Serikali angalieni suala la Tanesco, maji , miamala na vifurushi vya simu

serikali ikiona hivyo mwaka unaofuata hivyo vifaa vinaongezewa kodi, ukipiga hesabu unaona ni bora kusubiri tanesco
 
Hapa nafikiri serikali ingebadilisha Mfumo wa uongozi ,kwa sababu shirika limeshaanza kuonesha Dalili mbaya na wasipokuwa Makini litarudi nyumba tena litakuwa Bovu sana
 
Tafadhali tujulishe una changamoto gani haswa na TANESCO, eneo gani? Namna ya simu tuifanyie kazi mara moja.
Tanesco Apps ilikuwa ya awamu ya 5 ?
Mbona alivyoondoka tu mkaipiga chini? Na sasa sisi wateja hatuwezi hata ku access ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…