fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,650
Habari wakuu kwema?
Kutokana na changamoto ya nchini kwetu la tatzo la maji safi nchini mi naona kama serikali yetu pendwa ikitumia mbinu ya kuweka mabomba ya maji makubwa yategwe juu yaani kama zilizopita lines za tanesco.
Zile nguzo ambazo zinakuwa zimetegwa sasa bomba la maji ili lisiweze kuanguka lifanyiwe namna yyte ili zisipelekwe hata na upepo yaan kwa kutega hivyo naona wataokoa muda kuliko kuanza kuchimba chimba umbali mrefu.
Imagine mtu anachimba kutoka masaki mpka Gongo la Mboto tena kwa sururu jambo ambalo unakuta linachukua mwezi ila kwa kutega bomba juu zitachukua week kadhaa tu na hata matengenezo yake yatakua nafuu na haraka na pia wataweza kuwadhibiti wezi wa maji ya dawasco.
Pia hii huduma itakua nzuri maana kuna watu tunakaa maeneo ambayo mpka leo maji hayajafika na hatuoni dalili za maji kufika.
Ahsanteni sana naitwa fundi bishoo
yes biShoo haswaaaaaaaaaH
Kutokana na changamoto ya nchini kwetu la tatzo la maji safi nchini mi naona kama serikali yetu pendwa ikitumia mbinu ya kuweka mabomba ya maji makubwa yategwe juu yaani kama zilizopita lines za tanesco.
Zile nguzo ambazo zinakuwa zimetegwa sasa bomba la maji ili lisiweze kuanguka lifanyiwe namna yyte ili zisipelekwe hata na upepo yaan kwa kutega hivyo naona wataokoa muda kuliko kuanza kuchimba chimba umbali mrefu.
Imagine mtu anachimba kutoka masaki mpka Gongo la Mboto tena kwa sururu jambo ambalo unakuta linachukua mwezi ila kwa kutega bomba juu zitachukua week kadhaa tu na hata matengenezo yake yatakua nafuu na haraka na pia wataweza kuwadhibiti wezi wa maji ya dawasco.
Pia hii huduma itakua nzuri maana kuna watu tunakaa maeneo ambayo mpka leo maji hayajafika na hatuoni dalili za maji kufika.
Ahsanteni sana naitwa fundi bishoo
yes biShoo haswaaaaaaaaaH