Serikali itoe tamko rasmi: Daudi Albert Bashite ni nani?

Serikali itoe tamko rasmi: Daudi Albert Bashite ni nani?

Jibu simple, ni yule alihtimu form four akafaulu halafu masomo ya juu kaenda mwingine. wenye kusoma kwa utaratibu huu sasa wanaitwa Bashite aka watoto pendwa.
 
Albert malyangili bashite mtaalum w vyeti feki yani fafafafafafaaaa
 
Huu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.

Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.

Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Hii hutajibiwa wala haitajadiliwa popote .
 
Badala ya kuzungumzia ni wapi Mjerumani alizika alifukia/alizika hazina ya utajiri kabla na baadae ya vita ya kwanza na ya pili ya dunia tunazungumzia Daud Bashite?.
Daud Bashite is just a propaganda like that of Daud Ballali.
So keep on watching,time is going 2025 sio mbali.
 
Huu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.

Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.

Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Hangaikeni kutafuta pesa kukomboa familia zenu,huyo Bashite anaekupotezeeni muda yeye anaendelea na maisha kama kawaida,aliyewaaminusha kwa faida binafsi Mr Gwajima nae anaendelea na maisha kama kawaida
 
Rais ana dhalilisha kiti cha urais. Huwezi ukaondoa watu zaidi 9000 kwa kosa lile lile halafu ukamlinda mmoja. Yaani ni aibu hapo ndipo hata apige kelele vipi ameshaishushia hadhi nafasi yake. Kama angekuwa anamlipa yeye kwa pesa yake ya mfukoni au mshahara wake hapo ni sawa lakini kama analipwa na walipa kodi wa nchi hii hili halitakwisha na ataendelea kuandamwa hata akitoka madaraka kwani historia huwa haifutiki. Hili ni doa kubwa sana kwake
 
Hili suala linatia aibu taifa letu ndani na nje. Mh. Rais cc niwapiga kura wako nami nilipambana sana kwenye uchaguzi kuhakikisha unashinda hadi nikapewa jina lako Magufuli na mke wangu akaitwa Janeth. Sikiliza ushauri suala LA Bashite linakuchafua sana. Yeye ni nani kwako? Wabungu wanaongea bungeni kuwa anawatishia tena wa ccm nakwa ushahidi, kafoji vyeti, wafanyabiashara wakubwa Dar kawasumbua tena kwa vitisho. Unapoteza wawekezaji na imani kwa wananchi. Nilifatilia kwa kina sana mahojiano ya Star TV ni hakika Makonda hana vyeti vya O' level na amekudanganya majina. Si kua ukimtoa Rais utakua umeprove failure no italeta imani kubwa kwa wananchi. Makonda kalewa madaraka, wananchi hawana imani nae, kadanganya taasisi ya Rais kwa vyeti fake nk. Napata shida kubwa sana kila sehemu nilipo kua natoa ushawish uchaguliwe juu ya makonda. Shaurika na ambilika. 2020 tutaitwa Bashite which means zero brain in Gwajima's new vocabulary. Ukimuita mtu Bashite aiseeee mtauana kwa sasa ni tusi kubwa sana yaani kichwani hana kitu ni zero.
 
Hata ingelikuwa ni nani lakini twajua kuwa, huyu ndiye aliye wahalalishia utulivu wa moyo, Wabunge kama Kibajaji na wenzake kina Shoza pamoja na wateule wote wa rais kuwa hawana haja ya kwenda nunua ubin huko na huko ili kuhalalisha vyeti.

Unachotakiwa ni ushindi wa udahili (Interview) kama utaweza kusoma maneno mawili tu ya kiswahili nayo ni, " Ka' "Ta". Ukiweza kuyasoma hayo maneno mawili tu, wewe unastahili ofisi ya Mkoa, Wilaya na Ubunge hadi Uwaziri. Haya, swali jingine???
Sawa. Je ukitumia majina ya mtwengine kujipatia hiyo ajira?
 
Back
Top Bottom