Jogging ni umalaya ulijificha kwenye mazoezi na umevunja ndoa nyingi za watuJogging ni kuishia kufanyana na kutiana mimba tu
🤣 🤣 🤣Jogging ni kuishia kufanyana na kutiana mimba tu
Sana na kama mmoja ndo yupo ktk grid basi ni kuunganishana tu,Jogging ni umalaya ulijificha kwenye mazoezi na umevunja ndoa nyingi za watu
Katikati ya barabara wanafanya jogging? Nadhani hakuna madereva wala bangi huko wangeshavunjwa miguu kitambo.Kitenge na wahuni wenzake wamekuwa wakikimbia katikati ya barabara
Kuna siku bodaboda alilazimisha kukatiza wanapopita, wakampiga bao la mgongoni.
Alisimama akaangalia kwa uchungu halafu akatikisa kichwa akaendelea na safari.
Huko nani ataona kalio zao? Ile biashara kama biashara zingineAcha yawakutebkama wale wa Mwanza walivyogongwa na gari,kama lengo ni mazoezi kwa nini easitafute kiwanza wawe Wana kimbia kwa kuuzinguka uwanja hata mala 200.
Aliwadharau sana.Kuna siku bodaboda alilazimisha kukatiza wanapopita, wakampiga bao la mgongoni. Alisimama akaangalia kwa uchungu halafu akatikisa kichwa akaendelea na safari.
Nasikia Kitenge anazunguka sana duniani, je ni nchi gani kakuta kundi kubwa la watu linakimbia mabarabarani?Aisee, nahsi ni boda boda mwenye akili nyingi hakutaka kupambana na kundi la wajinga wengi.
Vipi kuhusu kuwakera wengine? Kuilazimisha gari ikae nyuma yako, wewe unakimbia 5km/h?Wachukue tahadhari juu ya usalama wa maisha yao.
Kuna siku bodaboda alilazimisha kukatiza wanapopita, wakampiga bao la mgongoni. Alisimama akaangalia kwa uchungu halafu akatikisa kichwa akaendelea na safari.
Haha haha kweli Kitenge anaishi kwenye primitive era aisee, dahUbuntu botho
Shida yetu wabongo ndio hii.. Tushamiliki KA-IST tuu tayar tunaona barabara zote za lami, changarawe na vumbi ni kwa ajili yetu tuu. Watembea kwa miguu wapite misituni wakiwa wanaenda makwao.Huyu jamaa Kwa kutambua kwamba nchi Sasa Ina mbululaz wengi wanaojipendekeza Kwa watu maarufu huku wakijiita machawa akaanzisha kundi la kukimbia mchakamchaka barabarani.
Mazoezi ni muhimu Kwa afya ya mwili na akili, lakini yasifanywe kihuni, yafanywe mahali sahihi na salama Kwa wafanya mazoezi wengine na jamii Kwa ujumla.
Kitenge na wahuni wenzake wamekuwa kero Kwa wakazi wa maeneo ya Oyster Bay na Masaki na watumiaji wengine wa Barbara wa maeneo hayo.
Kitenge na wahuni wenzake wamekuwa wakikimbia katikati ya barabara huku wakisababisha usumbufu Kwa watumiaji wengine wa barabara, hususani watumiaji wa vyombo vya moto, Kwa kuwazuia kutumia barabara kikamilifu.
Kitenge na wahuni wenzake wamekuwa wakitumia barabara kukimbia, barabara zinajengwa Kwa gharama kubwa ili zipitishe magari Kwa haraka.
Kitenge ni kero, huyu atakuja kusababaisha majanga Kwa hao wahuni wake, amini nawaamnia Kuna siku mtasikia hao mbuzi wa Kitenge wanaokimbia mabarabarani kama wehu wamegongwa na gari na wamekufa na wengine kujeruhika.
Kwa kuepusha haya yasitokee, Kitenge adhibitiwe haraka.