comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Mbona umenijibu kifedhuli hivyo???
Hapana sio kifedhuli hicho Kipogoro mlongo wangu
Mbona umenijibu kifedhuli hivyo???
Hilo neno si huwa mnatamka kiutani kuonyesha dharauHapana sio kifedhuli hicho Kipogoro mlongo wangu
Hahaaa,,,,,,nimevimiss vimbwaku mbwakuHapana sio kifedhuli hicho Kipogoro mlongo wangu
Sawa, naona moyo wako unafurahia kutukana. Ila unayemtukana humjui, Ugali natafuta ndo maana nipo JF humu bila net huingii hapa tunalipia. Sasa kulipia kutukana mtu usiyemjua utajuta.Tafuta ugali wawatoto wako k wewe,maisha yawatu yatakusaidia nini labda?ushaambiwabhapangiwi sasa wewe unacho kitaka nikipi?
Gwajima na DAB wanatoka kijiji kimoja Kolomije. Paul Ch. hakuuza cheti bali mpenzi wa DAB aliiba cheti cha C P Maranja, suala la vyeti feki hakulianzisha Gwajima kalianzisha Mh. Rais Magufuli. Gwajima kamsaidia kutaja wenye vyeti feki akiwemo mteule wake.Mkuu Kadhi embu tujadili hoja kwa hoja,je tunauhakika Gwajima anasema kweli? Kama ni kweli tunaye Paul Christian aliyeuza cheti?Kama yupo aliuza bei gani considering kuwa alikuwa anamuuzia kijana masikini kabisa,maana sheria ya rushwa ni kutoa au kupokea yote ni makosa.
Tafadhali,simtetei mtu ila tujadili hapo,bila kusahau sababu za shahidi mkuu Gwajima kukaa na hii taarifa miaka yote bila kuiweka hadharani mpaka alipotajwa kuhusika na ngada.Hali akijua kuwa kuna kosa limetendeka mahali.
Kwa hiyo kadhi hayo yote umesikia tu kwa Gwajima,na wala hupajui kolomije wala Paul na Daudi hujawahi kuwaona,na hata mahusiano na migongano yao huijui. Dah basi sawa subiri atajibu mkuu wa kaya.Gwajima na DAB wanatoka kijiji kimoja Kolomije. Paul Ch. hakuuza cheti bali mpenzi wa DAB aliiba cheti cha C P Maranja, suala la vyeti feki hakulianzisha Gwajima kalianzisha Mh. Rais Magufuli. Gwajima kamsaidia kutaja wenye vyeti feki akiwemo mteule wake.
Hahaaa,,,,,,nimevimiss vimbwaku mbwaku