sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,076
- 7,449
serikali ikiona hivyo mwaka unaofuata hivyo vifaa vinaongezewa kodi, ukipiga hesabu unaona ni bora kusubiri tanescoHata Kenyan Power Limited (KPL) nao walikuwa wasumbufu kama TENESCO. Wakenya wengi walijiongeza kutumia masolar panels, KPL walipoona wateja wengi wanahamia kwenye masolar ndo wakaanza kuboresha huduma zao mpaka Leo. Ila shida ya watanzania wengi sijui wanakwama wapi kutumia njia mbadala mbona TENESCO wangenyooka wenyewe.