Mkuu kwa mara ya kwanza si lazima ilipe waweza fanya kwa kupromote taifa na wafanyabiashara wake wakuu, mfano utakapocheza hiyo muvi kwa kuipamba vizuri nchi yetu ya Tz katika siasa zake, jamii yake, idara zake zinazo pambana na uharifu, rushwa, uhujumu n.k basi serikali kwa kupitia idara zake zinaweza zikakurahisishia uandaaji wa muendelezo wa series nyengine. Mfano waweza ruhusiwa kutumia baadhi ya office za serikali na miundombinu yake (covert way) mfano; daraja la kigamboni, wizara ya mambo ya ndani, Usalama wa taifa, Ikulu, jeshi n.k (note; baadhi ya office si rahisi kutumiwa, mpaka uwe miongoni mwao)