Series (Special thread)

Umeona kama mimi PB season 1-3 ni kali sana ila kuanzia Season 4 ni kama walikua wanalazimisha matukio naona hii ni kutokana na pressure waliyokuwa wanaipata kutoka kwa mashabiki baada ya season za mwanzo kufanya vizuri
 
Shida inakuja kuzilinganisha PB na BB ni mbingu na nchi, kikubwa PB ni baba lao katika ulimwengu wa series kwa muda wote
 
Shida inakuja kuzilinganisha PB na BB ni mbingu na nchi, kikubwa PB ni baba lao katika ulimwengu wa series kwa muda wote
Anayeona PB ndo bora kuliko BB yuko sawa

Anayeona BB ni bora kuliko PB yuko sawa pia...

Kila mtu ana maoni yake na utamu wake!

Ni sawa na mie niseme soda ni tamu kuliko bia kwa sababu bia nilitest nikaona haina radha poa kwangu ila kuna mwingine soda ni uchafu....Wote tunakubaliana kutokukubaliana then maisha yanasonga mbele!
 
Mf mie series za vionjo vya SILO yaani huwa nikiianza tu naona ni ya hovyo na kuitupilia mbali, ila ukiniwekea Series aina ya Zero Zero Zero au The Barbarians asee nakesha kabisaaa!

So nabaki kuamini kila mtu na mlo wake pendwa!
 
Umejaa teleeee, sijui utafanyaje

Nikimaliza season 1 nitaanza series nyingine, asante kwa kuniokolea MB zangu

Series tamu kama hii halafu wanaweka mambo ya kijinga dah... Inasikitisha
For the same reason niliishia episode ya 2 kwenye series ya 1899 ingawa hadi leo natamani nijue kilitokea nini na kwenye ile meli ila uchafu wao waliouweka unanichefua, hata hii nitaitupilia mbali
 
Ushoga ulio kwenye hii ni wanawake yule nesi anademu wake naye anakuja Town kwahiy wanakutana tena
 
Uanze kuangalia tamthilia za kibongo tu maana za huko duniani ni chache sana kukuta hakuna hayo mambo.
 
Uanze kuangalia tamthilia za kibongo tu maana za huko duniani ni chache sana kukuta hakuna hayo mambo.
Hapana, zipo nyingi tu zisizo na mambo hayo. Nitakuwa nasoma reviews zake kwanza
Siwezi kuangalia series za Kibongo mimi😂😂😂
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…