Serikali, hiki mnachokifanya hakikubaliki!

Serikali, hiki mnachokifanya hakikubaliki!

Hujaelewa na hujui ulichokiandika. Ulichokifanya Ni kuleta hisia zako na kuendelea kuifananisha Tanzania na nchi nyingine wakati Ni level tofauti!
Bado haikuondoi kuwa wewe ni mpuuzi na limbukeni...sasa badala ya kuattack hoja unajipendekeza kuwa Unajua wakati ukweli ni kuwa wewe Unapotosha.

Nchi za wenzetu mathalani US viwango vyao vya uadilifu havitilii Shaka Kama vya nchi zinazoendelea.
Huo mtazamo hapo juu ndio upotoshaji wenyewe.
Askari yoyote au afisa usalama anapofanya makosa hasa ya kijinai lazima akumbane na mkono wa sheria
Nitarudia, tena kwaavile unadai sijui...basi weka huo uthibitisho uondoe uwalakin uliopo. Ni hivi======== niwekee Jasusi yeyote yule aliyewahi fanya kazi kati ya taasisi hizo za nje, na kuvunja sheria akiwa kazini na akafunguliwa mashitaka ya jinai aweke hapa. TUSIDANGANYANE na uharakati uchwara.==============Isitoshe uweke hiko kipengele kinachodai hayo!
. Ufungaji wao wa Sheri sio wa kulinda viongozi Bali kulinda nchi na wananchi wake.
Unataka kumdanganya nani hapa?? Ati sheria zao hazilindi viongozi wao! BS

Lengo kuu ni Kuhakiksha Usalama wa Maafisa, Utii na kulinda usalama wa Taarifa, wewe na malimvukeni wenzako mnadai na kupotosha ati inaenda kuwalinda Viongozi! B.S
Muswada huu Ni mahususi kuwalinda watawala na wale wanaofanya kazi chini yao. Kwamba afisa usalama akiua, akiiba akibaka au akifanya tukio lolote asikumbane na mkono wa Sheria iwe za kiraia au za kijeshi wewe unaona sawa.?
Unapotosha hapo na unaanza kuunga unga....nimeomba huko juu....niwekee hata kesi moja ya Jasusi aliye kazini na akahukumiwa au kushitakiwa na kesi ya jinai au madai....isitoshe weka hiko kipengele unachodai kwenye bluu hapo juu! Zaidi ya hapo ni upotoshaji tu.
Uzuri Ni kwamba watunga Sheria hizi hudhani kwamba wao watabaki kwenye reign milele, zinapokuja kuwagusa wanakua wakwanza kulia Lia!
Nakubaliana na hayo hapo kuhusu watunga sheria, na hiyo ni kweli katika nchi yeyote ile, hata huko mnapopaita 'Kumeendelea'
 
Hii nchi wananchi wake ni wajinga na hovyo wa kiwango cha lami inakuaje FBI, CIA na m16 watu wao hawana kinga kabisa ila hili li nchi la kimasikini mnataka kuwawekekea kinga kisa ni .... Kwahiyo wasiojukikana bila shaka wanapewa kinga zaidi wa kufanya uovu wao si ndiyo?

Ila shangaa na wewe wananchi hawajajua chochote kuhusu hii sheria mpya hii nchi ya ajabu sana na itaendelea kuwa masikini milele! Umagufulification.

View attachment 2640506
View attachment 2640511View attachment 2640512
Mkuu siyo serikali wanaofanya hivyo. Ni CCM wanafanya hivyo
 
Kasome hii upunguze ujinga:

Nisome ili iweje? Wacha upotoshaji=> unataka kuondoa watu kwenye reli tu na upuuzi wa hao wajinga.
hatahivyo....
Hizo ni porojo. Haiongelei Jasusi au Afisa Usalama ambaye amefikishwa mahakamani kwa makosa ya Jinai au madai.
...
 
Na Bado. Mzee wa watu katuongoza vizuri tu. Figusu, lawama, kukatazwa wizi na ufisadi mkakataa na hata kudiriki kumuombea mabaya. Sasa mnalalamika Nini?! Endeleeni kama TBC runinga na radio kumsifia kama nabii na mtume!😂😂😂🤣🤣🤣
Maana yake wamesharuhusiwa kufanya haramu.

Tutegemee maovu matupu kutoka kwenye hicho chombo.
 
HII NDIYO SABABUVIONGOZI WA USA WANANIDHAMU NA UZARENDO
NAHAKUNA UFISADI WAKIPUUZI KAMA UNAO FANYIKA HUKU KWETU

USA UKIIBA PESA ZA WANAINCHI KAMA WALIVYO FANYA AKINA ROWASA BASI C.I.A. WANAANZAKUWA NDUGUZAKO KUANZIA HAPO
UTAKULA NAO UTAOGA NAO UTAVAA NAO NA MWISHO WA SIKU

UTAKUFA KWA KWA UGONJWA WA MOYO NA PESA ZINARUDI SERIKARINI

hiyo ni Siri nakula mkuu mafisadi saizi yamechanganyikiwa
 
HII NDIYO SABABUVIONGOZI WA USA WANANIDHAMU NA UZARENDO
NAHAKUNA UFISADI WAKIPUUZI KAMA UNAO FANYIKA HUKU KWETU

USA UKIIBA PESA ZA WANAINCHI KAMA WALIVYO FANYA AKINA ROWASA BASI C.I.A. WANAANZAKUWA NDUGUZAKO KUANZIA HAPO
UTAKULA NAO UTAOGA NAO UTAVAA NAO NA MWISHO WA SIKU

UTAKUFA KWA KWA UGONJWA WA MOYO NA PESA ZINARUDI SERIKARINI

hiyo ni Siri nakula mkuu mafisadi saizi yamechanganyikiwa
 
Bado haikuondoi kuwa wewe ni mpuuzi na limbukeni...sasa badala ya kuattack hoja unajipendekeza kuwa Unajua wakati ukweli ni kuwa wewe Unapotosha.


Huo mtazamo hapo juu ndio upotoshaji wenyewe.

Nitarudia, tena kwaavile unadai sijui...basi weka huo uthibitisho uondoe uwalakin uliopo. Ni hivi======== niwekee Jasusi yeyote yule aliyewahi fanya kazi kati ya taasisi hizo za nje, na kuvunja sheria akiwa kazini na akafunguliwa mashitaka ya jinai aweke hapa. TUSIDANGANYANE na uharakati uchwara.==============Isitoshe uweke hiko kipengele kinachodai hayo!

Unataka kumdanganya nani hapa?? Ati sheria zao hazilindi viongozi wao! BS

Lengo kuu ni Kuhakiksha Usalama wa Maafisa, Utii na kulinda usalama wa Taarifa, wewe na malimvukeni wenzako mnadai na kupotosha ati inaenda kuwalinda Viongozi! B.S

Unapotosha hapo na unaanza kuunga unga....nimeomba huko juu....niwekee hata kesi moja ya Jasusi aliye kazini na akahukumiwa au kushitakiwa na kesi ya jinai au madai....isitoshe weka hiko kipengele unachodai kwenye bluu hapo juu! Zaidi ya hapo ni upotoshaji tu.

Nakubaliana na hayo hapo kuhusu watunga sheria, na hiyo ni kweli katika nchi yeyote ile, hata huko mnapopaita 'Kumeendelea'
Usijaribu kuwatishia raia. Hii nchi siyo ya TISS bali ni ya Watanzania.

Kuisaidia CCM kunyakua madaraka kiharamu kupitia sanduku la Kura kusiwape vichwa kwamba nchi mmeikamata na mnaweza kufanya lolote.

Upuuzi uliopelekwa Bungeni kama muswada ni kuvuja kwa picha kubwa dhidi ya nchi. Mlianza kutoa kinga kwa Spika wa Bunge ili naye awe juu ya sheria kama alivyo rais na sasa mmeshaonja nyama ya binadamu mnanogewa na itafika mahala hata mgambo nao watawekewa kinga ya kutoshtakiwa.

Neno JINAI ni dhidi ya jamhuri hata kama jinai imefanywa na mtu wa jamhuri. Huwezi kuweka watu kwenye viroba na kuwafungia mawe na kuwatosa baharini kisha ujisanue kuwa una kinga dhidi ya jinai.

Hii mifumo mnayoiimarisha ni maandalizi ya mwiba utakaokuja kuwachoma.

Uache kuwatisha raia maana sote tunajua kuwa TISS inafanyakazi kwa amri na miongozo ambayo kila siku inakiukwa.

Siku haipo mbali mtakuja kunikumbuka maana wanaowatumia wameshaanza kugeukana
 
Hapo kuna tatizo...

Hili ni jambo la Samia na kama hakulipenda alikua na uwezo wa kilibadilisha

Mtu anaposema huu ni umagufulification inategemea amesimama ipande upi...

Nijuavyo, muanzilishi wa Magufulification of africa alikua ni Prof Lumumba na maana yake ilikua kuifanya Africa ijikomboe kifikra na ijitegemee kwa kila kitu...

So unaposema mabdiliko ya sheria hii nayo ni magufulification nashindwa kuelewa...

Kwanini tusiseme hili ni la Mheshimiwa Samia?

Au tunahisi yeye hawezi kuamua hayo?
Huyo mama anaamua kitu gani? She just serves as an icon of the title. Mambo kwa ground ni tofauti sana ukitaka proof its so easy, watu wanafanya wanavyotaka tu and she never shows up.
 
Hua una mawazo kama chizi jamaa yangu...

Umeshawahi kumpindua hata jirani yako kabla hujawaza kupindua nchi?
Kwamba watu kutobolewa macho uraiani huoni? Unafikiri watu wa aina hio wakiungana nchi nzima ku protest haiwezekani wakawakalisha hao ma askar unaowaona miungu watu? 😀
 
Wasiojulikana wanapewa title nzuri ikiwa backed up na sheria 🤣🤣🤣!!!
Nani kama Mama?
 
Aliposema huu utaratibu ni Magufulification, ana maanisha haya mambo ya kuongeza kunga yalianzishwa na Magufuli na sasa Samia anayaendeleza kwa kupeleka kunga kwa maafisa usalama and who knows, baadaye watakuja mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wakati hao mdiyo waharifu na maadui wakuu wa nchi, then wamekingwa.

Hapo sheria za uharifu zitakuwa ni za kazi gani tena? Labda wana mpango wa kufuta kabisa sheria ya makosa ya jinai nchini
Kwa mtu aliyeanza kufuatilia siasa kabla ya 2015 anajua huu ni utaratibu wa kawaida huko ccm...

Kumhusisha Magufuli pekee si sawa.
 
Aiseeee !!
Hapo kuna tatizo...

Hili ni jambo la Samia na kama hakulipenda alikua na uwezo wa kilibadilisha

Mtu anaposema huu ni umagufulification inategemea amesimama ipande upi...

Nijuavyo, muanzilishi wa Magufulification of africa alikua ni Prof Lumumba na maana yake ilikua kuifanya Africa ijikomboe kifikra na ijitegemee kwa kila kitu...

So unaposema mabdiliko ya sheria hii nayo ni magufulification nashindwa kuelewa...

Kwanini tusiseme hili ni la Mheshimiwa Samia?

Au tunahisi yeye hawezi kuamua hayo?
Lakini mkuu kumbuka hili bunge halina meno wala makali. Niambie kuna mswada wowote rais kaupeleka bungeni haujapi?

Si tunawaona mbwembwe kibao wanajadili wanapinga wanafoka baadaye wanaupitisha.

Mswada wowote rais wa Tanzania akuamua upite bungeni iwe sheria lazima utapita tu
 
Usijaribu kuwatishia raia. Hii nchi siyo ya TISS bali ni ya Watanzania.
Wacha Uharakati wako Uchwara hapo. Ati nawatisha Raia...sasa unanitaarifu au unataka kuaminisha Jamvi nini hapo?
Kuisaidia CCM kunyakua madaraka kiharamu kupitia sanduku la Kura kusiwape vichwa kwamba nchi mmeikamata na mnaweza kufanya lolote.
Nafikiri hayo uyaelekeze kwa "Wafunga magoli ya mkono" na Serikali....au utoe ushahidi huo hapa kuwa mimi ni TISS...Msanii usijiondoe ufahamu, na ninajua unaelewa miongozo ya humu jamvini!
Upuuzi uliopelekwa Bungeni kama muswada ni kuvuja kwa picha kubwa dhidi ya nchi. Mlianza kutoa kinga kwa Spika wa Bunge ili naye awe juu ya sheria kama alivyo rais na sasa mmeshaonja nyama ya binadamu mnanogewa na itafika mahala hata mgambo nao watawekewa kinga ya kutoshtakiwa.
Unachanganya mambo badala ya kukaa kwenye hoja nilizoibua.....usichanganye mambo na porojo!
Neno JINAI ni dhidi ya jamhuri hata kama jinai imefanywa na mtu wa jamhuri. Huwezi kuweka watu kwenye viroba na kuwafungia mawe na kuwatosa baharini kisha ujisanue kuwa una kinga dhidi ya jinai.
??
Hii mifumo mnayoiimarisha ni maandalizi ya mwiba utakaokuja kuwachoma.
Peleka hiyo mifumo Mahakamani, zaidi ya hapo, narudia, ni Upotoshaji. (Mnayoimarisha) mimi na nani sasa?
Uache kuwatisha raia maana sote tunajua kuwa TISS inafanyakazi kwa amri na miongozo ambayo kila siku inakiukwa.
What are you implying? Unataka kuaminisha nini hapa umeng'ang'ania kutisha raia kwani TISS sio Raia? wacha hizo Msanii
Siku haipo mbali mtakuja kunikumbuka maana wanaowatumia wameshaanza kugeukana
??
 
Kwamba watu kutobolewa macho uraiani huoni? Unafikiri watu wa aina hio wakiungana nchi nzima ku protest haiwezekani wakawakalisha hao ma askar unaowaona miungu watu? 😀
Wabongo mkuu!!!

Over my dead body...

Wabongo ni waoga hakuna...

Labda hizo harakati zifanywe kwa kwa kutumia dini, wenzetu waislamu si waoga.
 
Wacha Uharakati wako Uchwara hapo. Ati nawatisha Raia...sasa unanitaarifu au unataka kuaminisha Jamvi nini hapo?

Nafikiri hayo uyaelekeze kwa "Wafunga magoli ya mkono" na Serikali....au utoe ushahidi huo hapa kuwa mimi ni TISS...Msanii usijiondoe ufahamu, na ninajua unaelewa miongozo ya humu jamvini!

Unachanganya mambo badala ya kukaa kwenye hoja nilizoibua.....usichanganye mambo na porojo!

??

Peleka hiyo mifumo Mahakamani, zaidi ya hapo, narudia, ni Upotoshaji. (Mnayoimarisha) mimi na nani sasa?

What are you implying? Unataka kuaminisha nini hapa umeng'ang'ania kutisha raia kwani TISS sio Raia? wacha hizo Msanii

??
Haiko mkinga, niite majina yote lakini nilichokisema ndicho na ni hakika.

Hata mjipange kwa makumi yenu hakuna hata moja mnaloweza kufanya zaidi ya kutesa na kuua. Sasa mnatafuta kinga dhidi ya jinai mlizofanya na mnazoendelea kufanya.

Usichokijua ni kwamba nerves hucolapse na mwili pale inapofikia tamati. Hata mpitishe sheria ya ccm mmoja apige kura tatu hakuna kitakachowaokoa.

Harakati zangu uchwara zinanituma kukuambia wewe na wanaokulipa kuwa anguko halipo mbali maana mshaanza maandalizi kwa kufanya upuuzi hadharani
 
Back
Top Bottom