Serikali inakalia kimya matukio ya Watu kutekwa na kuuawa? Utawala uliopita mambo yalianza hivi hivi

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Kuna matukio ya Watu kutekwa na kuuawa bila kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria na wengine wakidaiwa kufanyiwa ukatili na Polisi lakini mamlaka zimekuwa zikitoa majibu mepesi tu.

Sio sawa kwa nchi inayofuata utawala wa Sheria kukalia kimya masuala ya uhai na usalama wa raia wake.

Tukumbuke katika utawala wa Magufuli kulianza mambo kama haya kiutani utani lakini iligharimu kabisa sifa ya nchi yetu.

Ni wakati sasa Mamlaka za juu akiwemo Rais atoke na kukemea haya mambo
 
Kuna matukio ya Watu kutekwa na kuuawa bila kufikishwa kwenye vyombo vya Sheria na wengine wakidaiwa kufanyiwa ukatili na Polisi lakini mamlaka zimekuwa zikitoa majibu mepesi tu.

Sio sawa kwa nchi inayofuata utawala wa Sheria kukalia kimya masuala ya uhai na usalama wa raia wake.

Tukumbuke katika utawala wa Jiwe kulianza mambo kama haya kiutani utani lakini iligharimu kabisa sifa ya nchi yetu.

Ni wakati sasa Mamlaka za juu akiwemo Rais atoke na kukemea haya mambo
Wajinga ni sisi raia tunaishi kwa hisani ya Rais
 
Tafsiri ya mtu katika nchi hii ni mwanasiasa na mwandishi wa habari.

Hao wanaotekwa na kuuwawa si wanasiasa wala waandishi wa habari, that's why watu wanatake easy tu kwakuwa wanaotekwa na kuuwawa ni raia wa kawaida tu.

Ila ingekuwa ni wanasiasa au waandishi ungeona hata kituo Cha haki za binadamu kingeitisha press.
 
Tafsiri ya mtu katika nchi hii ni mwanasiasa na mwandishi wa habari.

Hao wanaotekwa na kuuwawa si wanasiasa wala waandishi wa habari, that's why watu wanatake easy tu kwakuwa wanaotekwa na kuuwawa ni raia wa kawaida tu.

Ila ingekuwa ni wanasiasa au waandishi ungeona hata kituo Cha haki za binadamu kingeitisha press.
...or a serial killer/s on the loose. Perhaps.
 
Kutekana sahv imekuwa kama fashion
Naona watu wakizinguana wanaamua
Kumalizana wenyewe
Hebu vyombo mnao simamia sheria na haki mjitathmini huko

Ova
 
Back
Top Bottom