NiniiiiMtakubali!
Kwahiyo kelele za nini?kwani kuna uchaguzi? mnashindana na nani wakati fomu ziko za ccm pekee
How kaburi mkuu!? Uchangiaji wako unaongeza chuki kwa serikali, endapo unalipwa kwa kazi hii im sorry mkuu hukustahili.Uchaguzi huu wa serkali za mitaa ndio kaburi la upinzani ,tulia utaona
State agent
Ingekuwa mechi tungesema ni "mchezo wa upande mmoja".Kwa hiyo kuhujumu uchaguzi kunawezekana.
Ww ni mnufaika wa hii awamu, bila shaka utakuwa unatokea kanda bongomanHapa Kazi tu, tutawaburuza hata kwa Kamba. Maendeleo hayana chama, wakati Vasco Da Gama anavumbua dunia mlikuwa kimya, wakati Che Nkapa anauza mashirika ya umma na kufilisi nchi mlikuwa kimya.
Ww
Ww ni mnufaika wa hii awamu, bila shaka utakuwa unatokea kanda bongoman