Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Nimekaa mahabusu za kiraia na kijeshi hakuna jipyaNot to that extent, i wish could be IGP ningekusweka ndani Melkiorysaranga
Nimekaa mahabusu za kiraia na kijeshi hakuna jipyaNot to that extent, i wish could be IGP ningekusweka ndani Melkiorysaranga
Nimekaa mahabusu za kiraia na kijeshi hakuna jipya
Poa kwema??Hahahaha basi sawa mkuu, mambo vip kaka
Mkuu hatufukui makaburi HahahaHuu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.
Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.
Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Kwani jina hilo limeletwa na serikali?Huu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.
Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.
Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Aaa wapi nyie kelele tu hapa. Utafikiri mna impact kumbe hakuna lolote. 2020 Magufuli hata asipopiga kampeni ameishashinda kwa 70% hadisasa...Bashite tunamsubiri baba yako asiyeshindwa kamwe 2020 kabla hajapiga push ups lazima aseme bashite ni nani
Mkuu sasa huo ni uchokozi umesahau Mr. Longolongo alikesha kukagua CV za wateule wake sasa unatafuta nini tena? Na nina wasiwasi na Bashite huenda keshanyofoa cheti cha kuzaliwa kule kwa msajiri wa vizazi na vifoHuu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.
Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.
Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
We pepesa domo kama bashite hutaamini hiyo 2020. Kumbuka wale engineers wa wizi wa kura washaanza kutoa siriAaa wapi nyie kelele tu hapa. Utafikiri mna impact kumbe hakuna lolote. 2020 Magufuli hata asipopiga kampeni ameishashinda kwa 70% hadisasa...
Kwema mkuu naoan umeimiss picha ya Marehemu Luteni Rajabu Ahmed Mlima mkuu toa hilo la wapi hilo profile daah kama South Sudan hahahahaPoa kwema??
Fonte FortiHuu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.
Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.
Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Acha mkuu ile picha nimeitoa sababu inanikumbusha mengi sana wale M 23 ***** zao waleKwema mkuu naoan umeimiss picha ya Marehemu Luteni Rajabu Ahmed Mlima mkuu toa hilo la wapi hilo profile daah kama South Sudan hahahaha
Acha mkuu ile picha nimeitoa sababu inanikumbusha mengi sana wale M 23 ***** zao wale
Kamchezo michezo ya kwenye kompyuta kwa English kanaitwaje mkuuHuzuni kuu maku zao