Sina swali jingine. Nina ombi kwa mh rais, amteuwe Daud Albert Bashite kuwa mkuu wa mkoa.
Mikoa yote ina wateule tiyari labda tungojee akifyatuka mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina swali jingine. Nina ombi kwa mh rais, amteuwe Daud Albert Bashite kuwa mkuu wa mkoa.
Bujibuji. assaalaam alleykum. Kakana kwenye tv kwamba hana baba anayeitwa Bashite, na Gwajima kafumbafumba kuhusu mtoto wa dawa. Kumkana mzazi wako ni moja ya dalili alizozisema Gwajima. Je ni kweli DAB kakmkana baba yake mzazi star tv?Daudi wa Kolomije
Maneno kama haya ndio yamesababisha kale kapage kenu kule facebook kakapigwa ban, sijui kamefia wapi?Hivi Bashite huwa anampa nini mkulu?
Niliangalia interview mwanzo hadi mwisho, alikataa kuongea lolote kuhusu BASHITE alisema ni mbinu za wauza unga na hayupo tayari kuongea mambo ya adui zake.Bujibuji. assaalaam alleykum. Kakana kwenye tv kwamba hana baba anayeitwa Bashite, na Gwajima kafumbafumba kuhusu mtoto wa dawa. Kumkana mzazi wako ni moja ya dalili alizozisema Gwajima. Je ni kweli DAB kakmkana baba yake mzazi star tv?
Huu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.
Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.
Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Kwani askofu Gwajima ni muongo/mkweli? Kama mtu anaitwa DAB ateuwe kwa kubadilisha jina. Kule Tabora kuna mtangazaji anaitwa DAB. Tuwe na mteule anaitwa DAB, Haya mambo anayoyasema askofu Gwajima ni mazito. Anamtaja aliyekuwa Mstahiki Meya wa Mwanza Suleyman Kamese naye kamlea DAB kabla ya kumtupia DAB rambo yake ya nguo kule kolomije na wasamaria wema kuziokota na kumpelekea. Hawa watu pamoja na Mwl/mkuu wa Pamba Sec. wanajisikiaje? Ukweli uelezwe ili watu wengi wawe huru tujue kama kweli huyu RC ni DAB ila aendelee na u RC kwa KKK.Mikoa yote ina wateule tiyari labda tungojee akifyatuka mmoja
Kwani askofu Gwajima ni muongo/mkweli? Kama mtu anaitwa DAB ateuwe kwa kubadilisha jina. Kule Tabora kuna mtangazaji anaitwa DAB. Tuwe na mteule anaitwa DAB, Haya mambo anayoyasema askofu Gwajima ni mazito. Anamtaja aliyekuwa Mstahiki Meya wa Mwanza Suleyman Kamese naye kamlea DAB kabla ya kumtupia DAB rambo yake ya nguo kule kolomije na wasamaria wema kuziokota na kumpelekea. Hawa watu pamoja na Mwl/mkuu wa Pamba Sec. wanajisikiaje? Ukweli uelezwe ili watu wengi wawe huru tujue kama kweli huyu RC ni DAB ila aendelee na u RC kwa KKK.
Wema dem tena mzuri hata mimi akikaa vibaya napiga mashineTuanze na wema ,swali lililozagaa "Wema anampa nini Mbowe ambacho make wake hana?
Wema dem tena mzuri hata mimi akikaa vibaya napiga mashineTuanze na wema ,swali lililozagaa "Wema anampa nini Mbowe ambacho make wake hana?
Hilo ni swali linahitaji jibu.Maneno kama haya ndio yamesababisha kale kapage kenu kule facebook kakapigwa ban, sijui kamefia wapi?
Yani mnahangaika na vitu vya kijinga badala ya kudeal na issues, mfano leo huko bungeni mmepigwa za uso.
Anampa kile anachopewa na lady firstHivi Bashite huwa anampa nini mkulu?
Uliza wambea wenzio akina Gwajima!Huu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.
Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.
Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
Hahahaa eti maneno mawili kata do sisomi PhD kama ndo hiviHata ingelikuwa ni nani lakini twajua kuwa, huyu ndiye aliye wahalalishia utulivu wa moyo, Wabunge kama Kibajaji na wenzake kina Shoza pamoja na wateule wote wa rais kuwa hawana haja ya kwenda nunua ubin huko na huko ili kuhalalisha vyeti.
Unachotakiwa ni ushindi wa udahili (Interview) kama utaweza kusoma maneno mawili tu ya kiswahili nayo ni, " Ka' "Ta". Ukiweza kuyasoma hayo maneno mawili tu, wewe unastahili ofisi ya Mkoa, Wilaya na Ubunge hadi Uwaziri. Haya, swali jingine???
Kwani unamwonaje ana akili kama zako kweli?Sijui kwa nini wengine wote wanatumbuliwa, hivi huyu bashite ana nini??
Heeey hujui anachokipata kutoka kwake!? Mimi ningekueleza sema naogopa Noah nyeusi!!!Hivi Bashite huwa anampa nini mkulu?
Utamu eeee nimeonja utamu eeee.Sijui kwa nini wengine wote wanatumbuliwa, hivi huyu bashite ana nini??