kimya kimya nani anaweza akagundua kuwa katika milion 2 zako bank wamechukua sholingi 100? Hata ukijua ni rahis ku assume kuwa inawezekana labda ni charges za kitu flan...sasa wafanye hivyo kwa watanzania milion 1 tuu kila week maana yake kila week wanaweza wakawa wanatengeneza milion 100 bure bure...
Same same applies kwenye mobile networks
Ni lazima akili yako ikubaliane na ukweli kwamba, kuna utofati mkubwa wa vipato vyetu,Mkuu pole.
Unanunua umeme wa 1,500 kila baada ya siku 3, ni sawa kununua mara 10 kwa mwezi sawa na 15,000.
Nunua mara moja tu mkuu uachane na hii nunua nunua.
Ni ushauri tu mkuu.
Mimi leo line ya tigo imeamisha pesa bila idhini yagu kutoka tigo pesa na kuipeleka kwenye matumizi ya kawaida kisha wakaniambia nadaiwa sijui mia tatu wakati sijawai kukopa huduma yoyote wala nini ....nimeshangaa sana kutoa buku yangu kutoka tigopesa wakaipeleka kwenye vocha na kukata hiyo pesa bila ya idhini yanguHumu kwwnye transactions digital humu kuna wiz sanaaa..Sema ni ule wiz mdogo mdogo ambao unahitaji kuwa makin sana kuubaini.mfano huu sasa..
Imagine humu ma bank wakiamua wanaiba shiling 100 kila week kimya kimya nani anaweza akagundua kuwa katika milion 2 zako bank wamechukua sholingi 100? Hata ukijua ni rahis ku assume kuwa inawezekana labda ni charges za kitu flan...sasa wafanye hivyo kwa watanzania milion 1 tuu kila week maana yake kila week wanaweza wakawa wanatengeneza milion 100 bure bure...
Same same applies kwenye mobile networks
Umeona eehh...Mimi leo line ya tigo imeamisha pesa bila idhini yagu kutoka tigo pesa na kuipeleka kwenye matumizi ya kawaida kisha wakaniambia nadaiwa sijui mia tatu wakati sijawai kukopa huduma yoyote wala nini ....nimeshangaa sana kutoa buku yangu kutoka tigopesa wakaipeleka kwenye vocha na kukata hiyo pesa bila ya idhini yangu
Lisemwalo lipo mkuuKuna mtu alianiambia kuna wakati benki zinapata mishahara kwa njia hiyo wakiona mambo yako fyongo. Sasa sijui kama ina ukweli
Uwezo unatofautiana ndugu. Ikiwa rahisi kwako kununua 15,000 kwa mkupuo kuna mtu hiyo 15,000 ni ujira wake wa siku 3.Mkuu pole.
Unanunua umeme wa 1,500 kila baada ya siku 3, ni sawa kununua mara 10 kwa mwezi sawa na 15,000.
Nunua mara moja tu mkuu uachane na hii nunua nunua.
Ni ushauri tu mkuu.
Kuna benki moja niliamua kuachana nayo kwa mambo haya. Sijui kama wamejirekebisha maana naona siku hizi hata jina wamebadili.Humu kwwnye transactions digital humu kuna wiz sanaaa..Sema ni ule wiz mdogo mdogo ambao unahitaji kuwa makin sana kuubaini.mfano huu sasa..
Imagine humu ma bank wakiamua wanaiba shiling 100 kila week kimya kimya nani anaweza akagundua kuwa katika milion 2 zako bank wamechukua sholingi 100? Hata ukijua ni rahis ku assume kuwa inawezekana labda ni charges za kitu flan...sasa wafanye hivyo kwa watanzania milion 1 tuu kila week maana yake kila week wanaweza wakawa wanatengeneza milion 100 bure bure...
Same same applies kwenye mobile networks
Yan hik kitu ni live bila shida transactions za mitandaoni hiz zina wiz wa hali ya juu sanaKuna benki moja niliamua kuachana nayo kwa mambo haya. Sijui kama wamejirekebisha maana naona siku hizi hata jina wamebadili.
Kama unafanya miamala mara kwa mara siyo rahisi kugundua.
Weja pesa na ikae atleast 3 months hujaigusa ndio utagundua huko nako shida tu.