Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,479
- 11,670
Mmeanza tena kutafta kicks! Aliyetaja bashite ni serikali? Nenda kamwambie yule wa mtu wenu alowageuza misukule kila kitu mnaitikia ameen ndo atoe tamko
Udukuzi au Hacking???Mtu akidukua account yangu ataambulia mashuduKauli mbiu ya tanesco ni maneno mawili tu KA na TA ongeza neno moja muhimu sana kwenye mchezo wa kompyuta
Mbona umenijibu kifedhuli hivyo???Mlamu kalya ndili mlongo
Ana siri nyepesi kati yake na Sigara aka pombeHuyu jamaa kuna kitu siyo bure. Muhongo katumbuliwa, nape pia!! Huyu ana nini
Na alishasema yeye hapangiwi!!!Kwani hata mazingira tu huoni mkuu?
Alichokataa mkulu sio ukweli wa tuhuma na habari za Bashite, bali ni kuwa "drived" tena na wapinzani na mitandao ya kijamii.
Wazee wa mgegedo[emoji68] [emoji68] [emoji68] huyo hapo nimekuletea.Wema dem tena mzuri hata mimi akikaa vibaya napiga mashine
Kwa sasa tunajua kwa jina la Zero Brain!!!!!!!!!!Sina swali jingine. Nina ombi kwa mh rais, amteuwe Daud Albert Bashite kuwa mkuu wa mkoa.
Bahati mbaya serikali haina kitengo cha kutolea majibu ya kichaa yeyote anayosema labda hospitali ya mirembe.usifikiri rais anapofanya uteuzi wowote anatoka usingizini.kabla ya uteuzi hufanyika vettingHuu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.
Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.
Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Mkuu hospitali ya Mirembe ni ya Serikali kama hujui, kama huko ndiko majibu ya serikali yatatoka, yatoke huko sasa. Mtu anakana baba yake mzazi kwenye media halafu unasema majibu yatoke hospitali ya vichaa?? Kwani Bashite ni kichaa kalazwa mirembe?Bahati mbaya serikali haina kitengo cha kutolea majibu ya kichaa yeyote anayosema labda hospitali ya mirembe.usifikiri rais anapofanya uteuzi wowote anatoka usingizini.kabla ya uteuzi hufanyika vetting
Tafuta ugali wawatoto wako k wewe,maisha yawatu yatakusaidia nini labda?ushaambiwabhapangiwi sasa wewe unacho kitaka nikipi?Huu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.
Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.
Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Mkuu Kadhi embu tujadili hoja kwa hoja,je tunauhakika Gwajima anasema kweli? Kama ni kweli tunaye Paul Christian aliyeuza cheti?Kama yupo aliuza bei gani considering kuwa alikuwa anamuuzia kijana masikini kabisa,maana sheria ya rushwa ni kutoa au kupokea yote ni makosa.Huu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.
Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.
Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Michezo gani tena boss??Au hiyo wanayoita Game??
Mbona umenijibu kifedhuli hivyo???