Barabara is not a playing ground. Labda kwenu nguruwe na masokweShida yetu wabongo ndio hii.. Tushamiliki KA-IST tuu tayar tunaona barabara zote za lami, changarawe na vumbi ni kwa ajili yetu tuu. Watembea kwa miguu wapite misituni wakiwa wanaenda makwao.
#Nina shida na pesa.
Wacha wafe tuBaada ya tukio la mwanza hakuna walichojifunza hadi siku yamkute mtu maarufu ndio akili zitawakaa sawa
TrueJogging ni kuishia kufanyana na kutiana mimba tu
Uhuni ni kutofuata sheria na misusing ya resourcesKumbe uhuni ni kufanya mazoezi?
KAZI ni kipimo Cha utu
Rest in peace best wako Kenya Brian Chira.Kaka mkubwa una hoja hasa kipengele cha usalama ila dah! umeiwasilisha kwa ukali sana Kitenge akiisoma hii atajua ni hater wake.
Mwamba king muone mtu wako anavyolia.Baba mtumishi umempa tahadhari 'Jezi namba 9 Mgongoni" asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nasikia Kavuta jiko juzi juzi, hivi huyu mkaka si atakua 40 plus plus.
Je usha wai kukutana na Wanajeshi nao wakiwa wanafanya mazowezi yao barabarani!? Au una muataki Kitenge tu!!??Mimi simchukii Kitenge, nachukia uhuni na matumizi mabaya ya barabara.
Pia nachukia matendo ya watu kuhatarisha usalama wa maisha Yao na maisha ya watu wengine.
Mwanza kulitokea nini?Baada ya tukio la mwanza hakuna walichojifunza hadi siku yamkute mtu maarufu ndio akili zitawakaa sawa
Ni sahihi. Pamoja na hiko kinachoitwa "marathon"Jogging ni umalaya ulijificha kwenye mazoezi na umevunja ndoa nyingi za watu
Ndo mnavyodanganyana kahawani kuwa wazungu wanamwaga pesa kizembe namna hiyo!? Ingekuwa hivyo hata wewe si ungeanzisha kikundi cha kukimbia ukapiga pesa! Piga kazi na upunguze chuki/ujuaji, uendeshaji wa NGO ni mgumu zaidi ya uendeshaji wa familia yako na muheshimu sana mtu anayefanikiwa kuwashawishi wafadhiri wakampa mamilioni, siyo rahisi na usirudie kufananisha NGO na upuuzi wa kukimbia ovyo barabarani kama mwehu.Hapo watu wanachukua picha na kuanzisha NGO za kuwatapeli wazungu.
Ni dili la wachache hilo
NANI KAKUCHELEWESHAjamani hata hatujanawa uso
Mwanza kulitokea nini?