Series ya intelligencia ya Bongo

Series ya intelligencia ya Bongo

hongera maana una mawazo makubwa ila hakikisha unakuwa na bajeti kubwa malipo kwa kazi za mwanzo usiwaze sana maana si unajua mtu afundishwi njia mara ya pili hivyo kwa hiyo kazi yako ya kwanza lazima ukubari kupata hasara pengine unaweza ata usirudishe mtaji wako ula ukisha tusua kwenye anga za filam unatoka na kitu kizuri zaidi ni kuhakikisha unasambaza mwenyewe kazi zako.
Sawa mkuu
 
Unatakiwa uwe na mtaji flani wa maana. Usije ukaishia njian kama Jamaa wa THE EVENT. Kitu kingine cha maana...hao mabwege uliotaja hapo, watakuharibia. Tafuta vichwa toka peripheral huko, mtu maarufu anaweza akawa mmoja na mwenye nidhamu na anayeendana na script.
The event
 
Upo serious na kweli unaweza kucheza movie
Mkuu ukiwa na nia hakuna kinachoshindikana just cha umuhimu ni kuwa na watu ambao wako serious na kazi na mambo yatakua poa ... Mbona jumba la dhahabu ilikua na waigizaji wengi wachanga na ili hit ile mbaya ..
 
Mkuu ukiwa na nia hakuna kinachoshindikana just cha umuhimu ni kuwa na watu ambao wako serious na kazi na mambo yatakua poa ... Mbona jumba la dhahabu ilikua na waigizaji wengi wachanga na ili hit ile mbaya ..
Sawa ni commitment
 
Tatizo n uuzaji ili ulirudi faida
Mkuu kwa wenzetu kule ulaya episode huwa haiachiwi kwenye air Kama haijarudisha faida so huwa wanafanya ivii baada ya Ku shoot ki episode kimoja wanakuwa wanarusha kwenye cinemax center kubwa duniani... Kwa muda mmoja... Then kunakua na uuzaji wa product mbalimbali Kama vile shirt... Kofia ... Pen na CD ili kupata faida mkuu... Faida ikisharudiii wanaiachia kwenye air then pale watu ndio wanapata muda wa Ku download... Hapa inahitaji management ya uhakika... Ngoja watu wanaojua zaidi waje watujuze mkuu
 
Mkuu kwa wenzetu kule ulaya episode huwa haiachiwi kwenye air Kama haijarudisha faida so huwa wanafanya ivii baada ya Ku shoot ki episode kimoja wanakuwa wanarusha kwenye cinemax center kubwa duniani... Kwa muda mmoja... Then kunakua na uuzaji wa product mbalimbali Kama vile shirt... Kofia ... Pen na CD ili kupata faida mkuu... Faida ikisharudiii wanaiachia kwenye air then pale watu ndio wanapata muda wa Ku download... Hapa inahitaji management ya uhakika... Ngoja watu wanaojua zaidi waje watujuze mkuu
Nashukuru kwa hilo pia mkuu
 
nic idea lakin lazima uwe na mkwanja wa maana kama milion 30 hivi
wasanii lete vichwa vipya kabisa
mada yapo mengi kuanzia bifu za huku madini mereran, panyaroad, escrow, richmond lakin mambo ya kichawi usiweke kabisa
 
Mkuu kwa wenzetu kule ulaya episode huwa haiachiwi kwenye air Kama haijarudisha faida so huwa wanafanya ivii baada ya Ku shoot ki episode kimoja wanakuwa wanarusha kwenye cinemax center kubwa duniani... Kwa muda mmoja... Then kunakua na uuzaji wa product mbalimbali Kama vile shirt... Kofia ... Pen na CD ili kupata faida mkuu... Faida ikisharudiii wanaiachia kwenye air then pale watu ndio wanapata muda wa Ku download... Hapa inahitaji management ya uhakika... Ngoja watu wanaojua zaidi waje watujuze mkuu
Are you sure mkuu??
 
Kwa akili zako tu hao uliowataja wanaweza cheza yaana unataka kufanya kitu cha uhalisia unauwezo Wa kutumia Mali za serikali kama mahakama ofisi za jeshi la polisi uniform za jeshi la polisi magari sehemu zenye uhalisia je unadhani bongo inawezekana kuwapata watu wanaweza kuingiza kii telejensia kama unavyoona seris za ulaya je unahela ya kuwekeza ili upate uhalisia maana kuleta uhalisia Wa series kama hiyo Na uwalipe waigizaji Bora uwekeze kwenye biashara nyingine
Yaani kwa kuwataja hao watu Tayari imeshamdodea hiyo issue....Yaani MTU unaejielewa unaetaka kufanya Project ya maana ya Film unawafikiria hao watu....Sijui aliwaona wapi wakifanya Movie za namna hiyo...Angesema Movie za viGodolo na Ugoni fasta wangemfaa
 
Series kibongo?Sijui aiseee.
Sio mbaya kujaribu lakini,hata hao wakorea ninaowapenda walianzia mbali.
All the best
Kitendo cha kuwafikiria hao wanaopenda kujiita wasanii Huyu jamaa ameshashindwa kabla hajanzaa
 
Mimi nikisikia series za kibongo huwa naiwazia siri ya mtungi na the team wa swahiliwood maana walitengeneza kitu chenye ubora wa kimataifa.....

Pia kuna kijana ambaye huwa namsoma katika magazines ambaye alitengeneza filamu ya dogo Masai, mdundiko , cid ( sijawah kuziangalia lakini nahisi zitakuwa nzuri kwa kuwa zilipata nomination na tuzo za nje ).......

Kama ni kwa watu maarufu bhasi itakubidi uwachukue wakongwe kama monalisa, richie richie ama wenye kufanana nao pamoja na wasanii wapya...

All the best
Rich na Monalisa walifanya Movie gani ya Maana au sababu wameteuliwa kuwa Majaji wa TMT ule ni Mchongo wamedaka...
 
Mtafute yule jamaa wa vitabu vya Willy Gamba mtegeneze series za uhakika pls usiweke hawa wasanii uliowataja.
 
Ndo nilikua nauliza maana ili series ipate jina na umaarufu lazima kuwepo mastar maarufu!!
Kwani umaarufu wa Bongo ni ubora wa kz MTU anayofanya Wengine ni kashfa za Ngono..sasa ikiwa unataka umaarufu wa namna hiyo sawa waweke.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom