Serikali itoe tamko rasmi: Daudi Albert Bashite ni nani?

Serikali itoe tamko rasmi: Daudi Albert Bashite ni nani?

Ukiwa mchana hua tunataka usiku na ukiwa usiku tunataka kukuche kuwe mchana safari ni ndefu
 
Huu mjadala si wa kisiasa. Mkuu (Mh. Rais) alisema wenye vyeti feki waachie ofisi ifikapo May 15, 2017. Huu ulikuwa msamaha na wote watakao kaidi wafungwe miaka 7. Sasa Gwajima askofu kafafanua kila kitu ila serikali haikanushi wala kutoa tamko kuhusu ukweli wa Daud Abert Bashite.

Naomba kama kweli kutoka Kolomije s/msingi ni Daudi bashite, Pamba secondary ni Daudi Bashite (zero kama anavyosema Gwajima na mjue Gwajima yuko youtube live na dunia yote mwenye internet anamwona na kumsikia). Ni aibu kwa nchi kutangazwa vibaya kwa mteule wa rais.

Toeni tamko kama gwajima, kolomije na Pamba Sec ni waongo au wakweli ila rais aamue kulingana na madaraka yake kuhusu DAB.
Ramadhani Kareem.
DAUD ALBERT BASHITE NI NANI JIBU NI DAUD ALBERT BASHITE
 
Bashite anaiondolea credibility dhana ya kutenda haki kwa wote bila ubaguzi!
 
JF sahivi imekuwa chuo cha (Montessori) cha kulelea watoto wadogo wadogo
 
Muacheni mtoto wa watu huyo mkoromije jamani hamjui kama ni mtoto wa watu huyo
 
Back
Top Bottom