😂😂😂😂
Sikutaka kuvimbisha vichwa, wengine 😌 wanachosha na uharakati!
Hatahivyo nilichokisema ni...
.... hakuna sheria isiyoweza kutenguliwa na yeyote ajaye.
Kumbuka, haya makelele ni muendelezo wa kukandamiza kisaikilojia wa mwamko uliotokea nyuma.(transparency and accountability).anyways they are using counter argument to quell what they are really advocating for.
haijalishi
...Vyama vya siasa vinakosa muelekeo, vinakosa dira za mda mrefu, yaani vimeweka nguvu kubwa ya kuuza sura za Uraisi. Hilo walisahahu kwani Umoja inakuja.