Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kumbe huna akili
Screenshot_20230908-180713.jpg

Huenda hata hii uwezi kuelewa😁😁😁
 
Ina mhusu mzee wa Kirusi aliyekuwa Mafia miaka ya nyuma huko Urusi, baadae anahamia London na kuachana na ishu hizo, sasa kuna biashara zingine zinaendelea kufanyika ila kijana wake wa kiume mkubwa ndio anabaki kusimamia biashara zote..
Mwanae anakuja kugundua dili zote haramu za mshua, pia kuna magenge ya kirusi bado pia wanamfatilia mzee wake, kwa hyo dogo anapambana kuisave familia yake
Story nzuri sana
 
Halafu kuna chuma kinaitwa the Widow ..inazungumzia mwanamke mmoja kutoka Scotland anaenda kumtafuta mumewe Congo uko anakutana na kisanga ..kumbe mwishowe anakuja kugundua mumewe kaoa toto la kitutsi dah...anarudi kwao Scot kwa uchungu mzito aise ..ila ni bonge ya series ..huko kuna unyama wa kutosha mzee..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Link mkuu niitafute
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom