Series ya intelligencia ya Bongo

Series ya intelligencia ya Bongo

Ebu nitajie mastar ambao nikiwaweka series itauza
Kuna jamaa kaeleza habari za jamaa walioigiza SIRI ya MTUNGI umewahi kuiona? Sikia nikwambie tatizo kubwa la film Industry linasababishwa na Training namna yakumfanya muigizaji afanye kitu halisi wanaojua hiyo mambo MTU anafundishwa hadi sauti namna yakuongea sasa Kibongobongo vitu vidogo km hivyo hawatilii maani unakuta MTU anaigiza ujinga mwanzo mwisho....Ndio maana hata hao waigizaji wako SENEMA zao zinaangaliwa na maHOUEA GAL na maSHAMBA BOY MTU anaejielewa hawezi poteza Hela yake kununua takataka zao
 
Unatakiwa uwe na mtaji flani wa maana. Usije ukaishia njian kama Jamaa wa THE EVENT. Kitu kingine cha maana...hao mabwege uliotaja hapo, watakuharibia. Tafuta vichwa toka peripheral huko, mtu maarufu anaweza akawa mmoja na mwenye nidhamu na anayeendana na script.
Mkuu Mangi flani hivi, THE EVENT ilipigwa ban ndiyo maana haikuendelea.
 
switch to political movies hachana na intelegencia utatuletea za kimarekani ambazo tutakuona mshamba,what matter kwenye any movie ni ujarisia wajamii husika...sasa wewe igiza habari za chadema,ccm na umafia wao...hizo habari za technologia ya hali ya juu utachemka...hakuna hiyo kitu bongo,utatuchosha...nani waigize find new one...au nenda chuo cha sanaa bagamoyo...nakushauri siri ya mtungi iwe role model yako...sasa wewe kachukue kina homeland sijui revenge,utakera kinoma!
 
sepetunga anakutosha;
mtacheza michezo yote
ili mradi mfuko wako uwe umetuna.
 
switch to political movies hachana na intelegencia utatuletea za kimarekani ambazo tutakuona mshamba,what matter kwenye any movie ni ujarisia wajamii husika...sasa wewe igiza habari za chadema,ccm na umafia wao...hizo habari za technologia ya hali ya juu utachemka...hakuna hiyo kitu bongo,utatuchosha...nani waigize find new one...au nenda chuo cha sanaa bagamoyo...nakushauri siri ya mtungi iwe role model yako...sasa wewe kachukue kina homeland sijui revenge,utakera kinoma!
Sure thing, nikimwambia mtu anipe action hata moja ya kiinteligincia ya hapa home, sijui utasema ipi....labda msitu wa pande.
 
Nataka nitengeneze series Kali ya Kiintelligencia ya kibongo!! Iwe HD na yenye Technologia ya hali ya juu!!

Lakini nilitaka ushauri nifanyeje jinsi ya kuuza hyo series baada ya kuimaliza niweze pata faida kama series za nje nisiishie kupeleka kwa mhindi ikanikata!!

Ushauri juu ya wasanii!!
Je nichukue wasanii gani
Ray,Lulu,wema,hemedi ,Gabo,Kajala

Nataka wataofanya series iwe maarufu na jina kwa faida zaidi!!

Kwa ushauri wowote karibuni wadau
Katika wasanii utakaowahitaji usisite kunitafuta nitacheza kwenye special unit
 
Binafsi sikuwahi kuiona ilikuwa na shida gani hadi ikapigwa Ban
Kituo cha TV cha NBC ndiyo kilikuwa kinaonyesha hiyo season, story ya hii series inahusu ndege iliyoanguka katika Jimbo la Alaska nchini Marekani karibia kumalizika kwa vita ya pili ya dunia. Kuna viumbe vinavyosadikika kuwa ni aliens vilikamatwa na Maafisa wa Serikali na kuvificha kwenye mojawapo ya jengo la Serikali.


The story follows the consequences of an alien crash in Alaska near the end of World War II. A number of the aliens (who look like humans but age much slower) are captured by the American government and detained in a top-secret facility near the crash site. Others are able to blend into society unbeknownst to the government.

In the present day, a breakaway faction of the assimilated aliens plot to assassinate the President to force the government to release their people, who are still being held prisoner. As the President begins to unravel this plot, a young couple on a cruise are pulled into the intrigue and separated, leading the young man, Sean Walker, to mount a cross-country search for his girlfriend.

Hii series waliicheza ikionyesha uhalisia wa Ikulu ya Marekani ambapo inaonyesha jengo mojawapo la Ikulu linasambalatishwa kwa kombora.
NBC wanadai waliacha kuionyesha kwasababu ilikosa washabiki na watazamaji wengi tofauti na season iliyotangulia ya LOST, lakini ukifuatilia kwa makini utaona kuwa hii series ilikuwa inapendwa.

Inasemekana kuwa NBC walikatazwa na Serikali ya Marekani kuendelea kuonyeshwa kwa hii series maana kombora lililotumika kusambaratisha moja ya jengo la Ikulu ilikuwa inaonyesha uhalisi, kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa Ikulu.


 
watafute walioandaa siri ya mtungi mana filamu ni nzuri na wala hawajatumia majina tulioyazoea
 
Nishirikishe nina idea naweza kukupa na kitu cha kwanza acha kuwawaza masta kama unataka ufanikiwe (toka tofauti)
 
Kituo cha TV cha NBC ndiyo kilikuwa kinaonyesha hiyo season, story ya hii series inahusu ndege iliyoanguka katika Jimbo la Alaska nchini Marekani karibia kumalizika kwa vita ya pili ya dunia. Kuna viumbe vinavyosadikika kuwa ni aliens vilikamatwa na Maafisa wa Serikali na kuvificha kwenye mojawapo ya jengo la Serikali.


The story follows the consequences of an alien crash in Alaska near the end of World War II. A number of the aliens (who look like humans but age much slower) are captured by the American government and detained in a top-secret facility near the crash site. Others are able to blend into society unbeknownst to the government.

In the present day, a breakaway faction of the assimilated aliens plot to assassinate the President to force the government to release their people, who are still being held prisoner. As the President begins to unravel this plot, a young couple on a cruise are pulled into the intrigue and separated, leading the young man, Sean Walker, to mount a cross-country search for his girlfriend.

Hii series waliicheza ikionyesha uhalisia wa Ikulu ya Marekani ambapo inaonyesha jengo mojawapo la Ikulu linasambalatishwa kwa kombora.
NBC wanadai waliacha kuionyesha kwasababu ilikosa washabiki na watazamaji wengi tofauti na season iliyotangulia ya LOST, lakini ukifuatilia kwa makini utaona kuwa hii series ilikuwa inapendwa.

Inasemekana kuwa NBC walikatazwa na Serikali ya Marekani kuendelea kuonyeshwa kwa hii series maana kombora lililotumika kusambaratisha moja ya jengo la Ikulu ilikuwa inaonyesha uhalisi, kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa Ikulu.



Nilikua sijaipata hyo!! Asante kwa data mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom