Bado haikuondoi kuwa wewe ni mpuuzi na limbukeni...sasa badala ya kuattack hoja unajipendekeza kuwa Unajua wakati ukweli ni kuwa wewe Unapotosha.
Huo mtazamo hapo juu ndio upotoshaji wenyewe.
Nitarudia, tena kwaavile unadai sijui...basi weka huo uthibitisho uondoe uwalakin uliopo. Ni hivi======== niwekee Jasusi yeyote yule aliyewahi fanya kazi kati ya taasisi hizo za nje, na kuvunja sheria akiwa kazini na akafunguliwa mashitaka ya jinai aweke hapa. TUSIDANGANYANE na uharakati uchwara.==============Isitoshe uweke hiko kipengele kinachodai hayo!
Unataka kumdanganya nani hapa?? Ati sheria zao hazilindi viongozi wao! BS
Lengo kuu ni Kuhakiksha Usalama wa Maafisa, Utii na kulinda usalama wa Taarifa, wewe na malimvukeni wenzako mnadai na kupotosha ati inaenda kuwalinda Viongozi! B.S
Unapotosha hapo na unaanza kuunga unga....nimeomba huko juu....niwekee hata kesi moja ya Jasusi aliye kazini na akahukumiwa au kushitakiwa na kesi ya jinai au madai....isitoshe weka hiko kipengele unachodai kwenye bluu hapo juu! Zaidi ya hapo ni upotoshaji tu.
Nakubaliana na hayo hapo kuhusu watunga sheria, na hiyo ni kweli katika nchi yeyote ile, hata huko mnapopaita 'Kumeendelea'